< Ayubu 15 >

1 Ndipo Elifazi Mtemani alijibu na kusema,
Entonces Elifaz temanita tomó la palabra y dijo:
2 Mtu mwenye hekima anapaswa kujibu kwa maarifa yasiyofaa na kujijaza mwenyewe na upepo wa mashariki?
“¿Es acaso de sabios responder con argumentos vanos, y llenarse el pecho de viento,
3 Anapaswa kuhojiana na mazungumzo yasiyo na faida au na hotuba ambazo kwa hizo yeye hawezi kufanya mema?
arguyendo con palabras inútiles, y con razones sin valor?
4 Dhahiri, wewe wafifisha heshima ya Mungu; Wewe wazuia heshima kwa yeye,
De veras, tú destruyes la piedad y socavas el temor de Dios.
5 kwa maana uovu wako hufundisha midomo yako; Wewe wachagua kuwa na ulimi wa mtu mwenye hila.
Porque tu boca revela tu iniquidad, adoptas el lenguaje de los arteros.
6 Mdomo wako mwenyewe hukukukumu wewe, siyo wangu; hakika, midomo yako mwenyewe hushuhudia dhidi yako wewe.
Tu propia boca, y no yo, te condena, tus mismos labios testifican contra ti.
7 Je, wewe ni mwanadamu wa kwanza ambaye aliyezaliwa? Wewe ulikuwepo kabla ya vilima kuwepo?
¿Naciste tú el primero de los hombres, saliendo a la luz antes que los montes?
8 Wewe Umewahi kusikia maarifa ya siri ya Mungu? Je, wewe wajihesabia mwenye hekima wewe mwenyewe?
¿Escuchaste tú los secretos de Dios, secuestraste para ti la sabiduría?
9 Ni kitu gani unachokifahamu wewe ambacho sisi hatukijui? Ni kitu gani unachokifahamu wewe ambacho hakiko katika sisi?
¿Qué sabes tú, que no sepamos nosotros? ¿En qué nos supera tu sabiduría?
10 Pamoja nasi wapo pia wenye mvi na watu wazee sana ambao ni wazee zaidi kuliko baba yako.
También entre nosotros hay cabezas canas y hombres de edad, más avanzados en días que tu padre.
11 Je, faraja ya Mungu ni ndogo sana kwako, maneno ambayo ni ya upole dhidi yako wewe?
¿Acaso tienes en poco las consolaciones de Dios, y las suaves palabras que se te dicen.
12 Kwa nini moyo wako wewe unakupeleka mbali? Kwa nini macho yako yananga'ra,
¿Adónde te lleva tu corazón, y qué significa el pestañeo de tus ojos?
13 ili ya kwamba kuirejesha roho yako kwa Mungu na kuyatoa maneno hayo kutoka katika mdomo wako?
¿Por qué diriges contra Dios tu ira, y profiere tu boca tales palabras?
14 Je, mwanadamu yeye ni nini kwamba yeye anapaswa kuwa safi? Yeye mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke ni nini kwamba yeye anapaswa awe mwenye haki?
¿Qué es el hombre para aparecer inocente; el nacido de mujer, para ser justo?
15 Tazama, Mungu haweki tumaini lake hata kwa mmoja wake aliye mtakatifu; Hakika, mbingu haziko safi machoni pake yeye;
Pues Él no se fía ni de sus santos; los mismos cielos no están limpios a su vista;
16 jinsi gani asivyo safi ni mmoja aliye mbaya na mla rushwa, mtu ambaye hunywa uovu kama maji!
¿cuánto menos este ser, abominable y perverso, el hombre, que bebe como agua la iniquidad?
17 Mimi nitakuonyesha wewe; Nisikilize mimi; Mimi nitakutangazia wewe vitu ambavyo nimeviona,
Te voy a enseñar; escúchame; te voy a contar lo que he visto,
18 vitu ambavyo watu wenye hekima wamepita chini yake kutoka kwa baba zao, vile vitu ambavyo mababu zao hawakuvificha.
lo que los sabios enseñan sin ocultar nada, — (como lo recibieron) de sus padres—
19 Hawa walikuwa mababu zao, ambao kwao pekee nchi walipewa, na miongoni mwao hakuna mgeni aliyepita.
pues a ellos solos fue dado el país, y no pasó extraño alguno entre ellos.
