< Yeremia 6 >

1 Tafuteni mahali salama, enyi watu wa Benjamini, kwa kuondoka Yerusalemu. Pigeni tarumbeta zaTekoa. Simamisheni ishara juu ya Beth- Hakeremu, kwa uovu unaonekana ukitokea kaskazinni; pigo kubwa linakuja.
to seek refuge son: descendant/people Benjamin from entrails: among Jerusalem and in/on/with Tekoa to blow trumpet and upon Beth-haccherem Beth-haccherem to lift: raise tribute for distress: harm to look from north and breaking great: large
2 Binti za Sayuni, warembo na mwororo, wataangamizwa.
[the] lovely and [the] to delight to resemble daughter Zion
3 Wachungaji na kondoo wao watawaendea; wataweka hema zao zikiwazunguka pande zote; kila mtu atachunga kwa mkono wake.
to(wards) her to come (in): come to pasture and flock their to blow upon her tent around to pasture man: anyone [obj] hand: monument his
4 Jitakaseni wenyewe kwa miungu kwa ajili ya vita. Twendeni tukamvamie wakati wa adhuhuri. Ni vibaya sana kwamba mchana unatoweka na vivuli vya jioni vinakuja.
to consecrate: prepare upon her battle to arise: rise and to ascend: attack in/on/with midday woe! to/for us for to turn [the] day for to stretch shadow evening
5 Lakini tumvamieni usiku na na tuharibu ngome zake.
to arise: rise and to ascend: attack in/on/with night and to ruin citadel: fortress her
6 Kwa kuwa BWANA wa majeshi asema hivi: Kateni miti yake, na tengenezeni vifusi vya kuitekea Yerualemu. Huu ndio mji sahihi kuuteka, Kwa sababu umejaa ukandamizaji.
for thus to say LORD Hosts to cut: cut tree and to pour: build siege mound upon Jerusalem mound he/she/it [the] city to reckon: punish all her oppression in/on/with entrails: among her
7 Kama vile kisima kitoavyo maji, vivyo hivyo mji huu uzaavyo uovu. Uaribifu na jeuri vimesikika kwake. Mateso na tauni viko mbele yangu daima.
like/as to cool (well *QK) water her so to cool distress: evil her violence and violence to hear: hear in/on/with her upon face my continually sickness and wound
8 Uadhibiswhe, ee Yerusalemu, vingenevyo nitaondoka kwako na kukufanya ukiwa, na nchi isiyokaliwa na watu.
to discipline Jerusalem lest to dislocate/hang soul: myself my from you lest to set: make you devastation land: country/planet not to dwell
9 BWANA wa majeshi asema hivi, “Hakika wataokota mabaki ya Isreli waliobaki kama zabibu. Nyosha mkono wako ili uchume zabibu.
thus to say LORD Hosts to glean to glean like/as vine remnant Israel to return: again hand your like/as to gather/restrain/fortify upon branch
10 Nitamwambia nani na kumwonya nani ili wasikilize? Tazama! Masikio yao hayakutahariwa; hayawezi kutilia manani! Tazama! Neno la BWANA limekuja kuwarudi, lakini hawalitaki.”
upon who? to speak: speak and to testify and to hear: hear behold uncircumcised ear their and not be able to/for to listen behold word LORD to be to/for them to/for reproach not to delight in in/on/with him
11 Lakini nimejazwa na hasira za BWANA. Nimechoka kuizuia. Aliniambia, “Imwage mbele ya watoto mitaani na katika makundi ya vijana. Kwa kuwa kila mume atachukuliwa pamoja na mke wake; na kila mzee mwenye miaka mingi.
and with rage LORD to fill be weary to sustain to pour: pour upon infant in/on/with outside and upon counsel youth together for also man: husband with woman: wife to capture old with full day: old
12 Nyumba zao watapewa watu wengine, kwa kuwa nitawavamia wakazi wa nchi kwa mkono wangu - asema BWANA wa majeshi.
and to turn: repell house: home their to/for another land: country and woman: wife together for to stretch [obj] hand my upon to dwell [the] land: country/planet utterance LORD
13 BWANA amesema hayo kutoka kwa mdogo hadi kwa mkubwa, kila mmoja anatamani mapato ya udanganyifu. Kuanzia kuhani hadi nabii, Kila mmoja anafanya hila.
for from small their and till great: large their all his to cut off: to gain unjust-gain and from prophet and till priest all his to make: do deception
14 Lakini wameponya vidonda vya watu wangu kwa juu juu tu. Wanasema, 'Amani! Amani! na kumbe amani haipo.
and to heal [obj] breaking people my upon to lighten to/for to say peace peace and nothing peace
15 Je, waliona aibu walipofanya machukizo? Hasha, hawakuona aibu! Hawakuwa na aibu. Kwa hiyo wataanguka pamoj na wale watakaoanguka wakati nitakpowaadhibu. Wataangushwa chini,” asema BWANA.
