< Ayubu 11 >

1 Ndipo Sofari Mnaamathi alijibu na kusema,
Na Naamani Sofar buae se,
2 “Huo wingi wa maneno haupaswi kujibiwa? Mtu huyu, aliyejaa maneno mengi awe wa kuaminiwa?
“Ɛnsɛ sɛ woyi saa nsɛm yi ano ana? Ɛsɛ sɛ wobu saa ɔkasafo yi bem ana?
3 Kujivuna kwako kunapaswa kuwafanya wengine wabaki wamenyamaza? Wakati unapoyadhihaki mafundisho yetu, hakuna awaye yote atakayekufanya wewe ujisikie mwenye aibu?
Wo nsɛm hunu no bɛma nnipa ayɛ komm ana? Sɛ wudi fɛw a obiara nka wʼanim ana?
4 Kwa kuwa wewe unasema kwa Mungu, 'Imani yangu ni safi, Mimi sina waa lolote machoni pako.'
Woka kyerɛ Onyankopɔn se, ‘Me gyidi ho nni asɛm na meyɛ pɛ wɔ wʼani so.’
5 Lakini, laiti, Mungu huyo angesema na kufungua midomo yake dhidi yako;
Ao, anka mepɛ sɛ Onyankopɔn kasa, anka ɔnkasa ntia wo
6 hivyo angekuonyesha wewe siri za hekima! Kwa kuwa yeye ni mkuu katika ufahamu. Tena tambua huyo Mungu anataka kutoka kwako kidogo kuliko uovu wako unavyostahili.
na ommue nyansa mu ahintasɛm so nkyerɛ wo, efisɛ nyansa turodoo yɛ afanu. Hu sɛ Onyankopɔn werɛ afi wo bɔne no bi mpo.
7 Je, wewe unaweza kumfahamu Mungu kwa kumtafuta yeye? Unaweza kumtambua aliye mkuu kwa ukamilifu?
“Wubetumi ate Onyankopɔn anwonwade ase ana? Wubetumi abɔre ahu nea Otumfo no tumi kɔpem ana?
8 Upeo uko juu kama mbingu; unaweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kirefu kuliko kuzimu; waweza kufahamu nini wewe? (Sheol h7585)
Ɛkorɔn sen ɔsoro, dɛn na wubetumi ayɛ? Emu dɔ sen ɔda ase tɔnn, dɛn na wubetumi ahu? (Sheol h7585)
9 Vipimo vyake ni virefu kuliko nchi, na vipana kuliko bahari.
Ne nsusuwii mu ware sen asase na ɛtrɛw sen po.
10 kama yeye akipita kati na kumyamazisha mtu yeyote, kama yeye akimwita mtu yeyote hukumuni, tena ni nani anayeweza kumzuia yeye?
“Sɛ ɔba de wo bɛto afiase ansa na osi nkongua a, hena na obetumi asiw no kwan?
11 Kwa maana anawajua watu waongo; wakati anapoona uovu, hawezi yeye kuukumbuka?
Ampa ara ohu nnipa nnaadaafo; na sɛ ohu bɔne a, ɔnhyɛ ne nsow ana?
12 Lakini watu wapumbavu hawana ufahamu; wataupata wakati punda mwitu atakapozaa mtu.
Nanso ogyimifo rentumi nyɛ onyansafo da na wɔawo afurum ba sɛ onipa.
13 Lakini ikiwa umeuelekeza moyo wako kwa haki na umeunyosha mkono wako karibu na Mungu;
“Na sɛ wode wo koma ma no na wopagyaw wo nsa kyerɛ no,
14 ikiwa huo uovu ulikuwa katika mikono yako, lakini hivyo tena unauweka mbali nawe, na haukuruhusu kutokuwa mwenye haki kukaa hemani mwako.
sɛ wugyaa bɔne a wukura no mu na woamma amumɔyɛ antena wo ntamadan mu a
15 Ndipo kwa hakika ungeinua juu uso wako bila ishara ya aibu; Ni dhahiri, ungethibitika na usingeogopa.
ɛno de, bɔne nni wo ho, wobɛma wo ti so; wubegyina pintinn a worensuro.
16 Wewe ungesahau mateso yako; ungeyakumbuka hayo tu kama maji ambayo yametiririka mbali.
Wo werɛ befi wʼahokyere, na wɔbɛkae no sɛ nsu a asen kɔ.
17 Maisha yako yangekuwa angavu kuliko adhuhuri; japokuwa kulikuwa na giza, litakuwa kama asubuhi.
Abrabɔ bɛhyerɛn asen owigyinae, na sum bɛyɛ sɛ adekyee hann.
18 Ungekuwa salama kwa sababu kuna tumaini; ni dhahiri, wewe utapata usalama juu yako na utachukua pumziko lako katika usalama.
Wubenya bammɔ, efisɛ anidaso wɔ hɔ; wobɛhwɛ wo ho ahyia, na wahome asomdwoe mu.
19 Pia ungelala chini katika pumziko, na hakuna ambaye angekufanya wewe uogope; hakika wengi wangetafuta upendeleo wako.
Wobɛda ahome, na obi renhunahuna wo, na bebree bɛhwehwɛ mmoa afi wo nkyɛn.
20 Lakini macho ya watu waovu yatashindwa; hawatakuwa na njia ya kukimbia; tumaini lao la pekee litakuwa pumzi yao ya mwisho ya uhai.
Amumɔyɛfo ani befura, wɔrentumi nguan; na wɔn anidaso bɛdan owu ahomegu.”

< Ayubu 11 >