< Ayubu 11 >

1 Ndipo Sofari Mnaamathi alijibu na kusema,
Saa tog Na'amatiten Zofar til Orde og sagde:
2 “Huo wingi wa maneno haupaswi kujibiwa? Mtu huyu, aliyejaa maneno mengi awe wa kuaminiwa?
Skal en Ordgyder ej have Svar, skal en Mundheld vel have Ret?
3 Kujivuna kwako kunapaswa kuwafanya wengine wabaki wamenyamaza? Wakati unapoyadhihaki mafundisho yetu, hakuna awaye yote atakayekufanya wewe ujisikie mwenye aibu?
Skal Mænd vel tie til din Skvalder, skal du spotte og ikke faa Skam?
4 Kwa kuwa wewe unasema kwa Mungu, 'Imani yangu ni safi, Mimi sina waa lolote machoni pako.'
Du siger: »Min Færd er lydeløs, og jeg er ren i hans Øjne!«
5 Lakini, laiti, Mungu huyo angesema na kufungua midomo yake dhidi yako;
Men vilde dog Gud kun tale, oplade sine Læber imod dig,
6 hivyo angekuonyesha wewe siri za hekima! Kwa kuwa yeye ni mkuu katika ufahamu. Tena tambua huyo Mungu anataka kutoka kwako kidogo kuliko uovu wako unavyostahili.
kundgøre dig Visdommens Løndom, thi underfuld er den i Væsen; da vilde du vide, at Gud har glemt dig en Del af din Skyld!
7 Je, wewe unaweza kumfahamu Mungu kwa kumtafuta yeye? Unaweza kumtambua aliye mkuu kwa ukamilifu?
Har du loddet Bunden i Gud og naaet den Almægtiges Grænse?
8 Upeo uko juu kama mbingu; unaweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kirefu kuliko kuzimu; waweza kufahamu nini wewe? (Sheol h7585)
Højere er den end Himlen — hvad kan du? Dybere end Dødsriget — hvad ved du? (Sheol h7585)
9 Vipimo vyake ni virefu kuliko nchi, na vipana kuliko bahari.
Den overgaar Jorden i Vidde, er mere vidtstrakt end Havet.
10 kama yeye akipita kati na kumyamazisha mtu yeyote, kama yeye akimwita mtu yeyote hukumuni, tena ni nani anayeweza kumzuia yeye?
Farer han frem og fængsler, stævner til Doms, hvem hindrer ham?
11 Kwa maana anawajua watu waongo; wakati anapoona uovu, hawezi yeye kuukumbuka?
Han kender jo Løgnens Mænd, Uret ser han og agter derpaa,
12 Lakini watu wapumbavu hawana ufahamu; wataupata wakati punda mwitu atakapozaa mtu.
saa tomhjernet Mand faar Vid, og Vildæsel fødes til Menneske.
13 Lakini ikiwa umeuelekeza moyo wako kwa haki na umeunyosha mkono wako karibu na Mungu;
Hvis du faar Skik paa dit Hjerte og breder dine Hænder imod ham,
14 ikiwa huo uovu ulikuwa katika mikono yako, lakini hivyo tena unauweka mbali nawe, na haukuruhusu kutokuwa mwenye haki kukaa hemani mwako.
hvis Uret er fjern fra din Haand, og Brøde ej bor i dit Telt,
15 Ndipo kwa hakika ungeinua juu uso wako bila ishara ya aibu; Ni dhahiri, ungethibitika na usingeogopa.
ja, da kan du lydefri løfte dit Aasyn og uden at frygte staa fast,
16 Wewe ungesahau mateso yako; ungeyakumbuka hayo tu kama maji ambayo yametiririka mbali.
ja, da skal du glemme din Kvide, mindes den kun som Vand, der flød bort;
17 Maisha yako yangekuwa angavu kuliko adhuhuri; japokuwa kulikuwa na giza, litakuwa kama asubuhi.
dit Liv skal overstraale Middagssolen, Mørket vorde som lyse Morgen.
18 Ungekuwa salama kwa sababu kuna tumaini; ni dhahiri, wewe utapata usalama juu yako na utachukua pumziko lako katika usalama.
Tryg skal du være, fordi du har Haab; du ser dig om og gaar trygt til Hvile,
19 Pia ungelala chini katika pumziko, na hakuna ambaye angekufanya wewe uogope; hakika wengi wangetafuta upendeleo wako.
du ligger uden at skræmmes op. Til din Yndest vil mange bejle.
20 Lakini macho ya watu waovu yatashindwa; hawatakuwa na njia ya kukimbia; tumaini lao la pekee litakuwa pumzi yao ya mwisho ya uhai.
Men de gudløses Øjne vansmægter; ude er det med deres Tilflugt, deres Haab er blot at udaande Sjælen!

< Ayubu 11 >