be ashamed for abomination to make also be ashamed not be ashamed also be humiliated not to know to/for so to fall: kill in/on/with to fall: kill in/on/with time to reckon: punish them to stumble to say LORD
16 BWANA asema hivi, `Simama kwenye njia panda utazame; uliza nzile njia za zamani, 'Je, hii tabia njema iko wapi?' Kisha endelea nayo na tafuta mahali pa kupumzika. Lakini watu wanasema, 'Hatutaenda.'
thus to say LORD to stand: stand upon way: road and to see: see and to ask to/for path forever: antiquity where? this way: road [the] pleasant and to go: walk in/on/with her and to find rest to/for soul your and to say not to go: walk
17 Niliweka walinzi juu yenu ili wasikilize tarumbeta. Lakini walisema, 'Hatutasikiliza.'
and to arise: establish upon you to watch to listen to/for voice: sound trumpet and to say not to listen
18 Kwa hiyo, sikilizeni, enyi mataifa! Tazameni, enyi mashahidi, muone kile kitakachowapata.
to/for so to hear: hear [the] nation and to know congregation [obj] which in/on/with them
19 Sikia, wewe dunia! Tazama, niko tayari kuleta janga kwa watu hawa - matunda ya fikra zao. Hawakusikiliza neno langu wala sheria zangu, badala yake walizikataa.
to hear: hear [the] land: country/planet behold I to come (in): bring distress: harm to(wards) [the] people [the] this fruit plot their for upon word my not to listen and instruction my and to reject in/on/with her
20 Huu ubani kutoka sheba unaopanda una maana gani kwangu? Au huu uudi kutoka nchi ya mbali? Sadaka zenu za kuteketezwa hazikubaliki kwangu wala dhabihu zenu.
to/for what? this to/for me frankincense from Sheba to come (in): come and branch: stem [the] pleasant from land: country/planet distance burnt offering your not to/for acceptance and sacrifice your not to please to/for me
21 Kwa hiyo BWANA asema hivi, 'Tazama, 'Niko tayari kuweka kikwazo dhidi ya watu hawa. Watajikwaa juu yake - baba na watoto wao kwa pamoja watajikwaa. Wakazi na jirani zao pia watapotea.'
to/for so thus to say LORD look! I to give: put to(wards) [the] people [the] this stumbling and to stumble in/on/with them father and son: child together neighboring and neighbor his (and to perish *QK)
22 BWANA asema hivi, 'Tazama watu wanakuja toka nchi ya kaskazini. Kwa kuwa taifa kubwa limechochewa kutoka nchi ya mbali.
thus to say LORD behold people to come (in): come from land: country/planet north and nation great: large to rouse from flank land: country/planet
23 Watachukua pinde na mishale yao. Ni wakatili na hawana huruma. Sauti yao ni kama muungurumo wa bahari, na wapanda farasi katika mfumo wa wanaume wa vita, enyi binti wa Sayuni,”'
bow and javelin to strengthen: hold cruel he/she/it and not to have compassion voice: sound their like/as sea to roar and upon horse to ride to arrange like/as man to/for battle upon you daughter Zion
24 Tumesikia habai zao. Mikono yetu inalegea kwa dhiki. Na maumivu yametukamata kama utungu wa mwanamke anayezaa.
to hear: hear [obj] report his to slacken hand our distress to strengthen: hold us agony like/as to beget
25 Usiende nje mashambani, na usitembee barabarani, kwa kuwa upanga wa adui na hofu vimekaribia.
not (to come out: come *Qk) [the] land: country and in/on/with way: road not (to go: walk *Qk) for sword to/for enemy terror from around: side
26 Binti za watu wangu, jivikeni magunia na kugaagaa kwenye majivu ya maombolezo ya mwana pekee. Ombolezeni kwa huzuni kuu, kwa kuwa anayewaangamiza anakuja kwetu ghafula juu yetu.
daughter people my to gird sackcloth and to wallow in/on/with ashes mourning only to make to/for you mourning bitterness for suddenly to come (in): come [the] to ruin upon us
27 “Nimekufanya wewe, Yeremia, kuwajaribu watu wangu kama mtu anayepima fedha, kwa hiyo utachunguza na kupima njia zao.
assayer to give: make you in/on/with people my fortification and to know and to test [obj] way: conduct their
28 Wao ni watu wasumbufu miongoni mwa watu, wanaoenda huko na kule wakisingizia wengine. Wote ni shaba na chuma, wakitenda kwa dhuluma.
all their to turn aside: turn aside to rebel to go: went slander bronze and iron all their to ruin they(masc.)
29 Mifuo inafukuta kwa moto unaoziunguza; risasi inaunguzwa na moto. Risasi tu ndiyo inayotoka kati yake, lakini haifai kitu kwa sababu uovu haujaondolewa.
to scorch bellow (from fire complete *QK) lead to/for vanity: vain to refine to refine and bad: evil not to tear
30 Wataitwa taka za fedha, kwa sababu BWANA amewakataa.
silver: money to reject to call: call to to/for them for to reject LORD in/on/with them

< Yeremia 6 >