< Ayubu 13 >

1 Tazama, jicho langu limeyaona haya yote; sikio langu limeyasikia na kuyaelewa hayo.
Ecce omnia hæc vidit oculus meus, et audivit auris mea, et intellexi singula.
2 Kile mnachokifahamu, ndicho hicho mimi pia ninachokifahamu; Mimi siyo duni kwenu ninyi.
Secundum scientiam vestram et ego novi: nec inferior vestri sum.
3 Hata hivyo, Mimi ningeweza kuzungumza na mwenye nguvu; Mimi natamani kusemezana na Mungu.
Sed tamen ad Omnipotentem loquar, et disputare cum Deo cupio:
4 Lakini ninyi mnauficha ukweli kwa uongo; ninyi nyote ni tabibu msiokuwa na thamani.
Prius vos ostendens fabricatores mendacii, et cultores perversorum dogmatum.
5 Laiti, kwamba kwa pamoja mngeshikilia amani yenu! Hilo lingekuwa hekima yenu ninyi.
Atque utinam taceretis, ut putaremini esse sapientes.
6 Sikia sasa kuhoji kwangu; Sikiliza kusihi kwa midomo yangu mwenyewe.
Audite ergo correptionem meam, et iudicium labiorum meorum attendite.
7 Ninyi mtazungumza visivyo haki kwa ajili ya Mungu, na ninyi mtazungumza udanganyifu kwa yeye? Ni kweli ninyi mngeonyesha ukarimu kwa yeye?
Numquid Deus indiget vestro mendacio, ut pro illo loquamini dolos?
8 Ni kweli ninyi mngetetea katika mahakama kama mawakili wa Mungu?
Numquid faciem eius accipitis, et pro Deo iudicare nitimini?
9 Je, kweli ingekuwa vizuri kwenu wakati yeye akiwatafuta ninyi? Mngeweza ninyi kumdanganya yeye kama mlivyoweza kuwadanganya watu?
Aut placebit ei quem celare nihil potest? aut decipietur ut homo, vestris fraudulentiis?
10 Yeye kwa hakika angewathibitisha upya ninyi ikiwa katika siri ninyi mmeonyesha kutokukamilika.
Ipse vos arguet, quoniam in abscondito faciem eius accipitis.
11 Je, ukuu wake usingewafanya ninyi muogope? Je, utisho wake usingeshuka juu yenu?
Statim ut se commoverit, turbabit vos, et terror eius irruet super vos.
12 Hadithi zenu za misemo ya kukariri, ni mithali zimetengenezwa kwa majivu; utetezi wenu ni utetezi uliotengenezwa kwa udongo wa mfinyanzi.
Memoria vestra comparabitur cineri, et redigentur in lutum cervices vestræ.
13 Shikilieni amani yenu, mniache peke yangu, ili ya kwamba nipate kusema, acheni yaje yale yanayoweza kuja kwangu.
Tacete paulisper ut loquar quodcumque mihi mens suggesserit.
14 Nitaichukua nyama yangu mwenywewe katika meno yangu; Nitayachukua maisha yangu katika mikono yangu.
Quare lacero carnes meas dentibus meis, et animam meam porto in manibus meis?
15 Tazama, ikiwa ataniua mimi, sitakuwa na tumaini lililobakia; hata hivyo, nitazitetea njia zangu mbele zake yeye.
Etiam si occiderit me, in ipso sperabo: verumtamen vias meas in conspectu eius arguam.
16 Hiki kitakuwa sababu ya kutohesabiwa hatia, kwamba mimi sikuja mbele zake kama mtu asiyemcha Mungu.
Et ipse erit salvator meus: non enim veniet in conspectu eius omnis hypocrita.
17 Mungu, sikiliza kwa makini kuzungumza kwangu; ruhusu kutangaza kwangu kuje kwenye masikio yako.
Audite sermonem meum, et ænigmata percipite auribus vestris.
18 Tazama sasa, Nimeuweka utetezi wangu katika mpangilio, Mimi ninafahamu kwamba mimi sina hatia.
Si fuero iudicatus, scio quod iustus inveniar.
19 Ni nani anayeweza kushindana na mimi katika mahakama? Ikiwa mlikuja kufanya hivyo, na kama mimi nilithibitishwa kukosea, ndipo ningekuwa kimya na kuyatoa maisha yangu.
Quis est qui iudicetur mecum? veniat: quare tacens consumor?
20 Mungu, fanya mambo mawili kwa ajili yangu, na tena Mimi sitajificha kutoka katika uso wako.
Duo tantum ne facias mihi, et tunc a facie tua non abscondar:
21 Ondoa kutoka kwangu mkono wako unaotesa, na usiache utisho wako unifanye mimi kuogopa.
Manum tuam longe fac a me, et formido tua non me terreat.
22 Ndipo niite mimi, na mimi nitakujibu; au uniache mimi niseme na wewe na wewe unijibu mimi.
Voca me, et ego respondebo tibi: aut certe loquar, et tu responde mihi.
23 Je, maovu yangu na dhambi zangu ni ngapi? Nijulishe kosa langu na dhambi yangu.
Quantas habeo iniquitates et peccata, scelera mea et delicta ostende mihi.
24 Kwa nini unaficha uso wako kutoka kwangu mimi na kunitendea mimi kama adui yako?
Cur faciem tuam abscondis, et arbitraris me inimicum tuum?
25 Je, wewe utalitesa jani linalopeperushwa? Je, utaendelea kulifuatilia bua kavu?
Contra folium, quod vento rapitur, ostendis potentiam tuam, et stipulam siccam persequeris:
26 Kwa maana wew unaandika chini vitu vichungu dhidi yangu mimi; wewe unanifanya mimi kurithi uovu wa ujana wangu.
Scribis enim contra me amaritudines, et consumere me vis peccatis adolescentiæ meæ.
27 Wewe pia unaiweka miguu yangu katika nguo nyembamba; wewe waangalia njia zangu zote; wewe wachunguza chini mahali ambapo nyayo za miguu yangu zimekanyaga.
Posuisti in nervo pedem meum, et observasti omnes semitas meas, et vestigia pedum meorum considerasti:
28 japokuwa mimi ni kama kitu kilichooza ambacho hutupwa mbali, kama vazi lile ambalo nondo wamelila.
Qui quasi putredo consumendus sum, et quasi vestimentum quod comeditur a tinea.

< Ayubu 13 >