< Ayubu 18 >

1 Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
Na Suhini Bildad buae se,
2 Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
“Bere bɛn na wubegyae kasa tenten yi? Dwene ho yiye, na afei yebetumi akasa.
3 Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
Adɛn nti na wofa yɛn sɛ anantwi na wususuw sɛ yennim nyansa yi?
4 Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
Wo a wode abufuw tetew wo mu nketenkete, wo nti na yemfi asase so anaasɛ wonnwiriw abotan mfi wɔn sibea ana?
5 Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
“Omumɔyɛfo kanea adum; na ne gya nnɛw bio.
6 Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
Hann a ɛwɔ ne ntamadan mu duru sum; kanea a esi ne ho no dum.
7 Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
Nʼanammɔntu mu ahoɔden ano bɛbrɛ ase; nʼankasa nhyehyɛe hwe no ase.
8 Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
Nʼanammɔn de no kɔ afiri mu, na okyinkyin kɔtɔ ne tan mu.
9 Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
Afiri so ne nantin na eso ne mu dennen.
10 Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
Wɔasum no afiri ahintaw wɔ fam; afiri wɔ ne kwan mu.
11 Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
Ahunahuna ma ɔbɔ huboa wɔ ne ho nyinaa na ɛhaw no wɔ nʼanammɔntu biara mu.
12 Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
Atoyerɛnkyɛm kɔn dɔ no; na sɛ ɔhwe ase a, amanehunu retwɛn no.
13 Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
Ɛwewe ne honam ani baabi; na owu di kan sɛe nʼakwaa.
14 Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
Wɔtwe no fi ne ntamadan bammɔ mu na wɔde no brɛ ahunahunahene.
15 Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
Ogya te ne ntamadan mu; na wɔabɔ sufre a ɛredɛw apete nʼatenae.
16 Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
Ne ntin wuwu wɔ ase na ne mman nso wu wɔ soro.
17 Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
Wɔnnkae no asase so bio; na onni din wɔ asase so.
18 Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
Wɔka no fi hann mu kɔ sum mu na wɔpam no fi wiase.
19 Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
Onni mma anaa nananom wɔ ne nkurɔfo mu, na nʼaseni biara renka wɔ baabi a ɔtenae.
20 Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
Nnipa a wofi atɔe fam ho adwiriw wɔn wɔ nea ato no no ho; na aninyanne bunkam wɔn a wɔwɔ apuei fam no so.
21 Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”
Ampa ara, sɛɛ na omumɔyɛfo atenae te; sɛɛ ne beae a nea onnim Onyankopɔn no te.”

< Ayubu 18 >