< Yeremia 37 >

1 Sasa Sedekia mwana wa Yosia alitawala kama mfalme badala ya Yehoyachin mwana wa Yehoyakimu. Nebukadreza mfalme wa Babeli alikuwa amemfanya Sedekia mfalme juu ya nchi ya Yuda.
And he reigned king Zedekiah [the] son of Josiah in place of Coniah [the] son of Jehoiakim whom he made king Nebuchadnezzar [the] king of Babylon in [the] land of Judah.
2 Lakini Sedekia, wajakazi wake, na watu wa nchi hawakusikiliza maneno ya Yahwe ambayo alitangaza kwa mkono wa Yeremia nabii.
And not he listened he and servants his and [the] people of the land to [the] words of Yahweh which he spoke by [the] hand of Jeremiah the prophet.
3 Kwa hiyo Mfalme Sedekia, Yehukali mwana wa Shelemia, na Zefania mwana wa Maaseia kuhani alituma ujumbe kwa Yeremia nabii. Walisema, “Omba kwa niaba kwa Yahwe Mungu wetu.”
And he sent the king Zedekiah Jehucal [the] son of Shelemiah and Zephaniah [the] son of Maaseiah the priest to Jeremiah the prophet saying pray please for us to Yahweh God our.
4 Sasa Yeremia alikuwa anakuja na kwenda miongoni mwa watu, kwa kuwa alikuwa bado hajawekwa ndani ya gereza.
And Jeremiah [was] coming and [was] going out in among the people and not they had put him [the] house of (imprisonment. *Qk)
5 Jeshi la Farao lilitoka Misri, na Wakaldayo waliozingira Yerusalem walisikia habari kuhusu wao na kuondoka Yerusalem.
And [the] army of Pharaoh it had come forth from Egypt and they had heard the Chaldeans who were laying siege on Jerusalem report their and they had taken themselves up from on Jerusalem.
6 Kisha neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia nabii na kusema,
And it came [the] word of Yahweh to Jeremiah the prophet saying.
7 “Yahwe, Mungu wa Israel, asema hivi: Hiki ndivyo utakavyosema kwa mfalme wa Yuda, kwa sababu amekutuma wewe kutafuta ushauri toka kwangu, 'Ona, jeshi la Farao, ambalo lilikuja kukusaidia, liko tayari kurudi Misri, kwenye nchi yao.
Thus he says Yahweh [the] God of Israel thus you will say to [the] king of Judah who sent you to me to consult me there! - [the] army of Pharaoh which was coming out to you to help [is] about to return to own land its Egypt.
8 Wakaldayo watarudi. Watapigana dhidi ya mji huu, kuuteka, na kuuchoma.'
And they will return the Chaldeans and they will fight on the city this and they will capture it and they will burn it with fire.
9 Yahwe asema hivi: Msidaganyane kwa kusema, “Hakika Wakaldayo wanatuacha sisi,' kwa kuwa hawatatuacha.
Thus - he says Yahweh may not you deceive selves your saying certainly they will go from on us the Chaldeans for not they will go.
10 Hata kama mmelishinda jeshi la Wakaldayo lote ambalo linapigana nanyi ili kwamba wanaume waliojeruhiwa walibakizwa katika mahema yao, wangeweza kunyanyuka na kuchoma mji huu.”
That except you struck down all [the] army of [the] Chaldeans who are fighting with you and they survived among them men pierced through everyone in tent his they will arise and they will burn the city this with fire.
11 Basi ilikuwa wakati jeshi la Wakaldayo lilipoondoka Yerusalem wakati jeshi la Farao lilikuwa linakuja,
And it was when had taken itself up [the] army of the Chaldeans from on Jerusalem because of [the] army of Pharaoh.
12 kisha Yeremia alienda toka Yerusalem kwenda nchi ya Benjamini. Alitaka kumiliki njia ya nchi huko miongoni mwa watu wake.
And he went out Jeremiah from Jerusalem to go [the] land of Benjamin to receive a portion from there in among the people.
13 Kama alivyokuwa katika mlango wa Benjamini, mlinzi mkuu aliyekuwa hapo. Jina lake lilikuwa Yeria mwana wa Shelemia mwana wa Hanania. Alimshika kwa kumnyakua Yeremia nabii na kusema, “Mnatoka jangwani kwa Wakaldayo.”
And it was he [was] at [the] gate of Benjamin and [was] there a captain of [the] guard and name his [was] Irijah [the] son of Shelemiah [the] son of Hananiah and he arrested Jeremiah the prophet saying to the Chaldeans you [are] falling.
14 Lakini Yeremia alisema, “Hiyo si kweli. Siendi jangwani kwa Wakaldayo.” Lakini Yeria hakumsikiliza. Alimchukua Yeremia na kumleta kwa maafisa.
And he said Jeremiah a lie not I [am] falling on the Chaldeans and not he listened to him and he seized Irijah Jeremiah and he brought him to the officials.
15 Maafisa walikuwa wamemkasirikia Yeremia. Walimpiga na kumweka gerezani, ambayo ilikuwa nyumba ya Yonathani mwandishi, kwa kuwa waligeuza kuwa gereza.
And they were angry the officials towards Jeremiah and they struck him and they put him [the] house of fetter[s] [the] house of Jonathan the scribe for it they had made into [the] house of imprisonment.
16 Kwa hiyo Yeremia alikuwa amewekwa kwenye kifungo cha chini, ambako alikuwa huko kwa siku nyingi.
For he went Jeremiah into [the] house of the cistern and into the cell and he remained there Jeremiah days many.
17 Kisha mfalme Sedekia alimtuma mtu mmoja aliyemleta kwenye ikulu. Kwenye nyumba yake, mfalme alimuuliza binafsi, “Kuna neno: Utatiwa kwenye mkono wa mfalme wa Babeli.”
And he sent the king Zedekiah and he took him and he asked him the king in house his in secrecy and he said ¿ [is] there a word from with Yahweh and he said Jeremiah there is and he said in [the] hand of [the] king of Babylon you will be given.
18 Kisha Yeremia alisema kwa mfalme Sedekia, “Kwa namna gani nimekutenda dhambi, mjakazi wako, au watu hawa kwamba umeniweke mimi kwenye gereza?
And he said Jeremiah to the king Zedekiah what? have I sinned to you and to servants your and to the people this that you have put me into [the] house of imprisonment.
19 Wako wapi nabii wako, wale waliotabiri kwa ajili yako na kusema mfalme wa Babeli hatakuja dhidi yako au dhidi ya nchi hii?
(And where? *QK) [are] prophets your who they prophesied to you saying not he will come [the] king of Babylon on you and on the land this.
20 Lakini sasa sikiliza, bwana wangu mfalme! Acha ombi langu liwe mbele yako. Usinirudie mimi kwenye nyumba ya Yonathani mwandishi, au nitakufa huko.”
And therefore listen please O lord my the king may it fall please supplication my before you and may not you make go back me [the] house of Jonathan the scribe and not I will die there.
21 Kwa hiyo mfalme Sedekia alitoa amri. Wajakazi wake walimwekea mipaka Yeremia katika uwanja wa walinzi. Alipewa mkate kila siku kutoka mtaa wa waokaji mkate, mpaka mkate wote mjini uliisha. Basi Yeremia alibaki kwenye uwanja walinzi.
And he commanded the king Zedekiah and they deposited Jeremiah in [the] courtyard of the guard and they gave to him a round loaf of bread to the day from [the] street of the bakers until was finished all the bread from the city and he remained Jeremiah in [the] courtyard of the guard.

< Yeremia 37 >