< Ayubu 20 >

1 Ndipo Sofari, Mnaamathi alijibu na kusema,
Тогава нааматецът Софар в отговор рече:
2 “Mawazo yangu yananifanya mimi nijibu kwa haraka kwa sababu ya mashaka yaliyomo ndani yangu mimi.
Понеже ме карат мислите ми да отговоря, Затова бързам.
3 Mimi ninasikia kukemewa ambako kunaniondolea heshima mimi, lakini roho kutoka katika ufahamu wangu hunijibu mimi.
Чух укорително изобличение против мене; И духът на разума ме кара да отговоря.
4 Je, unafahamu kwamba ukweli huu kutoka enzi za kale, wakati Mungu alipomweka mwanadamu juu ya nchi:
Не знаеш ли това от старо време, От когато е поставен човек на земята,
5 ushindi wa mtu mwovu ni mfupi, na furaha ya mtu asiyemcha Mungu hudumu kwa kitambo tu?
Че тържеството на нечестивите е кратковременно, И радостта на безбожния е минутна?
6 Ingawa urefu wake yeye hufikia juu kwenye mbingu, na kichwa chake yeye kufikia kwenye mawingu,
Макар величието му да се издигне до небето, И главата му да стигне до облаците.
7 bado mtu huyo atapotea siku zote kama mavi yake yeye mwenyewe; wale waliokuwa wamemuona yeye watasema, 'Yuko wapi yeye'?
Пак той ще се изрине за винаги, както нечистотиите му; Ония, които са го гледали, ще кажат, Где е той?
8 Yeye atapaa mbali kama ndoto na hataonekana; ndivyo ilivyo, yeye atakuwa amefukuzwa mbali kama ono la
Като сън ще отлети и няма да се намери, И като нощно видение ще изчезне.
9 usiku. Jicho ambalo lilimuona yeye halitamuona yeye tena; mahali pake hapatamuona yeye tena.
Окото, което го е гледало, не ще го гледа вече; И мястото му няма да го види вече.
10 Watoto wake wataomba msamaha kwa watu maskini, mikono yake itaweza kurudisha utajiri wake.
Чадата му ще потърсят благоволението на сиромасите; И ръцете му ще повърнат имота им.
11 Mifupa yake imejaa nguvu za ujanani, lakini zitalala naye chini katika mavumbi.
Костите му са пълни със съгрешенията на младостта му; И те ще лежат с него в пръстта.
12 Japokuwa uovu ni mtamu katika mdomo wake yeye, japokuwa yeye anauficha chini ya ulimi wake yeye,
Ако и да е сладко злото в устата му, Та го крие под езика си.
13 japokuwa anaushikilia pale na hauruhusu kwenda lakini bado huushikilia katika mdomo wake yeye -
Ако и да го жали и не го оставя, Но все още го държи вътре в устата си,
14 chakula katika koromeo lake yeye hugeuka kuwa uchungu; hugeuka kuwa sumu ya majoka ndani yake yeye.
Пак храната му ще се измени в червата му, На жлъчка аспидна ще се обърне във вътрешностите му.
15 Yeye humeza chini utajiri, lakini yeye atautapika tena; Mungu atautoa nje kutoka katika tumbo lake yeye.
Погълнал е богатство, но ще го повърне; Бог ще го изтръгне из корема му.
16 Yeye atamumunya sumu ya majoka; ulimi wa nyoka mwenye sumu utamwua yeye.
Отрова аспидна ще суче; Език ехиднин ще го умъртви.
17 Yeye hatafurahia vijito vya maji, wingi wa asali na siagi.
Няма вече да гледа потоците, Реките, които текат с мед и масло.
18 Yeye atayarudisha matunda ya kazi yake na hataweza kuyala; yeye hatafurahia utajiri alioupata kwa biashara zake yeye.
Това, за което се трудим, ще го възвърне, И няма да се наслаждава на него; Съразмерно с имота, който е придобил, Той няма да се радва,
19 Kwa kuwa yeye amewakandamiza na kuwasahau watu maskini; yeye kwa uonevu, amezichukua mbali nyumba ambazo hakuzijenga yeye.
Защото е угнетил сиромасите и ги е оставил; Заграбил е къща, която не бе построил.
20 Kwa sababu yeye mwenyewe hakujua utoshelevu wowote, yeye hataweza kuokoa kitu chochote katika kile ambacho alijifurahisha.
Понеже не е знаел насита на лакомството си, Няма да запази нищо от това, което му е най-мило;
21 Hakuna chochote kilichoachwa ambacho yeye hakukimeza; kwa hiyo mafanikio yake yeye hayatakuwa ya kudumu.
Понеже не остана нищо, което не изпояде, Затова благоденствието му няма да трае.
22 katika wingi wa utajiri wake yeye ataanguka katika mahangaiko; mkono wa kila mmoja ambaye yuko katika umaskini utakuja kinyume chake yeye.
Когато е в пълно изобилие, ще го сполети оскъдност; Ръката на всеки окаяник ще го нападне.
23 Wakati akiwa katika kulijaza tumbo lake, Mungu atatupa hasira ya ghadhabu yake juu yake yeye; Mungu ataunyeshea chini juu yake yeye wakati yeye anakula.
Когато се кани да напълни корема си, Бог ще хвърли върху него яростния Си гняв, И ще го навали върху него, когато още яде.
24 Ingawa mtu huyo atakimbia kutoka katika silaha ya chuma, upinde wa shaba utampiga yeye.
Когато бяга от желязното оръжие, Стрелата на медния лък ще го прониже.
25 Mshale utatoboa kupitia mgongoni mwake na utatokezea; ni dhahiri, ncha inayong'ra itatokezea nje kupitia ini lake yeye; watesi huja tena juu yake.
Той я изтръгва, и тя излиза из тялото му, Да! лъскавият й връх излиза из жлъчката му; Ужаси го обземат.
26 Giza lliilo kamilika limetunzwa kwa akiba zake; moto usiopulizwa utamla yeye kwa haraka; utameza kile kilichoachwa katika hema yake.
Всякаква тъмнина е запазена за съкровищата му; Огън нераздухван от човек ще го пояде; На тия, които останат в шатъра му, зле ще им бъде.
27 Mbingu zitauweka wazi uovu wake, na nchi itainuka juu dhidi yake yeye kama shahidi.
Небето ще открие беззаконието му, И земята ще се повдигне против него.
28 Utajiri wa nyumba yake utatoweka; bidhaa zake zitamwagika mbali siku ya ghadhabu ya Mungu.
Богатството на дома му ще изчезне, В деня на Божия гняв ще се разпилее.
29 Hii ndiyo sehemu ya mtu mwovu kutoka kwa Mungu, urithi uliotunzwa akiba na Mungu kwa ajili yake yeye.”
Това е от Бога делът на нечестивия, И определеното му от Бога наследство.

< Ayubu 20 >