< Ayubu 10 >

1 Nimechoka na maisha yangu; Nitanena wazi manung'uniko yangu; nitasema kwa uchungu wa roho yangu.
“Ka hingnah soah ka hinglu loh a ko-oek coeng. Ka kohuetnah he kamah taengah ka sah tih ka hinglu a khahing hil ka thui.
2 Nitamwambia Mungu, 'Usinihukumie makosa; nionyeshe sababu za wewe kunilaumu mimi. Je
Pathen taengah, Kai m'boe sak boeh, balae tih kai nan ho, kai m'ming sak.
3 ni vizuri kwako wewe kunionea mimi, kudharau kazi ya mikono yako wakati unafurahia juu ya mipango ya waovu?
Na kut thaphu na hnawt vaengah halang kah cilsuep dongah na sae tih na hnaemtaek te nang ham then a?
4 Je wewe una macho ya kimwili? Je wewe unaona kama mtu aonavyo?
Hlanghing he na sawt tih na hmuh bangla nang taengah pumsa mik om a?
5 Je siku zako ni kama siku za wanadamu au miaka yako ni kama miaka ya watu,
Na khohnin he hlanghing khohnin bangla, na kum khaw hlang khohnin bangla om a?
6 hata ukauliza habari za uovu wangu na kuitafuta dhambi yangu,
Te dongah kai kah thaesainah te na tlap tih, ka tholhnah hnukah nan toem.
7 ingawa wewe wafahamu mimi sina kosa na hapana mwingine awezaye kuniokoa mimi na mkono wako?
Ka boe pawt tih na kut lamloh a huul thai pawt te, na mingnah dongah om pataeng.
8 Mikono yako imeniumba na kunifinyanga kwa wakati mmoja nawe kunizunguka, hata hivyo unaniangamiza.
Na kut loh kai n'noih pai tih thikat la kai n'saii akhaw kai nan dolh pawn ni.
9 Kumbuka, nakuomba, ulivyonifinyanga kama vile udongo; je utanirudisha mavumbini tena?
Amlai bangla kai nan saii tih laipi la, kai nan mael sak te poek mai lah.
10 Je wewe hukunimimina kama maziwa na kunigandisha mfano wa jibini?
Suktui bangla kai nan sui tih sukkhal bangla kai nan khal sak moenih a?
11 Umenivika ngozi na nyama na kuniunganisha pamoja kwa mifupa na misuli.
Kai he ka vin ka saa neh nan dah tih, ka rhuh neh tharhui neh nan cun.
12 Wewe umenizawadia mimi uhai na ahadi ya upendeleo na usaidizi wako umeilinda roho yangu.
Hingnah neh sitlohnah te kai taengah nan khueh tih, ka mueihla loh na ngoldoelh a ngaithuen.
13 Hata hivyo mambo haya uliyaficha moyoni mwako - nafahamu kwamba hivi ndivyo ufikirivyo:
Tedae na thinko ah na khoem he na khuiah tila ka ming.
14 kuwa kama nimefanya dhambi, wewe utaizingatia; hutaniachilia na uovu wangu.
Ka tholh sitoe cakhaw kai nan ngaithuen dongah kai kah thaesainah lamloh kai nan hmil moenih.
15 Kama mimi ni muovu, ole wangu; hata kama ni mwenye haki, sitaweza kuinua kichwa changu, kwa kuwa nimejaa aibu na kuyaangalia mateso yangu.
Ya-oe kai he ka boe akhaw, ka tang akhaw ka lu ka dangrhoek moenih. Yah ka hah tih ka phacip phabaem loh n'yan.
16 Kama kichwa changu kikijiinua chenyewe, waniwinda kama simba; tena wajionyesha mwenyewe kuwa ni mwenye nguvu kwangu.
Sathuengca bangla a phul atah kai nan mae tih kai taengah khobaerhambae la na mael.
17 Wewe unaleta mashahidi wapya dhidi yangu na kuzidisha hasira zako dhidi yangu; wanishambulia na majeshi mapya.
Na laipai neh kai hmai ah nan tlaih tih kai taengah na konoinah na hong. Thovaelnah neh caempuei la kai taengah na pai.
18 Kwa nini, basi, ulinitoa tumboni? Natamani ningekata roho na ili jicho lolote lisinione.
Balae tih bung khui lamloh loh kai nan poh. Ka pal palueng vetih mik loh kai m'hmu pawt mako.
19 Ningelikuwa kama asiyekuwepo; ningelichukuliwa kutoka tumboni mpaka kaburini.
A om khaw a om pawt bangla bungko lamloh phuel la n'khuen.
20 Je si siku zangu pekee ni chache? Acha basi, usinisumbue, ili kwamba nipate kupumzika kidogo
Ka khohnin he bawn tih a muei la a muei moenih a? Kai lamkah he na dueh na dueh vetih ka ngaidip laem mako.
21 kabla sijaenda huko ambako sitarudi, kwenye nchi ya giza na kivuli cha mauti,
Ka caeh hlan vaengah hmaisuep khohmuen neh dueknah hlipkhup la ka mael pawt mako.
22 ni nchi ya giza kama usiku wa manane, nchi ya kivuli cha mauti, isiyokuwa na mpangilio, ambayo nuru yake ni kama usiku wa manane.'”
khoyinnah kho tah dueknah hlipkhup a hmuep bangla om tih cikngae pawh. Te dongah a hmuep la sae ka ti ni,” a ti.

< Ayubu 10 >