< Ayubu 3 >

1 Baada ya hayo, Ayubu akafunua kinywa chake na kuilani siku aliyozaliwa.
و بعد از آن ایوب دهان خود را باز کرده، روز خود را نفرین کرد.۱
2 Akasema,
و ایوب متکلم شده، گفت:۲
3 “Na ipotelee mbali siku niliyozaliwa mimi, usiku uliosema, 'Mimba ya mtoto wa kiume imetungwa.'
«روزی که در آن متولد شدم، هلاک شود و شبی که گفتند مردی در رحم قرار گرفت،۳
4 Siku hiyo na iwe giza; Mungu toka juu asiifikilie, wala mwanga usiiangazie.
آن روز تاریکی شود. و خدا از بالا بر آن اعتنانکند و روشنایی بر او نتابد.۴
5 Ishikwe na giza na giza la mauti liwe lake. Wingu na likae juu yake; kila kitu kiifanyacho siku kuwa giza kweli na kiitishe.
تاریکی و سایه موت، آن را به تصرف آورند. ابر بر آن ساکن شود. کسوفات روز آن را بترساند.۵
6 Usiku huo, na ukamatwe na giza tororo. Usihesabiwe miongoni mwa siku za mwaka; na usiwekwe katika hesabu ya miezi.
و آن شب را ظلمت غلیظ فرو‌گیرد و در میان روزهای سال شادی نکند، و به شماره ماهها داخل نشود.۶
7 Tazama, usiku huo na uwe tasa; na sauti ya shangwe isiwe ndani yake.
اینک آن شب نازاد باشد. و آواز شادمانی در آن شنیده نشود.۷
8 Na wailani siku hiyo, hao wafahamuo namna ya kumuamsha lewiathani.
لعنت کنندگان روز، آن را نفرین نمایند، که در برانگیزانیدن لویاتان ماهر می‌باشند.۸
9 Nyota za mapambazuko yake zitiwe giza. Siku hiyo iutafute mwanga, lakini isiupate; wala makope ya mapambazuko isiyaone,
ستارگان شفق آن، تاریک گردد و انتظار نوربکشد و نباشد، و مژگان سحر را نبیند،۹
10 kwasababu haikuifunga milango ya tumbo la mama yangu, na kwasababu haikunifichia taabu machoni pangu.
چونکه درهای رحم مادرم را نبست، و مشقت را ازچشمانم مستور نساخت.۱۰
11 Kwanini si-kufa wakati lipotokeza katika tumbo la uzazi? Kwanini sikuitoa roho yangu hapo mama aliponizaa?
«چرا از رحم مادرم نمردم؟ و چون از شکم بیرون آمدم چرا جان ندادم؟۱۱
12 kwanini magoti yake yalinipokea? Kwanini maziwa yake yanipokee hata ninyonye?
چرا زانوها مراقبول کردند، و پستانها تا مکیدم؟۱۲
13 Kwa sasa ningelikuwa nimelala chini kimya kimya. Ningelala usingizi na kupata pumziko
زیرا تا بحال می‌خوابیدم و آرام می‌شدم. در خواب می‌بودم واستراحت می‌یافتم.۱۳
14 pamoja na wafalme na washauri wa dunia, ambao walijijengea makaburi ambayo sasa ni magofu.
با پادشاهان و مشیران جهان، که خرابه‌ها برای خویشتن بنا نمودند،۱۴
15 Au Ningelikuwa nimelala pamoja na wakuu wenye dhahabu, waliozijaza nyumba zao fedha.
یابا سروران که طلا داشتند، و خانه های خود را ازنقره پر ساختند.۱۵
16 Au pengine ningekuwa sijazaliwa, kama watoto wachanga wasio uona mwanga kabisa.
یا مثل سقط پنهان شده نیست می‌بودم، مثل بچه هایی که روشنایی را ندیدند.۱۶
17 Huko waovu huacha kusumbua; huko waliochoka hupumzika.
در آنجا شریران از شورش باز می‌ایستند، و درآنجا خستگان می‌آرامند،۱۷
18 Huko wafungwa kwa pamoja hupata amani; hawaisikii sauti ya msimamizi wa watumwa.
در آنجا اسیران دراطمینان با هم ساکنند، و آواز کارگذاران رانمی شنوند.۱۸
19 Wote wadogo na watu maarufu wako huko; mtumishi yuko huru kwa bwana wake huko.
کوچک و بزرگ در آنجا یک‌اند. وغلام از آقایش آزاد است.۱۹
20 Kwa nini yeye aliye mashakani kupewa mwanga? Kwa nini hao wenye uchungu moyoni kupewa uhai,
چرا روشنی به مستمند داده شود؟ و زندگی به تلخ جانان؟۲۰
21 ambao hutamani mauti lakini hawapati; ambao huyachimbulia mauti zaidi ya kutafuta hazina iliyofichika?
که انتظار موت را می‌کشند و یافت نمی شود، و برای آن حفره می‌زنند بیشتر از گنجها.۲۱
22 Kwa nini kupewa mwanga ambao hushangilia mno na kufurahi walionapo kaburi?
که شادی وابتهاج می‌نمایند و مسرور می‌شوند چون قبر رامی یابند؟۲۲
23 Kwanini kupewa mwanga mtu ambaye njia zake zimefichika, mtu ambaye Mungu amemzungushia uwa?
چرا نور داده می‌شود به کسی‌که راهش مستور است، که خدا اطرافش را مستورساخته است؟۲۳
24 Kwa kuwa kushusha kwangu pumzi kwatokea badala ya kula; kuugua kwangu kumemiminika kama maji.
زیرا که ناله من، پیش از خوراکم می‌آید و نعره من، مثل آب ریخته می‌شود،۲۴
25 Maana jambo lile niliogopalo limenipata; nalo linitialo hofu limenijilia.
زیرا ترسی که از آن می‌ترسیدم، بر من واقع شد. و آنچه از آن بیم داشتم بر من رسید.۲۵
26 Mimi sioni raha, sipati utulivu, na sipati pumziko; badala yake huja taabu.”
مطمئن و آرام نبودم و راحت نداشتم وپریشانی بر من آمد.»۲۶

< Ayubu 3 >