20 Mtu mwovu hupitia katika maumivu siku zake zote, idadi ya miaka iliyowekwa juu kwa mtesaji kuteseka.
Todos sus días el impío es atormentado; y el tirano ignora el número de sus años.
21 Sauti ya vitisho katika masikio yake; pindi yeye yuko katika kufanikiwa, mharibu atakuja juu yake yeye.
Voz de angustia suena en sus oídos; en plena paz le asalta el devastador.
22 Yeye hafikiri kwamba yeye atarudi kutoka katika giza; Upanga humngojea yeye.
Él mismo pierde la esperanza de escapar a las tinieblas; se siente amenazado de la espada;
23 Yeye huenda sehemu mbali mbali kwa ajili ya mkate, akisema, 'Kiko wapi? ' Yeye anatambua kuwa siku ya giza iko mkononi.
vaga buscando alimento, (diciendo): ¿En dónde está? sabe que es inminente el día de las tinieblas;
24 Dhiki na mateso makali humfanya aogope; wao hushinda dhidi yake yeye, kama mfalme tayari kwa vita.
le aterran angustia y tribulación, le acometen como un rey listo para la guerra.
25 Kwa sababu yeye ameunyosha mkono wake dhidi ya Mungu na ameishi kwa kiburi dhidi ya aliye mkuu,
Pues extendió su mano contra Dios, se exaltó contra el Todopoderoso.
26 huyu mtu mwovu hukimbia kwa Mungu na shingo ngumu, kwa vifundo vikubwa vya ngao.
Corre contra Él, erguido el cuello, ocultándose detrás de sus escudos,
27 Hii ni kweli, hata ingawa yeye amefunika uso wake kwa mafuta yake na amekusanya mafuta juu ya viuno vyake,
cubierto el rostro con su gordura, con capas de grosura sus lomos.
28 na ameishi katika miji yenye ukiwa; katika nyumba ambazo hakuna mwanadamu anayeishi humo sasa na ambazo zilikuwa tayari kuwa magofu.
Vive en ciudades asoladas, en casas inhabitadas, destinadas a convertirse en ruinas.
29 Yeye hatakuwa tajiri; utajiri wake yeye hautadumu; hata kivuli chake hakitadumu katika nchi.
Por eso no será rico, sus bienes no durarán, y su hacienda no se extenderá sobre la tierra.
30 Yeye hatatoka nje ya giza; mwali wa moto utakausha matawi yake; katika pumzi ya kinywa cha Mungu yeye ataenda zake.
Nunca escapará a las tinieblas; la llama abrasará sus renuevos, y él será llevado por el soplo de la boca de (Dios).
31 Mwacheni yeye asitumaini katika vitu visivyofanya kazi, akijidanganya yeye mwenyewe; maana upuuzi utakuwa mshahara wake yeye.
No confíe en una engañosa vanidad; la misma vanidad será su recompensa.
32 Itatokea kabla ya wakati wake yeye atapaswa kufa; tawi lake halitakuwa kijani.
Ella le llegará antes que se acaben sus días, y sus ramas no reverdecerán ya más.
33 Yeye atazipukutisha zabibu zake zisizovunwa kama mzabibu; yeye atayaondoa maua yake kama mti wa mzeituni.
Sacudirá como la vid sus uvas, aun estando en cierne, y como el olivo dejará caer su flor.
34 Kwa maana msaada wa watu wasiomcha Mungu utakuwa tasa; moto utateketeza hema za rushwa.
La casa del impío es estéril, y el fuego consume la morada del que se deja sobornar.
35 Wao wanabeba mimba yenye ubaya na kuzaa uovu; tumbo lao hutunga mimba ya udanganifu.
Concibe penas y engendra maldades, nutriendo en su seno el engaño.”

< Ayubu 15 >