< Ayubu 18 >

1 Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
Et Bildad, le Shukhite, répondit et dit:
2 Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
Jusques à quand tendrez-vous des pièges avec vos paroles? Soyez intelligents, et puis nous parlerons.
3 Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
Pourquoi sommes-nous considérés comme des bêtes, et sommes-nous stupides à vos yeux?
4 Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
Toi qui déchires ton âme dans ta colère, la terre sera-t-elle abandonnée à cause de toi, et le rocher sera-t-il transporté de sa place?
5 Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
Or la lumière des méchants sera éteinte, et la flamme de son feu ne luira point;
6 Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
La lumière sera ténèbres dans sa tente, et sa lampe sera éteinte au-dessus de lui.
7 Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
Les pas de sa force seront resserrés, et son propre conseil le renversera:
8 Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
Car il est poussé dans le filet par ses propres pieds; et il marche sur les mailles du filet;
9 Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
Le piège le prend par le talon, le lacet le saisit;
10 Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
Sa corde est cachée dans la terre, et sa trappe sur le sentier.
11 Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
De toutes parts des terreurs l’alarment et le poussent çà et là, s’attachant à ses pas.
12 Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
Sa force est affaiblie par la faim, et la calamité est prête à son côté.
13 Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
Le premier-né de la mort dévore les membres de son corps, il dévore ses membres.
14 Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
Ce qui faisait sa confiance est arraché de sa tente, et il est forcé de marcher vers le roi des terreurs.
15 Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
Ce qui n’est pas à lui habite dans sa tente, le soufre est répandu sur son habitation.
16 Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
En bas ses racines sèchent, et en haut ses branches sont coupées.
17 Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
Sa mémoire périt de dessus la terre, et il n’a pas de nom sur la face du pays.
18 Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
Il est repoussé de la lumière dans les ténèbres; on le bannit du monde.
19 Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
Il n’a pas d’enfants ni de postérité parmi son peuple, personne qui lui survive dans les lieux de son séjour.
20 Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
Ceux qui viennent après seront étonnés de son jour, comme l’horreur s’est emparée de ceux qui [les] ont précédés.
21 Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”
Certainement, telles sont les demeures de l’inique, et tel est le lieu de celui qui ne connaît pas Dieu.

< Ayubu 18 >