< Yeremia 36 >

1 Ilikuja tokea katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu mwana wa Yosiah mfalme wa Yuda, kwamba neno hili lilikuja kwa Yeremiah kutoka kwa Yahwe, na alisema,
Judah lengpa Josiah chapa Jehoiakim lengvaipoh kumli lhinkum in, Pakaiyin Jeremiah henga thu hitin aseiye.
2 “Chukua kitabu kwa ajili yako na uandike juu yake maneno yote ambayo nimekwisha kukuambia kuhusiana na Israel na Yuda, na kila taifa. Fanya hivi kwa kila kitu nilichokuambia tokea siku za Yosia mpaka siku ile.
Nangman lekhajol khat kilah inlang, Josiah leng khanga pat tuni geiya keiman Israel leh Judah douna kathusei ho chule namtin vaipi douna kathusei ho abon'in jihlut in.
3 Huenda watu wa Yuda watasikiliza majanga yote ambayo ninakusudia kuleta juu yao. Huenda kila mmoja ataacha njia zake mbaya, ili kwamba niweze kuwasamehe maovu yao na dhambi zao.”
Chuteng Judah ten achunguva kabolgut thilse hohi avel a akijah doh kit uva, akisih uva setna lampia kon’a ahung kilekit uva ahileh, keiman amaho chonsetna leh athemmonau kangaidam ding ahi, ati.
4 Kisha Yeremia alimwita Baruku mwana wa Neria, na Baruku aliandika kwenye kitabu, kwa imla ya Yeremia, maneno yote ya Yahwe yalizunguzwa kwake.
Chuin Jeremiah in Neriah chapa Baruch chu akouvin, Pakaiyin ahenga aseipeh jouse chu abonchan akam in aseiyin, Baruch in lekhajol khat a ajihluttai.
5 Kisha Yeremia alitoa amri kwa Baruku. Alisema, “Niko gerezani na siwezi kwenda kwenye nyumba ya Yahwe.
Hichun Jeremiah in Baruch jah’a, “Keima songkul'a kihen bangin kaum in, Pakai houin sunga kavahlut theitapoi,”
6 Kwa hiyo unapaswa uende na kusoma kutoka kwenye kitabu ulichoandika kwa imla yangu. Kwa siku ya kufunga, unapaswa usome maneno ya Yahwe kwenye masikio ya watu katika nyumba yake, na pia kwenye masikio ya Yuda yote waliokuja kutoka katika miji yao. Tangaza maneno haya kwao.
Hijeh chun nangma houin sunga naga cheding, anngol jou ajing nikholeh, Pakaiya hungkon hiche thuho, keiman kaseitho a nangma lekhajol a kajihlutsah hohi, naga simdoh ding ahi. Hitia chu, Judah gamsung jousea kon’a hungdoh mipite jousen ajah diuva, nasimpeh ding ahi.
7 Huenda maombi yao ya rehema yatakuja mbele ya Yahwe. Huenda kila mtu ataacha njia mbaya, kwani gathabu na hasira ya Yahwe imetangazwa dhidi ya watu kwa ukali.”
Chutile amahon achennau lamsea kon’a hung kihei kit uva, ageisang behseh masang a, Pakai henga ngaidam athumdiu ahi. ajeh chu, Pakai lunghanna chu akhohse behseh jengin, amaho dingin kichat tijat umval jeng ahi, ati.
8 Kwa hiyo Baruku mwana wa Neria alifanya kila kitu ambacho Yeremia nabii alimwamuru yeye kufanya. Alisoma kwa sauti maneno ya Yahwe ndani mwa nyumba ya Yahwe.
Hichun Jeremiah thupeh bang chun, Baruch in agabol in, houin sunga alut in, mipiho jah dingin, Pakai thusei kijihlut hochu abonchan agasimdoh pihtai.
9 Ilikuja tokea katika mwaka wa tano na mwezi wa tisa kwa Yehoyakimu mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, kwamba watu wote Yerusalemu na watu waliotoka Yerusalemu toka miji ya Yuda walitangaza kufunga kwa kumheshimu Yahwe.
Hiche hi, Josiah chapa Jehoiakim lengvaipoh kumnga lhinkum, lhako lhinna, anngol nikho khat’a, Baruch in abol ahi. Hiche nikho chu Judah gamsung pumpia kon’a mi tampi, Jerusalem houin’a chu hungkhomji, ahiuve.
10 Baruku alisoma kwa sauti maneno ya Yeremia katika nyumba ya Yahwe, kutoka kwenye chumba cha Gamaria mwana wa Shafani mwandishi, katika ua wa juu, kwa mlango wa kuingilia wa nyumba ya Yahwe. Alifanya hivi kwa masikio ya watu wote.
Chuin mipijouse jah dingin, lekhajol’a kijihlut Jeremiah thusei hochu abon'in, Baruch in asimdoh sohkeiyin ahi. Hichepet a chu ama houin maiya, houin sunga lekhasunpa Gemariah, Shaphan chapa indan sunga um ahin, hichu Pakai houin lutna kelkot thah kom cha ahi.
