< Ayubu 15 >

1 Ndipo Elifazi Mtemani alijibu na kusema,
Tad Elifas no Temanas atbildēja un sacīja:
2 Mtu mwenye hekima anapaswa kujibu kwa maarifa yasiyofaa na kujijaza mwenyewe na upepo wa mashariki?
Vai tad gudram vīram būs runāt tukšas domas un savu sirdi pildīt ar vēju?
3 Anapaswa kuhojiana na mazungumzo yasiyo na faida au na hotuba ambazo kwa hizo yeye hawezi kufanya mema?
Pārmācīt ar vārdiem, kas nepieklājās, un ar valodu, kur labums neatlec?
4 Dhahiri, wewe wafifisha heshima ya Mungu; Wewe wazuia heshima kwa yeye,
Tiešām, tu iznīcini Dieva bijāšanu un nicini pielūgšanu Dieva priekšā.
5 kwa maana uovu wako hufundisha midomo yako; Wewe wachagua kuwa na ulimi wa mtu mwenye hila.
Jo tava mute parāda tavu noziegumu, un tu esi uzņēmies runāt, kā gudrinieki runā.
6 Mdomo wako mwenyewe hukukukumu wewe, siyo wangu; hakika, midomo yako mwenyewe hushuhudia dhidi yako wewe.
Tava mute tevi pazudina, un ne es; tavas lūpas pret tevi dod liecību.
7 Je, wewe ni mwanadamu wa kwanza ambaye aliyezaliwa? Wewe ulikuwepo kabla ya vilima kuwepo?
Vai tu esi tas pirmais cilvēks piedzimis, vai tu esi dzemdināts, pirms kalni bija?
8 Wewe Umewahi kusikia maarifa ya siri ya Mungu? Je, wewe wajihesabia mwenye hekima wewe mwenyewe?
Vai tu esi dzirdējis Dieva apslēpto padomu, vai tu gudrību esi iezīdis?
9 Ni kitu gani unachokifahamu wewe ambacho sisi hatukijui? Ni kitu gani unachokifahamu wewe ambacho hakiko katika sisi?
Ko tu zini, ko mēs nezinātu, ko tu proti, un mēs to neprastu?
10 Pamoja nasi wapo pia wenye mvi na watu wazee sana ambao ni wazee zaidi kuliko baba yako.
Arī mūsu starpā ir sirmi un veci, kas ilgāki dzīvojuši, nekā tavs tēvs.
11 Je, faraja ya Mungu ni ndogo sana kwako, maneno ambayo ni ya upole dhidi yako wewe?
Vai Dieva iepriecināšanas priekš tevis mazas, un vārds, laipnīgi uz tevi runāts?
12 Kwa nini moyo wako wewe unakupeleka mbali? Kwa nini macho yako yananga'ra,
Kāpēc tava sirds tevi tā apmāna, kāpēc tavas acis tā spulgo,
13 ili ya kwamba kuirejesha roho yako kwa Mungu na kuyatoa maneno hayo kutoka katika mdomo wako?
Ka tavas dusmas ceļas pret Dievu un izverd tādu valodu no tavas mutes?!
14 Je, mwanadamu yeye ni nini kwamba yeye anapaswa kuwa safi? Yeye mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke ni nini kwamba yeye anapaswa awe mwenye haki?
Kas ir cilvēks, ka tas būtu šķīsts, un ka būtu taisns, kas no sievas dzimis?
15 Tazama, Mungu haweki tumaini lake hata kwa mmoja wake aliye mtakatifu; Hakika, mbingu haziko safi machoni pake yeye;
Redzi, Saviem svētiem Viņš neuztic un debesis nav šķīstas priekš Viņa acīm.
16 jinsi gani asivyo safi ni mmoja aliye mbaya na mla rushwa, mtu ambaye hunywa uovu kama maji!
Ne nu vēl tas negantais un samaitātais cilvēks, kas netaisnību dzer kā ūdeni.
17 Mimi nitakuonyesha wewe; Nisikilize mimi; Mimi nitakutangazia wewe vitu ambavyo nimeviona,
Es tev stāstīšu, klausies mani, un es tev teikšu, ko esmu redzējis,
18 vitu ambavyo watu wenye hekima wamepita chini yake kutoka kwa baba zao, vile vitu ambavyo mababu zao hawakuvificha.
