< Yeremia 37 >

1 Sasa Sedekia mwana wa Yosia alitawala kama mfalme badala ya Yehoyachin mwana wa Yehoyakimu. Nebukadreza mfalme wa Babeli alikuwa amemfanya Sedekia mfalme juu ya nchi ya Yuda.
Et le roi Sédécias, fils de Josias, régna à la place de Conia, fils de Jehoïakim: Nebucadretsar, roi de Babylone, l’avait établi roi sur le pays de Juda.
2 Lakini Sedekia, wajakazi wake, na watu wa nchi hawakusikiliza maneno ya Yahwe ambayo alitangaza kwa mkono wa Yeremia nabii.
Et il n’écouta point, ni lui, ni ses serviteurs, ni le peuple du pays, les paroles de l’Éternel qu’il avait dites par Jérémie le prophète.
3 Kwa hiyo Mfalme Sedekia, Yehukali mwana wa Shelemia, na Zefania mwana wa Maaseia kuhani alituma ujumbe kwa Yeremia nabii. Walisema, “Omba kwa niaba kwa Yahwe Mungu wetu.”
Et le roi Sédécias envoya Jucal, fils de Shélémia, et Sophonie, fils de Maascéïa, le sacrificateur, vers Jérémie le prophète, disant: Intercède, je te prie, pour nous, auprès de l’Éternel, notre Dieu.
4 Sasa Yeremia alikuwa anakuja na kwenda miongoni mwa watu, kwa kuwa alikuwa bado hajawekwa ndani ya gereza.
Et Jérémie entrait et sortait parmi le peuple, et on ne l’avait pas [encore] mis en prison.
5 Jeshi la Farao lilitoka Misri, na Wakaldayo waliozingira Yerusalem walisikia habari kuhusu wao na kuondoka Yerusalem.
Et l’armée du Pharaon était sortie d’Égypte, et les Chaldéens qui assiégeaient Jérusalem, en entendirent la nouvelle et se retirèrent de Jérusalem.
6 Kisha neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia nabii na kusema,
Et la parole de l’Éternel vint à Jérémie le prophète, disant:
7 “Yahwe, Mungu wa Israel, asema hivi: Hiki ndivyo utakavyosema kwa mfalme wa Yuda, kwa sababu amekutuma wewe kutafuta ushauri toka kwangu, 'Ona, jeshi la Farao, ambalo lilikuja kukusaidia, liko tayari kurudi Misri, kwenye nchi yao.
Ainsi dit l’Éternel, le Dieu d’Israël: Vous direz ainsi au roi de Juda, qui vous a envoyés vers moi pour me consulter: Voici, l’armée du Pharaon, qui est sortie à votre secours, retournera dans son pays d’Égypte;
8 Wakaldayo watarudi. Watapigana dhidi ya mji huu, kuuteka, na kuuchoma.'
et les Chaldéens reviendront, et combattront contre cette ville, et ils la prendront, et la brûleront par le feu.
9 Yahwe asema hivi: Msidaganyane kwa kusema, “Hakika Wakaldayo wanatuacha sisi,' kwa kuwa hawatatuacha.
Ainsi dit l’Éternel: N’abusez point vos âmes, disant: Les Chaldéens s’en sont allés de nous tout de bon; car ils ne s’en sont pas allés.
10 Hata kama mmelishinda jeshi la Wakaldayo lote ambalo linapigana nanyi ili kwamba wanaume waliojeruhiwa walibakizwa katika mahema yao, wangeweza kunyanyuka na kuchoma mji huu.”
Car si vous aviez frappé toute l’armée des Chaldéens qui combattent contre vous, et qu’il n’en reste que des gens transpercés, ils se relèveraient chacun dans sa tente et brûleraient cette ville par le feu.
11 Basi ilikuwa wakati jeshi la Wakaldayo lilipoondoka Yerusalem wakati jeshi la Farao lilikuwa linakuja,
Et il arriva, quand l’armée des Chaldéens se retira de Jérusalem à cause de l’armée du Pharaon,
12 kisha Yeremia alienda toka Yerusalem kwenda nchi ya Benjamini. Alitaka kumiliki njia ya nchi huko miongoni mwa watu wake.
que Jérémie sortit de Jérusalem pour s’en aller dans le pays de Benjamin au milieu du peuple, pour avoir de là [sa] part.
