< Yeremia 40 >

1 Hili lilikuwa neno ambalo lilikuja kwa Yeremia toka kwa Yahwe baada ya Nebuzaradni, amri wa walinzi wa mfalme, amemtuma mbali kutoka Ramah. Huko ndiko Yeremia alikuwa amechukuliwa, na huko alikuwa amefungwa kwa minyororo. Alikuwa miongoni mwa mateka wote ya Yerusalem na Yuda ambayo walipaswa kuwa matekani Babeli.
Babylon gam’a sohchang ding’a, Jerusalem mite leh Judah mite toh thihkhao’a akihen nauva kon’a, in-ngahpa Nebuzaradan in Jeremiah chu Raman kha, alhadoh jou nung chun, Pakai thusei Jeremiah heng’a ahung lhung in,
2 Mlinzi mkuu alimchukua Yeremia na kusema kwake, “Yahwe Mungu wako aliamrisha maafa haya dhidi ya eneo hili.
In-ngah lamkaipan, Jeremiah akouvin ajah’a “Pakai na-Pathen chun, hilaimun douna-a hibang hamsetna ana phondoh bangchun, aguilhun sahtai.
3 Basi Yahwe alileta. Alifanya kama alivyoamrisha, kwani ninyi watu mmefanya dhambi dhidi yake na hamkutii sauti yake. Hii ni sababu ya jambo hili limetokea kwenu. Lakini sasa tazama!
Ijeh inem itileh, hiche mite hi, Pakai dounan achonseuvin, chule athusei jong angaipeh pouve. Hiche jeh’a chu achung'uva hibang thilse hi hunglhung ahitai.
4 Nimekuacha huru leo toka kwenye minyororo iliyokuwa kwenye mikono yako. Kama ni vizuri katika macho yako kuja nami Babeli, njoo, na nitakujali. Lakini kama si vizuri katika macho yako kuja pamoja nami, basi usifanye hivyo. Tazama nchi yote mbele yako. Nenda ambapo ni pazuri na sawa katika macho yako kwenda.”
Ahin, keiman nakihenne thihkhao nasutpeh ingting, chule kalha-ong ding nahitai. Keitoh kilhon’a, Babylon gam’a cheding pha nasahle, hungin, keiman ijakai navetup nange. Ijemtia hilai mun’a umden ding pha nasah jongle, akhohpoi. Ven, hiche gam leiset pumpi hi na-ang sung’a aum’e, nadei deya nache thei ahi.
5 Wakati Yeremia hakujibu, Nebuzaradani alisema, “Nenda kwa Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafani, ambaye mfalme wa Babeli amemweka msimamizi wa miji ya Yuda. Baki pamoja naye miongoni mwa watu au nenda popote ni pazuri katika macho yako kwenda.” Amri wa walinzi wa mfalme alimpa chakula na zawadi, na kisha akamtuma mbali.
Hilai mun’a umdending nakigel lhah le, Babylon lengpan Judah gam khopi jouse chung’a vaipo ding’a apansah Ahikam chapa Gedaliah, Shaphan tupa kom’a chekittan. Ama kom’a naum’a chule mipi lah’a nachenthei ahi. Achutilou jongle, nangma nop nop’a na umthei ahitai, ati. Hichun, in-ngah pa Nebuzaradan in, Jeremiah chu nehding themkhat toh sum apen, asoldoh tai.
6 Basi Yeremia alienda kwa Gedalia mwana wa Ahikam, huko Mizpah. Alibaki pamoja naye miongoni mwa watu ambao walibaki nyuma katika nchi.
Chuin Jeremiah jong Hikam chapa Gedaliah umna Mizpah mun’a achetai. Chukom’a chun, amoh akidalha mi phabep chutoh achengkhom tauve.
7 Sasa baadhi ya amri wa wanawajeshi wa Yuda ambao walikuwa bado katika uwanja- wao na watu wao - walisikia kuwa mfalme wa Babeli alimfanya Gedalia mwana wa Ahikam, liwali juu ya nchi. Pia walisikia kuwa amemweka kusimamia wanaume, wanawake, na watoto ambao walikuwa watu maskini katika nchi, wale ambao hawakuwa wamechukuliwa mateka Babeli.
Thinglhang lang’a pansa, Judah mite ding’a galbol lamkai ho chun, Judah gamsung’a vaipo dingin Hikam chapa Gedaliah chu, Babylon lengpan apansah in, ama khut’a chun, sohchang’a kikailou dalhah’a um pasal ho, numeiho, chapangho chule avaicha dehset ho jouse chu apeluttai, tithu ajatauvin ahi.
8 Basi walienda kwa Gedalia huko Mizpa. Hawa watu walikuwa Ishmaeli mwana Nethania; Yonathan na Yonathani, wana wa Kareaa; Seraya mwana wa Tanhumethi; wana wa Efai Netophathite; na Yezania mwana wa Mmaaka-wao na watu wao.
