< Yeremia 9 >

1 Kama kichwa changu kingetoa maji, na macho yangu kuwa chemichemi ya machozi! kwa kuwa natamani kulia usiku na mchana kwa ajili yao waliokuwa binti za watu wangu ambao wameuawa.
Ak kaut manā galvā jel būtu ūdens un manas acis taptu par asaru avotiem, tad es dienām naktīm apraudātu savas tautas nokautos.
2 Kama mtu anganipatia mahali pa wasafiri nyikani ili nikae, mahali ambapo ningeenda kuwatelekeza watu wangu. Kama ningewaacha, kwa kuwa wote ni wazinzi, kundi la wenye hiana!
Ak kaut man tuksnesī būtu ceļavīra mājas vieta, tad es savus ļaudis atstātu un no tiem aizietu, jo tie visi ir laulības pārkāpēji, blēžu draudze.
3 asema BWANA, “Huupinda ulimi wao kana kwamba ni upinde ili wapate kuongea uongo, lakini si kwa uamiinifu wao kwamba wanapata nguvu duniani. Wanatoka uovu mmoja hadi mwiingine. Hawanijui mimi.”
Tie uzvelk savu mēli kā stopu uz meliem un ne uz patiesību, tie top vareni virs zemes, tie dodas no ļaunuma uz ļaunumu, bet Mani tie nepazīst, saka Tas Kungs.
4 Kila mmoja wenu, awe mlinzi wa jirani yake na usimwamini hata ndugu yako yeyote. kwa kuwa kila ndugu ni mwongo,
Sargājaties ikviens no sava drauga, un nepaļaujaties ne uz savu brāli; jo brālis brāli krāpj, un draugs staigā draugu aprunādams.
5 kila jirani anatembea akilaghai. Kila mwanamume anakejeli jirani yake na haongei ukweli. Ndimi zao hufundisha vitu vya uongo. Hujidhofisha ili kusema uongo.
Cits pret citu dzen viltību un nerunā patiesību, tie māca savu mēli melot, tie nopūlējās netaisnību darīdami.
6 Makazi yenu yako kati ya udanganyifu; kwa uongo wao wanakataa kunitambua mimi. Asema BWANA.”
Tava mājas vieta ir pašas viltības vidū, caur viltību tie liedzās Mani pazīt, saka Tas Kungs.
7 Kwa hiyo BWANA wa majeshi asema hivi, “Tazama, Niko tayari kuwajaribu. Nitawajaribu nione. Jinsi gani niwezavyo kufanya kwa binti za watu wangu?
Tādēļ, tā saka Tas Kungs Cebaot: redzi, Es tos kausēšu un pārbaudīšu, - jo kā lai Es citādi daru Savas tautas priekšā?
8 Ndimi zao ni mishale iliyochongoka; huongea vitu vya uasi. Kwa midomo yao wanatangaza amani pamoja na jirani zao, lakini katika mioyo yao wanadanganya wakati wa kusubri.
Viņu mēle ir nāvīga bulta, tā runā viltu, ikviens ar savu muti runā par mieru ar savu tuvāku, bet savā sirdī tam liek valgus.
9 Kwa nini nisiwaadhibu kwa sababu ya mambo haya - asema BWANA na kwa nini nisijilipizie kisasi kwa taifa ambalo liko kama hili?
Vai Man tos nebūs piemeklēt? saka Tas Kungs. Vai Manai dvēselei nebūs atriebties pie tādiem ļaudīm, kā šie?
10 Nitaimba wimbo wa kuomboleza na kulia kwa ajili ya milima, na wimbo wa mazishi utaimbwa nyikani. Kwa kuwa wameteketezwa kwa hiyo hakuna anAyeweza kupita kati kati yao. Hawatasikia sauti ya ng'ombe yeyote. Ndege wa angani na wanyama wote wamekimbia.
Man jāsāk raudāšana un kaukšana par kalniem un raudu dziesma par ganībām tuksnesī; jo tās ir nodedzinātas, ka neviens tur nestaigā, un ganāmā pulka balsi tur nedzird; putni apakš debess un lopi ir aizskrējuši un aizgājuši.
11 Kwa hiyo nitaigeuza Yerusalemu kuwa vifusi vya ukiwa, maficho ya mbweha. Nitaifanya miji ya Yuda kuwa miji iliyoharibiwa isiyokaliwa na watu.
Un Jeruzālemi Es likšu par akmeņu kopu un par mājokli tuksneša zvēriem, un Jūda pilsētas Es darīšu par postažu bez iedzīvotājiem.
12 Ni nani mwenye hekima anayeyaelewa haya? Je, kinywa cha BWANA kinatangaza nini kwake ili aweze kuyasema? Kwa nini nchi imepotea? Imeharibiwa kama jangwa, ambapo hakuna apitaye kati kati yake.
Kas ir tāds gudrs vīrs, kas to saprot? Un uz ko Tā Kunga mute runājusi, ka tas to var pasludināt? Kādēļ zeme iet bojā un izdeg kā tuksnesis, kur neviens nestaigā?
13 BWANA asema, “Ni kwa sababu wameziacha sheria zake ambazo niliwatengenezea, kwa sababu hawaisikilizi sauti yangu au kuishi kwa kuifuta.
