< Yeremia 40 >

1 Hili lilikuwa neno ambalo lilikuja kwa Yeremia toka kwa Yahwe baada ya Nebuzaradni, amri wa walinzi wa mfalme, amemtuma mbali kutoka Ramah. Huko ndiko Yeremia alikuwa amechukuliwa, na huko alikuwa amefungwa kwa minyororo. Alikuwa miongoni mwa mateka wote ya Yerusalem na Yuda ambayo walipaswa kuwa matekani Babeli.
Šis ir tas vārds, kas uz Jeremiju notika no Tā Kunga, kad pils karavīru virsnieks Nebuzaradans viņu ņēma un atlaida no Rāmas, kur viņš bija ķēdēs saslēgts starp visiem Jeruzālemes un Jūda ļaudīm, kas tapa aizvesti uz Bābeli cietumā.
2 Mlinzi mkuu alimchukua Yeremia na kusema kwake, “Yahwe Mungu wako aliamrisha maafa haya dhidi ya eneo hili.
Bet pils karavīru virsnieks lika Jeremiju atvest un sacīja uz viņu: Tas Kungs, tavs Dievs, šo ļaunumu par šo vietu runājis,
3 Basi Yahwe alileta. Alifanya kama alivyoamrisha, kwani ninyi watu mmefanya dhambi dhidi yake na hamkutii sauti yake. Hii ni sababu ya jambo hili limetokea kwenu. Lakini sasa tazama!
Un Tas Kungs tam ir licis nākt un darījis, kā viņš ir runājis, jo jūs esat grēkojuši pret To Kungu un neesat klausījuši viņa balsij, tāpēc jums tā noticis.
4 Nimekuacha huru leo toka kwenye minyororo iliyokuwa kwenye mikono yako. Kama ni vizuri katika macho yako kuja nami Babeli, njoo, na nitakujali. Lakini kama si vizuri katika macho yako kuja pamoja nami, basi usifanye hivyo. Tazama nchi yote mbele yako. Nenda ambapo ni pazuri na sawa katika macho yako kwenda.”
Tad nu redzi, es tevi šodien laižu vaļā no tām ķēdēm pie tavām rokām; ja tev patīk man nākt līdz uz Bābeli, tad nāc, es labi par tevi gādāšu. Bet ja tas tev nepatīk, man nākt līdz uz Bābeli, tad lai paliek. Redzi, visa zeme ir tavā priekšā, kurp iet tev liekās labi un taisni, turp ej.
5 Wakati Yeremia hakujibu, Nebuzaradani alisema, “Nenda kwa Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafani, ambaye mfalme wa Babeli amemweka msimamizi wa miji ya Yuda. Baki pamoja naye miongoni mwa watu au nenda popote ni pazuri katika macho yako kwenda.” Amri wa walinzi wa mfalme alimpa chakula na zawadi, na kisha akamtuma mbali.
Un viņam vēl projām neejot, tas sacīja: tad griezies pie Ģedalijas, Aīkama dēla, Safana dēla dēla, ko Bābeles ķēniņš iecēlis pār Jūda pilsētām, un dzīvo pie tā starp tiem ļaudīm, jeb visur, kur tev patīk iet, turp ej. Un pils karavīru virsnieks viņam deva ceļa maizi un dāvanu un viņu atlaida.
6 Basi Yeremia alienda kwa Gedalia mwana wa Ahikam, huko Mizpah. Alibaki pamoja naye miongoni mwa watu ambao walibaki nyuma katika nchi.
Tā Jeremija nāca pie Ģedalijas, Aīkama dēla, uz Micpu, un dzīvoja pie tā starp tiem ļaudīm, kas bija atlikuši tai zemē.
7 Sasa baadhi ya amri wa wanawajeshi wa Yuda ambao walikuwa bado katika uwanja- wao na watu wao - walisikia kuwa mfalme wa Babeli alimfanya Gedalia mwana wa Ahikam, liwali juu ya nchi. Pia walisikia kuwa amemweka kusimamia wanaume, wanawake, na watoto ambao walikuwa watu maskini katika nchi, wale ambao hawakuwa wamechukuliwa mateka Babeli.
Kad nu visi kara virsnieki, kas laukā turējās līdz ar saviem karavīriem, dzirdēja, ka Bābeles ķēniņš Ģedaliju, Aīkama dēlu, bija iecēlis pār to zemi, un ka viņš tam bija novēlējis vīrus un sievas un bērniņus un tās zemes ļaudis no zemas kārtas, kas uz Bābeli nebija aizvesti,
8 Basi walienda kwa Gedalia huko Mizpa. Hawa watu walikuwa Ishmaeli mwana Nethania; Yonathan na Yonathani, wana wa Kareaa; Seraya mwana wa Tanhumethi; wana wa Efai Netophathite; na Yezania mwana wa Mmaaka-wao na watu wao.
