< Ayubu 19 >

1 Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
Then Job answered and said,
2 lini mtanifanya mimi kuteseka na kunivunja vunja mimi vipande vipnde kwa maneno?
How long will ye vex my soul, and destroy me with words? only know that the Lord has dealt with me thus.
3 Mara kumi hivi mmenishutumu mimi; ninyi hamuoni aibu kwamba mmenitendea mimi kwa ukatili.
Ye speak against me; ye do not feel for me, but bear hard upon me.
4 Kama ni dhahiri kweli mimi nimekosa, makosa yangu hubaki kuwa wajibu wangu.
Yea verily, I have erred in truth, (but the error abides with myself) in having spoken words which it was not right [to speak]; and my words err, and are unreasonable.
5 Kama ni dhahiri ninyi mtajiinua juu yangu mimi na kuutumia uvumilivu wangu kunipinga mimi,
But alas! for ye magnify yourselves against me, and insult me with reproach.
6 kisha ninyi mnapaswa kutambua kwamba Mungu amefanya mabaya kwangu mimi na amenikamata mimi katika mtego wake yeye.
Know then that it is the Lord that has troubled [me], and has raised his bulwark against me.
7 Tazama, Mimi ninalia kwa sauti, “dhuluma!” lakini sipati jibu. Mimi ninaita kwa ajili ya msaada, lakini hakuna haki.
Behold, I laugh at reproach; I will not speak: [or] I will cry out, but [there is] nowhere judgment.
8 Yeye ameiwekea ukuta njia yangu, ili kwamba mimi nisiweze kupita, na yeye ameweka giza katika njia yangu.
I am fenced round about, and can by no means escape: he has set darkness before my face.
9 Yeye ameniondoa Mimi kutoka katika utukufu wangu, na ameichukua taji kutoka kwenye kichwa changu mimi.
And he has stripped me of my glory, and has taken the crown from my head.
10 Yeye amenivunjavunja mimi chini kwa kila upande, na Mimi nimetoweka; yeye amelikokota juu tumaini langu kama mti.
He has torn me around about, and I am gone: and he has cut off my hope like a tree.
11 Yeye pia ameiongeza ghadhabu yake dhidi yangu mimi; yeye ananihesabu mimi kama mmoja wa adui zake.
And he has dreadfully handled me in anger, and has counted me for an enemy.
12 Majeshi yake huja juu pamoja; wao wananikosesha tumaini kwa kuniteka nyara kwa kundi kubwa kupigana na mimi wakizunguka hema yangu.
His troops also came upon me with one accord, liars in wait compassed my ways.
13 Yeye amewaweka ndugu zangu mbali kutoka kwangu mimi; watu wangu wa karibu wote wamejitenga kutoka kwangu mimi.
My brethren have stood aloof from me; they have recognized strangers [rather] than me: and my friends have become pitiless.
14 Vizazi vyangu vimeniangusha mimi; rafiki zangu wa karibu wamenisahamu mimi.
My nearest of kin have not acknowledged me, and they that knew my name, have forgotten me.
15 Wale ambao mwanzoni walikaa kama wageni ndani ya nyumba yangu na watumishi wangu wa kike, hunihesabu mimi kama mgeni. Mimi nimekuwa mgeni katika macho yao.
[As for] my household, and my maid-servants, I was a stranger before them.
16 Mimi ninamwita mtumishi wangu, lakini yeye hanipi jibu japokuwa Mimi nimemsihi yeye kwa midomo yangu.
I called my servant, and he hearkened not; and my mouth intreated [him].
17 Pumzi yangu mimi ni chukizo kwa mke wangu; Hata mimi ninachukiwa na wale ambao walizaliwa kutoka katika tumbo la mama yangu mimi.
And I besought my wife, and earnestly intreated the sons of my concubines.
18 Hata watoto wachanga wananichukia mimi; ikiwa Mimi nitainuka kuzungumza, wao huzungumza dhidi yangu mimi.
But they rejected me for ever; whenever I rise up, they speak against me.
19 Rafiki zangu wote ninaowazoea wananichukia sana mimi; wale ambao Mimi ninawapenda wamegeuka kinyume na mimi.
They that saw me abhorred me: the very persons whom I had loved, rose up against me.
20 Mifupa yangu inashikamana kwenye ngozi yangu na kwenye mwili wangu; Mimi ninaishi tu kwa ngozi ya meno yangu.
My flesh is corrupt under my skin, and my bones are held in [my] teeth.
21 Iweni na huruma juu yangu mimi, muwe na huruma juu yangu mimi, rafiki zangu, kwa maana mkono wa Mungu umenigusa mimi.
Pity me, pity me, O friends; for it is the hand of the Lord that has touched me.
22 Kwa nini mnanitesa mimi kama ninyi mlikuwa Mungu? kwa nini hamjatosheka bado kwa kula mwili wangu?
Wherefore do ye persecute me as also the Lord [does], and are not satisfied with my flesh?
23 Laiti, hayo maneno yangu yangekuwa yameandikwa chini! Laiti, hayo yangekuwa yameandikwa katika kitabu!
For oh that my words were written, and that they were recorded in a book forever,
24 Laiti, kwa kalamu ya chuma na risasi hayo yangekuwa yamechorwa katika mwamba siku zote!
with an iron pen and lead, or graven in the rocks!
25 Lakini kama ilivyo kwangu mimi, Mimi ninafahamu kwamba mkombozi wangu anaishi, na kwamba hata mwisho atasimama katika nchi;
For I know that he is eternal who is about to deliver me,
26 baada ya ngozi yangu, hivyo ndivyo, mwili huu, unaharibiwa, ndipo katika mwili wangu mimi Nitamwona Mungu.
[and] to raise up upon the earth my skin that endures these [sufferings]: for these things have been accomplished to me of the Lord;
27 Mimi nitamwona yeye kwa macho yangu mwenyewe-Mimi, na siyo mtu mwingine. Moyo wangu hushindwa ndani yangu mimi.
which I am conscious of in myself, which mine eye has seen, and not another, but all have been fulfilled to me in [my] bosom.
28 Kama mnatasema, 'Kwa jinsi gani tutamtesa yeye? Mzizi wa mahangaiko yake unakaa katika yeye;
But if ye shall also say, What shall we say before him, and [so] find the root of the matter in him?
29 ndipo uwe umeogopeshwa kwa ule upanga, kwa sababu ghadhabu huleta hukumu ya upanga, hivyo kwamba wewe uweze kutambua kuna hukumu.”
Do ye also beware of deceit: for wrath will come upon transgressors; and then shall they know where their substance is.

< Ayubu 19 >