Un Tas Kungs sacīja: tādēļ ka tie atstājuši Manu bauslību, ko Es tiem esmu licis priekšā, un nav klausījuši Manu balsi nedz pēc tās staigājuši,
14 Ni kwa sababu wameishi kwa ushupavu wa mioyo yao na wamewafuata Mabaali kama baba zao walivyowafundisha kufanya.
Bet staigājuši pēc savas sirds stūrgalvības un Baāliem pakaļ, kā viņu tēvi tos mācījuši.
15 Kwa hiyo BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, 'Tazama, Ninataka kuwafanya hawa watu wale pakanga na kunywa maji ya sumu.
Tādēļ, tā saka Tas Kungs Cebaot, Israēla Dievs: Redzi, Es šos ļaudis ēdināšu ar vērmelēm un tos dzirdināšu ar žultīm.
16 Ndipo nitakapowasambaza kati ya mataifa ambayo hawajayajua, wao wala mababu zao. Nitatuma upanga kwa ajili yao mpaka nimewaangamiza wote kabisa.'”
Un Es tos izkaisīšu starp tautām, ko tie nav pazinuši nedz viņu tēvi, un sūtīšu zobenu tiem pakaļ, tiekams Es tos būšu izdeldējis.
17 BWANA wa majeshi asema hivi, “Yafikirini haya: Waiteni waliaji; waje. Tumeni wanawake wenye taaluma ya kuomboleza, waje.
Tā saka Tas Kungs Cebaot: ņemiet to vērā un aicinājiet raudu sievas, lai tās nāk, un sūtat pēc tām gudrām sievām, lai tās atnāk,
18 Waje haraka waimbe wimbo wa maombolezo juu yetu, ili macho yetu yatokwe na machozi na kope zetu zibubujikwe na maji.
Un steigšus sāk par mums raudāšanu, ka mūsu acis tek asarām un mūsu acu plakstiņi plūst ūdenim.
19 Kwa kuwa sauti ya kilio imesikika Sayuni, 'Jinsi tulivyoharibiwa. Tumeaibishwa sana, kwa kuwa tumeitelekeza nchi tangu walIpoangusha nyumba zetu.'
Jo kaukšanas balss dzirdama no Ciānas: ak! Kā esam postīti, ļoti kaunā likti, jo mēs atstājam zemi, jo tie apgāzuši mūsu mājokļus!
20 Kwa hiyo ninyi wanawake, sikieni neno la BWANA; zingatieni ujumbe unaokuja toka kinywani mwake. Kisha wafundisheni binti zenu wimbo wa maombolezo, na kila mwanamke wa jirani wimbo wa kilio.
Klausiet tad Tā Kunga vārdu, sievas, un lai jūsu auss uzņem viņa mutes vārdu, un mācat savām meitām raudu dziesmas, un viena otrai lai māca gaudas.
21 Kwa kuwa vifo vimekuja kupitia dirishani; vinaelekea mahali petu. Vinawaharibu watoto kutoka nje na vijana kwenye viwanja vya miji.
Jo nāve kāpj iekšā pa mūsu logiem, tā nāk mūsu jaukos namos, nokaut bērniņus pa ielām un jaunekļus pa gatvēm.
22 Uyatangaze haya, 'Asema BWANA - mizoga ya wanaume itaanguka kama mavi kwenye mashamba na kama mabua baada ya mvunaji, na hapatakuwa na mtu wa kuyakusanya.'”
Runā, tā saka Tas Kungs: miroņu miesas gulēs kā mēsli uz tīruma un kā kūļi aiz pļāvēja, ko neviens nesaņem.
23 BWANA asema hivi, “Usimwache mtu mwenye busara ajivune kwa ajili ya hekima yake, au shujaa kwa sababu ya uwezo wake. Usimwache mtu tajiri ajivunie utajiri wake.
Tā saka Tas Kungs: gudrais lai nelielās ar savu gudrību, stiprais lai nelielās ar savu stiprumu, bagātais lai nelielās ar savu bagātību.
24 Kwa kuwa kama mtu atajivunia chochote kile, acha iwe hivi, yeye awe na busra na kunijua mimi. Kwa kuwa mimi ni BWANA, atendaye katika agano la wema, haki, na hukumu duniani. Ni katika hili kwamba ninafurahia- asema BWANA.
Bet kas grib lielīties, tas lai lielās ar to, ka viņš Mani pazīst un zin, ka Es esmu Tas Kungs, kas dara žēlastību, tiesu un taisnību virs zemes; jo pie tām Man ir labs prāts, saka Tas Kungs.
25 Tazama, siku zaja - asema BWANA wakati nitakapowaadhibu wote ambao hawajatahiriwa ambao wako hivyo hivyo katika miili yao.
Redzi, nāk dienas, saka Tas Kungs, ka Es piemeklēšu apgraizītos līdz ar neapgraizītiem,
26 Nitaiadhibu Misri na Yuda, Edomu, watu wa Amoni, Moabu, na watu wote wanaonyoa denge. Kwani mataifa yote haya hayajatahiriwa, na nyumba yote ya Israeli ina moyo ambao haujatahiriwa.”
Ēģiptes zemi un Jūdu un Edomu un Amona bērnus un Moabu un visus, kam apcirptas bārdas, kas tuksnesī dzīvo. Jo visi pagāni ir neapgraizīti, bet Israēla namam ir neapgraizīta sirds.

< Yeremia 9 >