13 Kama alivyokuwa katika mlango wa Benjamini, mlinzi mkuu aliyekuwa hapo. Jina lake lilikuwa Yeria mwana wa Shelemia mwana wa Hanania. Alimshika kwa kumnyakua Yeremia nabii na kusema, “Mnatoka jangwani kwa Wakaldayo.”
Et comme il était dans la porte de Benjamin, il y avait là un capitaine de la garde (et son nom était Jirija, fils de Shélémia, fils de Hanania), et il saisit Jérémie le prophète, en disant: Tu vas te rendre aux Chaldéens.
14 Lakini Yeremia alisema, “Hiyo si kweli. Siendi jangwani kwa Wakaldayo.” Lakini Yeria hakumsikiliza. Alimchukua Yeremia na kumleta kwa maafisa.
Et Jérémie dit: C’est un mensonge; je ne vais point me rendre aux Chaldéens. Mais il ne l’écouta pas; et Jirija saisit Jérémie et l’amena aux princes.
15 Maafisa walikuwa wamemkasirikia Yeremia. Walimpiga na kumweka gerezani, ambayo ilikuwa nyumba ya Yonathani mwandishi, kwa kuwa waligeuza kuwa gereza.
Et les princes se mirent en colère contre Jérémie, et le battirent, et le mirent en prison dans la maison de Jonathan, le scribe; car ils en avaient fait une maison de détention.
16 Kwa hiyo Yeremia alikuwa amewekwa kwenye kifungo cha chini, ambako alikuwa huko kwa siku nyingi.
Quand Jérémie fut entré dans la maison de la fosse et dans les caveaux, et que Jérémie fut resté là bien des jours,
17 Kisha mfalme Sedekia alimtuma mtu mmoja aliyemleta kwenye ikulu. Kwenye nyumba yake, mfalme alimuuliza binafsi, “Kuna neno: Utatiwa kwenye mkono wa mfalme wa Babeli.”
le roi Sédécias envoya, et le prit. Et le roi l’interrogea en secret dans sa maison, et dit: Y a-t-il quelque parole de par l’Éternel? Et Jérémie dit: Il y en a une; et il dit: Tu seras livré en la main du roi de Babylone.
18 Kisha Yeremia alisema kwa mfalme Sedekia, “Kwa namna gani nimekutenda dhambi, mjakazi wako, au watu hawa kwamba umeniweke mimi kwenye gereza?
Et Jérémie dit au roi Sédécias: Quel péché ai-je commis contre toi, et contre tes serviteurs, et contre ce peuple, que vous m’ayez mis dans la maison de détention?
19 Wako wapi nabii wako, wale waliotabiri kwa ajili yako na kusema mfalme wa Babeli hatakuja dhidi yako au dhidi ya nchi hii?
Et où sont vos prophètes qui vous prophétisaient, disant: Le roi de Babylone ne viendra point contre vous, ni contre ce pays?
20 Lakini sasa sikiliza, bwana wangu mfalme! Acha ombi langu liwe mbele yako. Usinirudie mimi kwenye nyumba ya Yonathani mwandishi, au nitakufa huko.”
Et maintenant écoute, je te prie, ô roi, mon seigneur: que ma requête soit reçue devant toi, et ne me fais pas retourner dans la maison de Jonathan, le scribe, de peur que je n’y meure.
21 Kwa hiyo mfalme Sedekia alitoa amri. Wajakazi wake walimwekea mipaka Yeremia katika uwanja wa walinzi. Alipewa mkate kila siku kutoka mtaa wa waokaji mkate, mpaka mkate wote mjini uliisha. Basi Yeremia alibaki kwenye uwanja walinzi.
Et le roi Sédécias commanda, et on fit garder Jérémie dans la cour de la prison; et on lui donna par jour un pain, de la rue des boulangers, jusqu’à ce que fut consommé tout le pain de la ville. Et Jérémie demeura dans la cour de la prison.

< Yeremia 37 >