< Yeremia 6 >

1 Tafuteni mahali salama, enyi watu wa Benjamini, kwa kuondoka Yerusalemu. Pigeni tarumbeta zaTekoa. Simamisheni ishara juu ya Beth- Hakeremu, kwa uovu unaonekana ukitokea kaskazinni; pigo kubwa linakuja.
Flee for refuge - O people of Benjamin from [the] midst of Jerusalem and in Tekoa blow a trumpet and at Beth Hakkerem raise a signal for calamity it has looked down from [the] north and destruction great.
2 Binti za Sayuni, warembo na mwororo, wataangamizwa.
The beautiful [one] and the dainty [one] I resemble [the] daughter of Zion.
3 Wachungaji na kondoo wao watawaendea; wataweka hema zao zikiwazunguka pande zote; kila mtu atachunga kwa mkono wake.
To it they will come shepherds and flocks their they will pitch at it tents all around they will graze everyone hand his.
4 Jitakaseni wenyewe kwa miungu kwa ajili ya vita. Twendeni tukamvamie wakati wa adhuhuri. Ni vibaya sana kwamba mchana unatoweka na vivuli vya jioni vinakuja.
Consecrate on it battle arise so we may go up at noon woe! to us for it has turned the day for they are stretched out [the] shadows of evening.
5 Lakini tumvamieni usiku na na tuharibu ngome zake.
Arise so we may go up in the night and let us destroy fortresses its.
6 Kwa kuwa BWANA wa majeshi asema hivi: Kateni miti yake, na tengenezeni vifusi vya kuitekea Yerualemu. Huu ndio mji sahihi kuuteka, Kwa sababu umejaa ukandamizaji.
For thus he says Yahweh of hosts cut down wood and pour out on Jerusalem a mound that city it will be visited all of it [is] oppression in midst its.
7 Kama vile kisima kitoavyo maji, vivyo hivyo mji huu uzaavyo uovu. Uaribifu na jeuri vimesikika kwake. Mateso na tauni viko mbele yangu daima.
As keeps cool (a well *QK) water its so it has kept cool evil its violence and havoc it is heard in it [are] on face my continually sickness and wound[s].
8 Uadhibiswhe, ee Yerusalemu, vingenevyo nitaondoka kwako na kukufanya ukiwa, na nchi isiyokaliwa na watu.
Let yourself be instructed O Jerusalem lest it should be alienated self my from you lest I should make you a desolation a land [which] not it is inhabited.
9 BWANA wa majeshi asema hivi, “Hakika wataokota mabaki ya Isreli waliobaki kama zabibu. Nyosha mkono wako ili uchume zabibu.
Thus he says Yahweh of hosts thoroughly people will glean like vine [the] remnant of Israel return hand your like a grape gatherer over branches.
10 Nitamwambia nani na kumwonya nani ili wasikilize? Tazama! Masikio yao hayakutahariwa; hayawezi kutilia manani! Tazama! Neno la BWANA limekuja kuwarudi, lakini hawalitaki.”
To whom? will I speak and will I warn? and they may listen there! [is] uncircumcised ear their and not they are able to pay attention there! [the] word of Yahweh it has become for them a reproach not they delight in it.
11 Lakini nimejazwa na hasira za BWANA. Nimechoka kuizuia. Aliniambia, “Imwage mbele ya watoto mitaani na katika makundi ya vijana. Kwa kuwa kila mume atachukuliwa pamoja na mke wake; na kila mzee mwenye miaka mingi.
And [the] rage of Yahweh - I am full I am weary to hold [it] in pour [it] out on child[ren] in the street and on [the] gathering of young men alike for also a husband with a wife they will be caught [the] old with [the] full of days.
12 Nyumba zao watapewa watu wengine, kwa kuwa nitawavamia wakazi wa nchi kwa mkono wangu - asema BWANA wa majeshi.
And they will be turned over houses their to others fields and wives alike for I will stretch out hand my on [the] inhabitants of the land [the] utterance of Yahweh.
13 BWANA amesema hayo kutoka kwa mdogo hadi kwa mkubwa, kila mmoja anatamani mapato ya udanganyifu. Kuanzia kuhani hadi nabii, Kila mmoja anafanya hila.
That from little their and unto great their all of it [is] gaining unjust gain and from prophet and unto priest all of him [is] doing falsehood.
14 Lakini wameponya vidonda vya watu wangu kwa juu juu tu. Wanasema, 'Amani! Amani! na kumbe amani haipo.
And they have healed [the] fracture of people my on a trifling [thing] saying peace - peace and there not [is] peace.
15 Je, waliona aibu walipofanya machukizo? Hasha, hawakuona aibu! Hawakuwa na aibu. Kwa hiyo wataanguka pamoj na wale watakaoanguka wakati nitakpowaadhibu. Wataangushwa chini,” asema BWANA.
