< Ayubu 17 >

1 Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
Min livskraft är förstörd, mina dagar slockna ut, bland gravar får jag min lott.
2 Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
Ja, i sanning är jag omgiven av gäckeri, och avoghet får mitt öga ständigt skåda hos dessa!
3 Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
Så ställ nu säkerhet och borgen för mig hos dig själv; vilken annan vill giva mig sitt handslag?
4 Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
Dessas hjärtan har du ju tillslutit för förstånd, därför skall du icke låta dem triumfera.
5 Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
Den som förråder sina vänner till plundring, på hans barn skola ögonen försmäkta.
6 Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
Jag är satt till ett ordspråk bland folken; en man som man spottar i ansiktet är jag.
7 Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
Därför är mitt öga skumt av grämelse, och mina lemmar äro såsom en skugga allasammans.
8 Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
De redliga häpna över sådant, och den oskyldige uppröres av harm mot den gudlöse.
9 Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
Men den rättfärdige håller fast vid sin väg, och den som har rena händer bemannar sig dess mer.
10 Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
Ja, gärna mån I alla ansätta mig på nytt, jag lär ändå bland eder ej finna någon vis.
11 Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
Mina dagar äro förlidna, sönderslitna äro mina planer, vad som var mitt hjärtas begär.
12 Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
Men natten vill man göra till dag, ljuset skulle vara nära, nu då mörker bryter in.
13 Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol h7585)
Nej, huru jag än bidar, bliver dödsriket min boning, i mörkret skall jag bädda mitt läger; (Sheol h7585)
14 tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
till graven måste jag säga: "Du är min fader", till förruttnelsens maskar: "Min moder", "Min syster".
15 liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
Vad bliver då av mitt hopp, ja, mitt hopp, vem får skåda det?
16 Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol h7585)
Till dödsrikets bommar far det ned, då jag nu själv går till vila i stoftet. (Sheol h7585)

< Ayubu 17 >