< Ayubu 18 >

1 Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
Respondens autem Baldad Suhites, dixit:
2 Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
Usque ad quem finem verba iactabitis? intelligite prius, et sic loquamur.
3 Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
Quare reputati sumus ut iumenta, et sorduimus coram vobis?
4 Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
Qui perdis animam tuam in furore tuo, numquid propter te derelinquetur terra, et transferentur rupes de loco suo?
5 Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
Nonne lux impii extinguetur, nec splendebit flamma ignis eius?
6 Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
Lux obtenebrescet in tabernaculo illius, et lucerna, quæ super eum est, extinguetur.
7 Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
Arctabuntur gressus virtutis eius, et præcipitabit eum consilium suum.
8 Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
Immisit enim in rete pedes suos, et in maculis eius ambulat.
9 Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
Tenebitur planta illius laqueo, et exardescet contra eum sitis.
10 Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
Abscondita est in terra pedica eius, et decipula illius super semitam.
11 Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
Undique terrebunt eum formidines, et involvent pedes eius.
12 Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
Attenuetur fame robur eius, et inedia invadat costas illius.
13 Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
Devoret pulchritudinem cutis eius, consumat brachia illius primogenita mors.
14 Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
Avellatur de tabernaculo suo fiducia eius, et calcet super eum, quasi rex, interitus.
15 Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
Habitent in tabernaculo illius socii eius, qui non est, aspergatur in tabernaculo eius sulphur.
16 Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
Deorsum radices eius siccentur, sursum autem atteratur messis eius.
17 Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
Memoria illius pereat de terra, et non celebretur nomen eius in plateis.
18 Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
Expellet eum de luce in tenebras, et de orbe transferet eum.
19 Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
Non erit semen eius, neque progenies in populo suo, nec ullæ reliquiæ in regionibus eius.
20 Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
In die eius stupebunt novissimi, et primos invadet horror.
21 Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”
Hæc sunt ergo tabernacula iniqui, et iste locus eius, qui ignorat Deum.

< Ayubu 18 >