Are they ashamed? that an abomination they have done neither at all not they are ashamed nor to exhibit shame not they know therefore they will fall among [those who] fall at [the] time [when] I have visited them they will stumble he says Yahweh.
16 BWANA asema hivi, `Simama kwenye njia panda utazame; uliza nzile njia za zamani, 'Je, hii tabia njema iko wapi?' Kisha endelea nayo na tafuta mahali pa kupumzika. Lakini watu wanasema, 'Hatutaenda.'
Thus he says Yahweh stand at [the] roads and look and ask - of paths of ancient time where? this [is] [the] way of the good and walk in it and find rest for self your and they said not we will walk.
17 Niliweka walinzi juu yenu ili wasikilize tarumbeta. Lakini walisema, 'Hatutasikiliza.'
And I raised up over you watchmen pay attention to [the] sound of a trumpet and they said not we will pay attention.
18 Kwa hiyo, sikilizeni, enyi mataifa! Tazameni, enyi mashahidi, muone kile kitakachowapata.
Therefore listen O nations and know O congregation [that] which [is] in them.
19 Sikia, wewe dunia! Tazama, niko tayari kuleta janga kwa watu hawa - matunda ya fikra zao. Hawakusikiliza neno langu wala sheria zangu, badala yake walizikataa.
Hear O earth here! I [am] about to bring calamity to the people this [the] fruit of own schemes their for on words my not they have paid attention and law my and they have rejected it.
20 Huu ubani kutoka sheba unaopanda una maana gani kwangu? Au huu uudi kutoka nchi ya mbali? Sadaka zenu za kuteketezwa hazikubaliki kwangu wala dhabihu zenu.
Why? this to me frankincense [which] from Sheba it comes and [the] cane good from a land of distance burnt offerings your not [are] for acceptance and sacrifices your not they are pleasing to me.
21 Kwa hiyo BWANA asema hivi, 'Tazama, 'Niko tayari kuweka kikwazo dhidi ya watu hawa. Watajikwaa juu yake - baba na watoto wao kwa pamoja watajikwaa. Wakazi na jirani zao pia watapotea.'
Therefore thus he says Yahweh here I [am] about to give to the people this stumbling blocks and they will stumble over them fathers and sons alike a neighbor and friend his (and they will perish. *QK)
22 BWANA asema hivi, 'Tazama watu wanakuja toka nchi ya kaskazini. Kwa kuwa taifa kubwa limechochewa kutoka nchi ya mbali.
Thus he says Yahweh there! a people [is] about to come from a land of [the] north and a nation great it will be roused from [the] remotest parts of [the] earth.
23 Watachukua pinde na mishale yao. Ni wakatili na hawana huruma. Sauti yao ni kama muungurumo wa bahari, na wapanda farasi katika mfumo wa wanaume wa vita, enyi binti wa Sayuni,”'
Bow and javelin they take hold of [is] cruel it and not they have mercy sound their [is] like the sea [which] it roars and on horses they ride arranged like a man for battle on you O daughter of Zion.
24 Tumesikia habai zao. Mikono yetu inalegea kwa dhiki. Na maumivu yametukamata kama utungu wa mwanamke anayezaa.
We heard [the] report of it they hung limp hands our distress it took hold of us anguish like [woman] giving birth.
25 Usiende nje mashambani, na usitembee barabarani, kwa kuwa upanga wa adui na hofu vimekaribia.
May not (you go out *Qk) the field and on the road mau not (you walk *Qk) for a sword [belongs] to [the] enemy terror [is] from round about.
26 Binti za watu wangu, jivikeni magunia na kugaagaa kwenye majivu ya maombolezo ya mwana pekee. Ombolezeni kwa huzuni kuu, kwa kuwa anayewaangamiza anakuja kwetu ghafula juu yetu.
O daughter of people my gird yourself sackcloth and roll in ash[es] [the] mourning of an only [child] observe for yourself wailing of bitterness for suddenly it will come the destroyer on us.
27 “Nimekufanya wewe, Yeremia, kuwajaribu watu wangu kama mtu anayepima fedha, kwa hiyo utachunguza na kupima njia zao.
An assayer I have made you among people my fortification so you may observe and you will test conduct their.
28 Wao ni watu wasumbufu miongoni mwa watu, wanaoenda huko na kule wakisingizia wengine. Wote ni shaba na chuma, wakitenda kwa dhuluma.
All of them [are those who] turn aside of rebels [those who] go about of slander bronze and iron all of them [are] destroyers they.
29 Mifuo inafukuta kwa moto unaoziunguza; risasi inaunguzwa na moto. Risasi tu ndiyo inayotoka kati yake, lakini haifai kitu kwa sababu uovu haujaondolewa.
It puffs [the] bellow[s] (from a fire it is complete *QK) lead for vanity someone has refined steadfastly and evil [people] not they have been separated.
30 Wataitwa taka za fedha, kwa sababu BWANA amewakataa.
Silver rejected people called them for he has rejected Yahweh them.

< Yeremia 6 >