< Yeremia 39 >

1 Katika mwaka wa tisa na mwezi wa kumi wa Sedekia mfalme wa Yuda, Nebukadreza mfalme wa Babeli alikuja pamoja na jeshi lake lote dhidi ya Yerusalem na kuizingira.
Judah manghai Zedekiah kah a kum ko hla rha dongah Babylon manghai Nebukhanezar tah amah kah caem boeih neh Jerusalem la ha pawk uh tih a dum.
2 Katika mwaka wa kumi na moja na mwezi wa nne wa Sekeia, siku ya tisa ya mwezi, mji uliharibiwa.
Zedekiah kah a kum hlai at a hla li dongkah hlasae hnin ko vaengah khopuei te rhek.
3 Kisha maafisa wote wa mfalme wa Babeli walikuja na kukaa kwenye lango la katikati: Nergali Sharezeri, Samgari Nebo, na Sarsechimu, afisa muhimu. Nerga Sharezeri alikuwa afisa mkuu na wote waliobaki maafisa wa mfalme wa Babeli.
Te vaengah Babylon manghai kah mangpa boeih ha pawk tih laklung vongka ah Nergalsharezer, Samgarnebo, Rabsaris, Sarsekhim, Nergalsharezer, Rabmag neh Babylon manghai kah mangpa kah a meet rhoek khaw boeih ngol uh.
4 Ilitokea kwamba wakati Sedekia, mfalme wa Yuda, na wanaume wapiganaji wake wote walipowaona, walikimbia. Walitoka nje usiku toka kwenye mji kwa njia ya bustani ya mfalme, kupitia lango la kati la kuta mbili. Mfalme alitoka nje katika mwelekeo wa Arabah.
Judah manghai Zedekiah neh caemtloek hlang boeih loh amih a hmuh vaengah tah yong uh. Khoyin ah khopuei lamloh manghai dum long kah vongka neh vongtung laklo longah coe uh tih kolken longpuei la pawk.
5 Lakini jeshi la Wakaldayo walimfatilia na kumpata Sedekia kwenye tambarare za mto Yordani karibu na Yeriko. Kisha walimshika na kumleta kwa Nebukadreza, mfalme wa Babeli, Riblah kwenye nchi ya Hamath, ambapo Nebukadreza alipitisha sentensi juu yake.
Tedae Khalden caem loh amih hnukah a hloem tih Zedekiah te Jerikho kolken ah tah a kae uh. Anih te a tuuk uh tih Babylon manghai Nebukhanezar taengla a thak uh. Khamath kho khuikah Riblah ah anih soah laitloeknah a thui.
6 Mfalme wa Babeli alimchinja binti wa Sedekia mbele ya macho yake huko Ribla. Pia aliwachinja wanaume wote wa heshima wa Yuda.
Babylon manghai loh Zedekiah ca rhoek te Riblah kah amah mikhmuh ah a ngawn. Judah hlangcoelh boeih te khaw Babylon manghai loh a ngawn.
7 Kisha alingoa macho ya Sedekia na kumfunga mnyororo wa shaba ili kusudi kumpeleka Babeli.
Zedekiah mik te khaw a dael sak tih Babylon la khuen ham rhohum neh a khih.
8 Kisha Wakaldayo walichoma nyumba ya mfalme na nyumba za watu. Pia walivunja kuta za Yerusalem.
Manghai im neh pilnam im te Khalden loh hmai neh a hoeh tih Jerusalem vongtung te a palet uh.
9 Nebukadreza, nahodha wa walinzi wa mfalme, waliwachukua katika mateka watu wengine waliobaki katika mji. Hii ilijumuisha watu waliotoka jangwa kwenda Wakaldayo na watu wengine walioachwa katika mji.
Khopuei ah aka sueng pilnam hlangrhuel khaw, amah taengla aka cungku, aka cungku neh pilnam hlangrhuel aka sueng te khaw Babylon imtawt boeiping Nebuzaradan loh a poelyoe.