Hijeh chun, Gedaliah toh kimuto dingin amaho chu, Mizpah mun’a acheuvin ahi. Amaho chu: Nathaniah chapa Ismael, Karieh chapa teni Johanan le Jonathan, Tanhumeth chapa Seraiah, Ephai chapate, Ma-acath chapa Jezariah chule amaho noiya um amiteu jouse ahiuve.
9 Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafan, alichukua kiapo kwao na kwa watu wao, na kusema kwao, “Usiogope kuwatumikia maafisa wa Wakaldayo. Ishi katika nchi na kumtumkia mfalme wa Babeli, na itakuwa vizuri kwenu.
Hichun, Gedaliah akihahsel in, ajah uva, Babylon mite chu miphalou ahipouve. Amaho kin bolding chu kicha hih un, gamsung’a cheng uvin lang, Babylon lengpa kin boljeng uvin, hichu nangho dia aphapen hiding ahi, ati.
10 Na tazama, Ninaishi Mizpa kukutana pamoja na Wakaldayo waliokuja kwetu. Basi vuna mvinyo, matunda ya kiangazi, na mafuta na viweke kwenye vyombo vyako. Uishi katika miji ambayo umechukua.”
Keivang, nangho jouse thalheng’a, eiho kimupia hungding Babylon mite angsung’a ding dia, Mizpah mun’a kachen ding ahi. Nangho vang, nachenphanau munhoa chun chengden unlang, lengpithei galeh nipilai theiga chule Olive theiga ho kilo khom uvin lang chule bel sung’a kikoitup uvin, ati.
11 Kisha Wayahudi wote katika Moabu, miongoni mwa watu wa Ammoni, na katika Edomu, na katika kila nchi ilisikiwa kwamba mfalme wa Babalei ameruhusu mabaki ya Yuda kubaki, kwamba alimteua Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafani juu yao.
Hiti chun, Judah mite Moab gam’a, Ammon gam’a, Edom gam’a chule gamdang dang’a thamho chun, Babylon lengpan mi phabep Judah gam’a adalhan, chule gamsung pumpia vaipo ding in Gedaliah apansah’e ti ajatauvin ahi.
12 Basi Wayahudi wote walirudi toka kila eneo ambako walikuwa wametawanyika. Walirudi kwenye nchi ya Yuda, kwa Gedalia huko Mizpa. Walivuna mvinyo na matunda ya kiangazi kwa wingi.
Hichun, amaho chu akithecheh nau gamho’a kon’in, ahung kile kit uvin, Judah gamsung ahinjon kittauve. Amahon Mizpah kho’a Gedaliah ahung kimupiuvin; chua kon chun, thnglhang gam lang ajon uvin, lengpi theiga leh theiga chom chom ho aloukhom un, amaho ding in tampi akikhol tauvin ahi.
13 Yonathan mwana wa Karea na amri wote wa jeshi katika uwanja walikuja kwa Gedalia huko Mizpa.
Hiche nung sotlouvin, Kariah chapa Johanan leh galbol lamkai phabep, Mizpah kho’a Gedaliah jeh’a,
14 Walisema kwake, “Haujui kuwa Baalis mfalme wa watu wa Ammoni amemtuma Ishmael mwana wa Nethania kukuua?” Lakini Gedalia mwana wa Ahikim hakuwaamini.
Amahon Gedaliah jah’a, “Ammon lengpa Boalis in nang that ding in Nathaniah chapa Ismael ahinsol e, ti thuhi, nangman nahetlou ham?” ahung tiuve. Gedaliah chu amaho thusei chu atahsanpoi.
15 Basi Yonathan mwana wa Karea alizungumza kwa siri kwa Gedalia huko Mizpa na kusema, “Niruhusu niende kumuua Ishmael mwana wa Nethania. Hakuna atakaye nituhumu. Kwanini asikuue wewe? Kwanini kuruhusu Yuda yote ambayo imekusanywa kwako kutawanyishwa na mabaki ya Yuda kuharibiwa?”
Hichun Johanan in, atumbeh in Gedaliah akimupin, amatah chu Ismael thatdoh dingin akipedoh in ahi. Aman Gedaliah jah’a “Ibol’a Ismael in nang namoh tha jeng ding ham? Judah mite hijat hung kilekit’a nang nahinbel ho iti ding ham? Dalhah um eiho amoh chengse jonghi, imoh manthah jengdiu ham?” ati.
16 Lakini Gedalia mwana wa Ahikam alisema kwa Yonathan mwana wa Karea, “Usifanye jambo hili, kwa kuwa unasema uongo kuhusu Ishmael.”
Ahivang in Gedaliah in Johanan jah’a “Nasei hi nabollou hel ding ahi. Ajeh chu nangman Ismael chungthu hi, jou nasei ahibouve,” ati.

< Yeremia 40 >