< Ayubu 29 >

1 Ayubu akaendelea na kusema,
and to add: again Job to lift: loud proverb his and to say
2 Ee, ningekuwa kama nilivyokuwa miezi iliyopita wakati Mungu aliponiagalia,
who? to give: if only! me like/as month front: old like/as day god to keep: guard me
3 taa yake ilipowaka kichwani pangu, na pale nilipotembea gizani kwa nuru yake.
in/on/with to shine he lamp his upon head my to/for light his to go: walk darkness
4 Ee, kwamba ningekuwa kama nilivyokuwa katika siku za ujana wangu uhusiano wangu na Mungu ulivyokuwa mzuri,
like/as as which to be in/on/with day autumn my in/on/with counsel god upon tent my
5 wakati Mwenyezi alipokuwa pamoja nami, na wanangu walipokuwa karibu nami,
in/on/with still Almighty with me me around me youth my
6 wakati maisha yangu yalipokuwa yamejawa na utele, na mwamba uliponichuruzishia chemichemi za mafuta.
in/on/with to wash: wash step my in/on/with heat and rock to pour with me me stream oil
7 Nilipokwenda langoni mwa mji, nilipokaa katika eneo la mji,
in/on/with to come out: come I gate upon town in/on/with street/plaza to establish: prepare seat my
8 vijana waliniona na walikaa mbali kwa kuniheshimu, na wazee waliinuka na kusimama kwa ajili yangu.
to see: see me youth and to hide and aged to arise: rise to stand: stand
9 Wana wa mfalme waliacha kuongea nilipofika; wangeweka mkono wao katika vinywa vyao.
ruler to restrain in/on/with speech and palm to set: put to/for lip their
10 Sauti za waheshimiwa zililazimishwa, na ndimi zao hazikuweza kuongea vinywani mwao.
voice leader to hide and tongue their to/for palate their to cleave
11 Kwani baada ya kunisikia, wangenibariki; waliponiona, wangeniona na kuniheshimu
for ear to hear: hear and to bless me and eye to see: see and to testify me
12 kwa maana nilikuwa nikiwasaidia masikini waliokuwa wakiteseka, na yatima, asiye na msaada.
for to escape afflicted to cry and orphan and not to help to/for him
13 Baraka zao waliokuwa karibu kuangamia zilinipata; niliufanya moyo wa mjane kuimba kwa furaha.
blessing to perish upon me to come (in): come and heart widow to sing
14 Nilijivika utakatifu, nao ulinifunika; haki yangu ilikuwa kama kanzu na kilemba.
righteousness to clothe and to clothe me like/as robe and turban justice my
15 Niliwasaidia vipofu; niliwasaidia walemavu.
eye to be to/for blind and foot to/for lame I
16 Niliwasaidia wahitaji; niliwasaidia hata wasionijua.
father I to/for needy and strife not to know to search him
17 Nilimnyamazisha mwovu; nilimpokonya manusura kutoka katika meno yake.
and to break [emph?] jaw unjust and from tooth his to throw prey
18 Kisha nilisema nitakufa mahali salama; nitazizidisha siku zangu kama mchanga.
and to say with nest my to die and like/as sand to multiply day
19 Mizizi yangu imeenea majini, na umande kukaa usiku wote katika matawi yangu.
root my to open to(wards) water and dew to lodge in/on/with foliage my
20 Heshima yangu ni mpya daima, na nguvu za upinde wangu zipo katika mkono wangu kila wakati.
glory my new with me me and bow my in/on/with hand my to pass
21 Watu walinisikiliza; walinisubiri; walisikiliza ushauri wangu.
to/for me to hear: hear and to wait: wait and to silence: silent upon counsel my
22 Nilipo maliza kuongea hawakunena tena, maneno yangu yaliwatia nguvu kama mvua.
after word: speaking my not to repeat and upon them to drip/prophesy speech my
23 Waliningoja kama kungoja mvua; waliyathamini maneno yangu, kama walivyotamani mvua iliyokawia.
and to wait: wait like/as rain to/for me and lip their to open to/for spring rain
24 Niliwafurahia bila wao kutarajia; hawakukataa uzuri wa uso wangu.
to laugh to(wards) them not be faithful and light face my not to fall: fall [emph?]
25 Nilikuwa kama mfalme wao na kuwachagulia cha kufanya; nilikuwa kama mfalme katika jeshi lake, kama awafarijiye waombolezaji mazishini.
to choose way: conduct their and to dwell head: leader and to dwell like/as king in/on/with band like/as as which mourning to be sorry: comfort

< Ayubu 29 >