< Ayubu 17 >

1 Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
Духът ми чезне, дните ми гаснат, мене вече гробът чака.
2 Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
Сигурно ми се присмиват; И окото ми трябва постоянно да гледа огорченията им!
3 Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
Дай, моля, поръчителство; стани ми поръчител при Себе Си; Кой друг би дал ръка на мене?
4 Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
Защото си скрил сърцето им от разум; Затова няма да ги възвисиш.
5 Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
Който заради плячка предава приятели - Очите на чадата му ще изтекат.
6 Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
Той ме е поставил и поговорка на людете; И укор станах аз пред тях.
7 Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
Помрачиха очите ми от скръб, И всичките ми телесни части станаха като сянка.
8 Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
Правдивите ще се почудят на това, И невинният ще се повдигне против нечестивия.
9 Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
А праведният ще се държи в пътя си, И който има чисти ръце ще увеличава силата си.
10 Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
А вие всички, моля, пак дойдете; Обаче не ще мога намери между вас един разумен.
11 Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
Дните ми преминаха; Намеренията ми и желанията на сърцето ми се пресякоха.
12 Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
Нощта скоро ще замести деня; Виделото е близо до тъмнината,
13 Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol h7585)
Ако очаквам преизподнята за мое жилище, Ако съм постлал постелката си в тъмнината, (Sheol h7585)
14 tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
Ако съм викнал към тлението, Баща ми си ти, - Към червеите: Майка и сестра ми сте,
15 liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
То где е сега надеждата ми? Да! кой ще види надеждата ми?
16 Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol h7585)
При вратите на преизподнята ще слезе тя, Когато едновременно ще има покой в пръстта. (Sheol h7585)

< Ayubu 17 >