< Ayubu 18 >

1 Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
Entonces Bildad suhita respondió:
2 Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
¿Hasta cuándo tenderás trampa con palabras? Recapacita, y después hablemos.
3 Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
¿Por qué somos considerados como animales y como torpes ante ti?
4 Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
Tú, que te desgarras en tu furor, ¿será abandonada la tierra por tu causa, o serán removidas las peñas de su sitio?
5 Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
Ciertamente la luz de los impíos es apagada, y la luz de su fuego no resplandece.
6 Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
La luz de su vivienda está oscura, porque su lámpara es apagada.
7 Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
Los pasos de su vigor son acortados, y su propio designio lo derribará.
8 Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
Porque sus propios pies lo echarán en la red y deambula en la maraña.
9 Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
Una trampa lo atrapa por el talón, y se aferra la trampa contra él.
10 Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
Una trampa está oculta en la tierra para él, y una trampa lo espera en el sendero.
11 Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
De todas partes lo asaltan los terrores y lo hostigan a cada paso.
12 Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
Su vigor se desgasta por el hambre, y la calamidad está lista a su lado.
13 Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
La enfermedad carcome su piel, y el primogénito de la muerte devora sus miembros.
14 Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
Su confianza será removida de su vivienda, y él será arrastrado ante el rey de los espantos.
15 Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
El fuego estará en su casa, y azufre será esparcido sobre su vivienda.
16 Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
Desde abajo se secan sus raíces, y desde arriba se marchita su ramaje.
17 Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
Su recuerdo desaparece de la tierra, y ya no tendrá nombre en las calles.
18 Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
De la luz es empujado a la oscuridad, y es echado fuera del mundo.
19 Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
No tiene futuras generaciones ni descendiente en su pueblo, ni sobreviviente en sus viviendas.
20 Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
Los que vienen del oeste se asombran de su destino, y los que viven en el este se aterrorizan de espanto.
21 Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”
Ciertamente así son las moradas del perverso, y tal el lugar del que no conoce a ʼElohim.

< Ayubu 18 >