Ko gudrie stāstījuši no saviem tēviem un nav slēpuši, -
19 Hawa walikuwa mababu zao, ambao kwao pekee nchi walipewa, na miongoni mwao hakuna mgeni aliyepita.
Tiem vien zeme bija dota, un svešinieks viņu starpā nebija nācis, -
20 Mtu mwovu hupitia katika maumivu siku zake zote, idadi ya miaka iliyowekwa juu kwa mtesaji kuteseka.
Bezdievīgais mokās visu mūžu, un briesmīgais, cik tam gadi nolikti.
21 Sauti ya vitisho katika masikio yake; pindi yeye yuko katika kufanikiwa, mharibu atakuja juu yake yeye.
Viņa ausīs skan briesmas, pašā mierā viņam uzbrūk postītājs.
22 Yeye hafikiri kwamba yeye atarudi kutoka katika giza; Upanga humngojea yeye.
Viņš neuzticās iznākt no tumsības; jo zobens uz viņu gaida.
23 Yeye huenda sehemu mbali mbali kwa ajili ya mkate, akisema, 'Kiko wapi? ' Yeye anatambua kuwa siku ya giza iko mkononi.
Viņš skraida šurp un turp pēc maizes, kur varētu dabūt; viņš zin tumsības dienu sev tuvu klātu.
24 Dhiki na mateso makali humfanya aogope; wao hushinda dhidi yake yeye, kama mfalme tayari kwa vita.
Bēdas un izbailes viņu biedē, viņu pārvar kā ķēniņš, uz kaušanos gatavs.
25 Kwa sababu yeye ameunyosha mkono wake dhidi ya Mungu na ameishi kwa kiburi dhidi ya aliye mkuu,
Jo viņš izstiepa savu roku pret Dievu un cēlās pret to Visuvareno.
26 huyu mtu mwovu hukimbia kwa Mungu na shingo ngumu, kwa vifundo vikubwa vya ngao.
Viņš skrēja pret Viņu ar pašu galvu, ar savu priekšturamo bruņu biezām pumpām.
27 Hii ni kweli, hata ingawa yeye amefunika uso wake kwa mafuta yake na amekusanya mafuta juu ya viuno vyake,
Viņš savu vaigu tauki izbaroja un kopa resnu vēderu.
28 na ameishi katika miji yenye ukiwa; katika nyumba ambazo hakuna mwanadamu anayeishi humo sasa na ambazo zilikuwa tayari kuwa magofu.
Viņš dzīvoja izpostītās pilsētās un namos, kur nebija jādzīvo, kuriem nolemts būt par akmeņu kopām.
29 Yeye hatakuwa tajiri; utajiri wake yeye hautadumu; hata kivuli chake hakitadumu katika nchi.
(Tāpēc) viņš nepaliks bagāts, un viņa manta nepastāvēs, un viņa laime neizplētīsies virs zemes.
30 Yeye hatatoka nje ya giza; mwali wa moto utakausha matawi yake; katika pumzi ya kinywa cha Mungu yeye ataenda zake.
Viņš no tumsības ārā neiznāks, liesma izkaltēs viņa zarus, caur Dieva mutes dvašu viņš aizies.
31 Mwacheni yeye asitumaini katika vitu visivyofanya kazi, akijidanganya yeye mwenyewe; maana upuuzi utakuwa mshahara wake yeye.
Lai viņš nepaļaujas uz nelietību, ar to viņš pieviļas; jo nelietība būs viņa alga.
32 Itatokea kabla ya wakati wake yeye atapaswa kufa; tawi lake halitakuwa kijani.
Tā alga nāks priekšlaiku, un viņa zars nezaļos.
33 Yeye atazipukutisha zabibu zake zisizovunwa kama mzabibu; yeye atayaondoa maua yake kama mti wa mzeituni.
Viņš zaudēs kā vīna koks savus ķekarus un nometīs kā eļļas koks savus ziedus.
34 Kwa maana msaada wa watu wasiomcha Mungu utakuwa tasa; moto utateketeza hema za rushwa.
Jo bezdievīgo saime paliks neauglīga, un uguns norīs dāvanu ņēmēju dzīvokļus.
35 Wao wanabeba mimba yenye ubaya na kuzaa uovu; tumbo lao hutunga mimba ya udanganifu.
Tie ir grūti ar netaisnību un dzemdē postu, un savām sirds domām tie pieviļas.

< Ayubu 15 >