< Ayubu 20 >

1 Ndipo Sofari, Mnaamathi alijibu na kusema,
Entonces Sofar naamatita tomó la palabra y dijo:
2 “Mawazo yangu yananifanya mimi nijibu kwa haraka kwa sababu ya mashaka yaliyomo ndani yangu mimi.
“Por eso mis pensamientos me sugieren una respuesta, y a eso me mueve mi interior.
3 Mimi ninasikia kukemewa ambako kunaniondolea heshima mimi, lakini roho kutoka katika ufahamu wangu hunijibu mimi.
He oído la reprensión con que me insultas, mas el espíritu que tengo me impulsa a responder según mi saber.
4 Je, unafahamu kwamba ukweli huu kutoka enzi za kale, wakati Mungu alipomweka mwanadamu juu ya nchi:
¿No sabes tú, que desde siempre, desde que hay hombre sobre la tierra,
5 ushindi wa mtu mwovu ni mfupi, na furaha ya mtu asiyemcha Mungu hudumu kwa kitambo tu?
el gozo de los malos es breve, y la alegría del impío un instante?
6 Ingawa urefu wake yeye hufikia juu kwenye mbingu, na kichwa chake yeye kufikia kwenye mawingu,
Aunque su arrogancia alcance hasta el cielo, y su cabeza toque las nubes,
7 bado mtu huyo atapotea siku zote kama mavi yake yeye mwenyewe; wale waliokuwa wamemuona yeye watasema, 'Yuko wapi yeye'?
como su estiércol, para siempre perecerá; los que le vieron, dirán: «¿Dónde está?»
8 Yeye atapaa mbali kama ndoto na hataonekana; ndivyo ilivyo, yeye atakuwa amefukuzwa mbali kama ono la
Como un sueño volará, y no lo hallarán; desaparecerá cual visión nocturna.
9 usiku. Jicho ambalo lilimuona yeye halitamuona yeye tena; mahali pake hapatamuona yeye tena.
El ojo que le vio no le verá más, no verá otra vez su lugar.
10 Watoto wake wataomba msamaha kwa watu maskini, mikono yake itaweza kurudisha utajiri wake.
Sus hijos andarán pidiendo el favor de los pobres, y sus manos restituirán su riqueza.
11 Mifupa yake imejaa nguvu za ujanani, lakini zitalala naye chini katika mavumbi.
Sus huesos llenos aún de juvenil vigor, yacerán con él en el polvo.
12 Japokuwa uovu ni mtamu katika mdomo wake yeye, japokuwa yeye anauficha chini ya ulimi wake yeye,
Por dulce que sea el mal en su boca, y por más que lo oculte bajo su lengua,
13 japokuwa anaushikilia pale na hauruhusu kwenda lakini bado huushikilia katika mdomo wake yeye -
si lo saborea y no lo suelta, si lo retiene en su paladar,
14 chakula katika koromeo lake yeye hugeuka kuwa uchungu; hugeuka kuwa sumu ya majoka ndani yake yeye.
su manjar se convierte en sus entrañas, hiel de áspid se volverá en su interior.
15 Yeye humeza chini utajiri, lakini yeye atautapika tena; Mungu atautoa nje kutoka katika tumbo lake yeye.
Se tragó riquezas, pero las vomitará; Dios se las arrancará de su vientre.
16 Yeye atamumunya sumu ya majoka; ulimi wa nyoka mwenye sumu utamwua yeye.
Chupará veneno de áspides, y la lengua de la víbora le matará.
17 Yeye hatafurahia vijito vya maji, wingi wa asali na siagi.
Jamás verá los arroyos, los ríos, los torrentes de miel y de leche.
18 Yeye atayarudisha matunda ya kazi yake na hataweza kuyala; yeye hatafurahia utajiri alioupata kwa biashara zake yeye.
Devolverá lo que ganó, y no se lo tragará; será como riqueza prestada, en que no se puede gozar.
19 Kwa kuwa yeye amewakandamiza na kuwasahau watu maskini; yeye kwa uonevu, amezichukua mbali nyumba ambazo hakuzijenga yeye.
Por cuanto oprimió y desamparó al pobre, robó casas que no había edificado,
20 Kwa sababu yeye mwenyewe hakujua utoshelevu wowote, yeye hataweza kuokoa kitu chochote katika kile ambacho alijifurahisha.
y no se hartó su vientre, por eso no salvará nada de lo que tanto le gusta.
21 Hakuna chochote kilichoachwa ambacho yeye hakukimeza; kwa hiyo mafanikio yake yeye hayatakuwa ya kudumu.
Nada escapaba a su voracidad, por eso no durará su prosperidad.
22 katika wingi wa utajiri wake yeye ataanguka katika mahangaiko; mkono wa kila mmoja ambaye yuko katika umaskini utakuja kinyume chake yeye.
En medio de toda su abundancia le sobrevendrá la estrechez; toda clase de penas le alcanzará.
23 Wakati akiwa katika kulijaza tumbo lake, Mungu atatupa hasira ya ghadhabu yake juu yake yeye; Mungu ataunyeshea chini juu yake yeye wakati yeye anakula.
Cuando se pone a llenarse el vientre, (Dios) le manda el furor de su ira, y hará llover sobre él su castigo.
24 Ingawa mtu huyo atakimbia kutoka katika silaha ya chuma, upinde wa shaba utampiga yeye.
Si huye de las armas de hierro, le traspasará el arco de bronce.
25 Mshale utatoboa kupitia mgongoni mwake na utatokezea; ni dhahiri, ncha inayong'ra itatokezea nje kupitia ini lake yeye; watesi huja tena juu yake.
Se saca (la flecha), y sale de su cuerpo, se la arranca de su hiel cual hierro resplandeciente, y vienen sobre él los terrores;
26 Giza lliilo kamilika limetunzwa kwa akiba zake; moto usiopulizwa utamla yeye kwa haraka; utameza kile kilichoachwa katika hema yake.
una noche oscura traga sus tesoros, le consumirá fuego no encendido (por hombre); devorará cuanto quedare en su tienda.
27 Mbingu zitauweka wazi uovu wake, na nchi itainuka juu dhidi yake yeye kama shahidi.
El cielo descubrirá su iniquidad, y la tierra se levantará contra él.
28 Utajiri wa nyumba yake utatoweka; bidhaa zake zitamwagika mbali siku ya ghadhabu ya Mungu.
La riqueza de su casa desaparecerá, será desparramada en el día de Su ira.
29 Hii ndiyo sehemu ya mtu mwovu kutoka kwa Mungu, urithi uliotunzwa akiba na Mungu kwa ajili yake yeye.”
Tal es la suerte que Dios al impío tiene reservada, y la herencia que Dios le ha asignado.”

< Ayubu 20 >