Tad tie nāca pie Ģedalijas uz Micpu, proti Ismaēls, Netanijas dēls, un Jehohanans un Jonatans, Kareūs dēli, un Seraja, Tanumeta dēls, un Evajus dēli no Netofas un Jaazanija, Maāhatus dēls, līdz ar saviem vīriem.
9 Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafan, alichukua kiapo kwao na kwa watu wao, na kusema kwao, “Usiogope kuwatumikia maafisa wa Wakaldayo. Ishi katika nchi na kumtumkia mfalme wa Babeli, na itakuwa vizuri kwenu.
Un Ģedalija, Aīkama dēls, Safana dēla dēls, zvērēja tiem un viņu vīriem un sacīja: nebīstaties Kaldejiem kalpot, palieciet šai zemē un kalpojiet Bābeles ķēniņam, tad jums labi klāsies.
10 Na tazama, Ninaishi Mizpa kukutana pamoja na Wakaldayo waliokuja kwetu. Basi vuna mvinyo, matunda ya kiangazi, na mafuta na viweke kwenye vyombo vyako. Uishi katika miji ambayo umechukua.”
Un redzi, es dzīvoju Micpā, stāvēt Kaldeju priekšā, kas pie mums nāk; tad nu krājiet vīnu un labību un eļļu un liekat to savos traukos un dzīvojiet savās pilsētās, ko esat uzņēmuši.
11 Kisha Wayahudi wote katika Moabu, miongoni mwa watu wa Ammoni, na katika Edomu, na katika kila nchi ilisikiwa kwamba mfalme wa Babalei ameruhusu mabaki ya Yuda kubaki, kwamba alimteua Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafani juu yao.
Un visi Jūdi, kas bija Moabā un pie Amona bērniem un Edomā un visās tanīs valstīs, kad dzirdēja, ka Bābeles ķēniņš kādus bija atstājis iekš Jūda, un pār tiem bija iecēlis Ģedaliju, Aīkama dēlu, Safana dēla dēlu,
12 Basi Wayahudi wote walirudi toka kila eneo ambako walikuwa wametawanyika. Walirudi kwenye nchi ya Yuda, kwa Gedalia huko Mizpa. Walivuna mvinyo na matunda ya kiangazi kwa wingi.
Tad visi Jūdi griezās atpakaļ no visām vietām, kurp tie bija aizdzīti, un nāca uz Jūda zemi pie Ģedalijas uz Micpu un sakrāja vīnu un labību lielā pulkā.
13 Yonathan mwana wa Karea na amri wote wa jeshi katika uwanja walikuja kwa Gedalia huko Mizpa.
Bet Jehohanans, Kareūs dēls, un visi kara virsnieki, kas laukā turējās, nāca pie Ģedalijas uz Micpu
14 Walisema kwake, “Haujui kuwa Baalis mfalme wa watu wa Ammoni amemtuma Ishmael mwana wa Nethania kukuua?” Lakini Gedalia mwana wa Ahikim hakuwaamini.
Un sacīja uz viņu: vai tu gan zini, ka Baālis, Amona bērnu ķēniņš, ir sūtījis Ismaēli, Netanijas dēlu, tev ņemt dzīvību? Bet Ģedalija, Aīkama dēls, viņiem neticēja.
15 Basi Yonathan mwana wa Karea alizungumza kwa siri kwa Gedalia huko Mizpa na kusema, “Niruhusu niende kumuua Ishmael mwana wa Nethania. Hakuna atakaye nituhumu. Kwanini asikuue wewe? Kwanini kuruhusu Yuda yote ambayo imekusanywa kwako kutawanyishwa na mabaki ya Yuda kuharibiwa?”
Tad Jehohanans, Kareūs dēls, runāja uz Ģedaliju paslepeni Micpā un sacīja: lūdzams liec man iet un nokaut Ismaēli, Netanijas dēlu, ka neviens to nezin. Kāpēc viņam tevi būs nokaut un visiem Jūdiem, kas pie tevis sapulcinājušies, izklīst un tiem atlikušiem no Jūda iet bojā?
16 Lakini Gedalia mwana wa Ahikam alisema kwa Yonathan mwana wa Karea, “Usifanye jambo hili, kwa kuwa unasema uongo kuhusu Ishmael.”
Bet Ģedalija, Aīkama dēls, sacīja uz Jehohananu, Kareūs dēlu: Nedari tā, jo tu runā melus par Ismaēli.

< Yeremia 40 >