10 Lakini Nebukadreza nahodha wa walinzi wa mfalme aliwaruhusu watu maskini ambayo hawakuwa na chochote wao kubaki katika chi ya Yuda. Aliwapa mashamba ya mizabibu na maeneo katika siku ile.
Tedae pilnam lamkah a taengah pakhat khaw aka khueh pawh tattloel rhoek te tah imtawt boeiping Nebuzaradan loh Judah khohmuen ah a hlun tih amih te tekah khohnin ah misurdum neh lohmuen a paek.
11 Nebukadreza mfalme wa Babeli alikuwa ametoa amri kuhusu Yeremia kwa Nebuzaradani nahodha wa walinzi wa mfalme. Alikuwa amesema,
Jeremiah ham te Babylon manghai Nebukhanezar loh imtawt boeiping Nebuzaradan kut ah a uen tih,
12 “Mchukue na umjali. Usimdhuru. Fanya kwa ajili yake chochote anachokuambia.”
“Anih he khuen lamtah na mik te anih soah khueh. Anih taengah boethae pakhat khaw saii boeh. Na taengah a thui bangla anih ham saii pah van,” a ti nah.
13 Basi Nebuzaradani nahodha wa walinzi wa mfalme, Nebushazbani mkuu wa matoashi, Nergali Sharezeri afisa mkuu, na wote maafisa wa muhimu wa mfalme wa Babeli walituma watu nje.
Te phoeiah imtawt boeiping Nebuzaradan, Rabsaris Nebushasban, Rabmag Nergalsharezer neh Babylon manghai kah boeiping te boeih a tueih.
14 Watu wao walimchukua Yeremia kutoka uwanja wa mlinzi na kumkabidhi kwa Gedalia mwana wa Ahikami mwana wa Shafani, kumchua nyumbani, basi Yeremia alibaki miongoni mwa watu.
A tueih bangla Jeremiah te thongim vongup lamloh a loh uh tih im la thak ham Shaphan koca Ahikam capa Gedaliah taengah a paek uh tih pilnam lakli ah kho a sak.
15 Sasa neno la Yahwe lilikuwa limekuja kwa Yeremia wakati alipokuwa chini ya kifungo kwenye uwanja wa mlinzi, na alisema,
Thongim vongup ah khaih la a om vaengah BOEIPA ol he Jeremiah taengla ha pawk tih,
16 “Zungumza kwa Ebedi Meleki Mkushi na sema, 'Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi: Ona, Nimekaribia kubeba maneno yangu dhidi ya mji huu kwa ajili ya janga na si kwa uzuri. Kwa kuwa yatakuwa kweli mbele yako katika siku hiyo.
“Cet lamtah Kushi Ebedmelek te thui pah. ‘Israel Pathen caempuei BOEIPA loh he ni a thui. He khopuei he ka ol ka thoeng rhoe ka thoeng sak coeng ne. Te khohnin ah yoethaenah he na mikhmuh ah om vetih hnothen om mahpawh.
17 Lakini nitakuokoa katika siku hiyo - hili ni tamko la Yahwe - na hautatiwa katika mkono wa wanaume ambayo unawaogopa.
Tedae te khohnin ah nang kan huul ni. He tah BOEIPA kah olphong ni. Na rhih hlang rhoek kut dongah n'tloeng mahpawh.
18 Kwa kuwa nitakuokoa hakika. Hautaanguka kwa upanga. Utatoroka pamoja na maisha yako, kwani unanitumaini - hili lilikuwa tamko la Yahwe.”
Nang te kan loeih rhoe kan loeih sak ni. cunghang dongah khaw na cungku pawt vetih kai dongah na pangtung coeng dongah na hinglu te na taengah kutbuem bangla la om ni he tah BOEIPA kah olphong ni,’ ti nah,” a ti.

< Yeremia 39 >