11 Basi Mikaya mwana wa Gemaria alisikia maneno yote ya Yahwe kwenye kitabu.
Shaphan chapa Gemariah, Gemariah chapa Micaiah chun lekhajol sunga kon’a Pakai thusei kiphongdoh ho chu abonchan ajah soh phat in;
12 Alienda chini kwenye nyumba ya mfalme, kwenye chumba cha katibu. Tazama, maafisa wote walikuwa wamekaa hapo: Elishama mwandishi, Delaiah mwana wa Shemaiah, Elnathan mwana wa Achbor, Gemaria mwana wa Shefani, na Sedekia mwana wa Hananiah, na maafisa wote.
Ama achesuh in, leng inpia lekha sunpan indan sunga alut in, gamvaipo ho toukhomna-a chun aluttai. Hiche mun’a umho chu: Lekha sunpa Elishama, Shemaiah chapa Delaiah, Acbor chapa Elnathan, Shaphan chapa Geramiah, Hananiah chapa Zedekiah chule midang jong ahiuve.
13 Kisha Mikaya alitoa taarifa ya maneno yote kwao ambayo alikuwa amesikia ambayo Baruku alisoma kwa sauti kwenye masikio ya watu.
Micaiah chun, houin mun’a Baruch in lekhajol asimdoh’a athujol ho chu abonchan, amaho chu aseipehtan ahi.
14 Kwa hiyo maafisa wote walimtuma Jehudi mwana wa Nethania mwana wa Shelemiah mwana wa Kushi, kwa Baruku. Jehudi alisema kwa Baruku, “Chukua kitabu katika mkono wako, kitabu ambacho ulikuwa unakisoma kwa masikio ya watu and kuja.” Kwa hiyo Baruku mwana wa Neria alichukua kitabu katika mkono wake na alienda kwa maafisa.
Chuin vaipoten, Nethaniah chapa Jehudi, Shelemiah tupa, Cushi tusonpa chu, Baruch henga asol in, ama jah’a, ‘Nangman mipite jah dinga nasimdoh lekhajol chu hinchoi inlang, keiho kom’a hungsimdoh kit in,’tin aga seisahtauve. Hichun Baruch in a lekhajol chu ahin kichoiyin, vaipote henga chun ahungtai.
15 Kisha walisema naye,”Kaa chini na usome haya katika masikio yetu.” Kwa hiyo Baruku akasoma kitabu.
Chuin amahon Baruch jah’a, “Touvin, nalekhajol chu keiho jah dingin simkit in,” atiuvin ahi. Baruch injong aseibangu chun asimpehtai.
16 Ilitokea wakati waliposikia haya maneno yote, kila mtu alipatwa na hofu kwa mtu aliye karibu naye na kusema kwa Baruku, “Kwa hakika tunapaswa kutoa taarifa ya maneno haya yote kwa mfalme.”
Amahon thu kisun ho chu ajah phat un, atijauvin khatle khat akiveto jeng uvin ahi. Hichun amahon Baruch jah’a, “Hiche thu hohi lengpa iseipeh teitei diu ahi,” atiuve.
17 Kisha walimuuliza Baruku, “Tuambie, ulipataje kuandika maneno yote haya kwa imla ya Yeremia?”
Ahivangin, amahon Baruch chu thu adongun, Nangman thu hijat hi hoiya nalah ham, Jeremiah in najihsah ham? atiuvin ahi.
18 Baruku aliwaambia, “Alitoa imla ya maneno haya yote kwangu, na nikayaandika kwa wino kwenye kitabu hiki.”
Baruch in adonbut in, “Jeremiah in thucheng khat khat a aseiya, keiman hiche lekhajol’a hi kajihlut ahi,” ati.
19 Kisha maafisa walisema kwa Baruku, “Nenda, jifiche mwenyewe, na Yeremiah, pia. Usipatikane mtu yeyote kujua uko wapi.”
Chuphat in amahon, “Nang jong Jeremiah jong, nanilhon in kiseldoh lhontan. Naumna lhon koimacha hetsah lhon hih in,” atiuvin ahi.
20 Kisha walienda kwa uwanja wa mfalme na wakatoa taarifa ya maneno haya kwake. Lakini kwanza walikihifadhi kitabu kwenye chumba cha katibu Elishama.
Chuin vaipo ho chun, lekhasunpa Elishama indan sunga alut un, lekhajol chu akoitup tauve. Chule athu jouse chu lengpa kom alhut tauvin ahi.
21 Basi mfalme alimtuma Yehudi kuchukua kitabu. Yehudi alikichukua toka chumba cha Elishama katibu. Kisha alikisoma kwa sauti kwa mfalme na wote maafisa walikuwa wamesimama karibu naye.
Hichun lengpan Jehudi akouvin, lekhajol gala dingin asoltai. Jehudi injong Elishama indan sunga kikoi lekhajol cuh ahinchoiyin, lengpa le vaipo ho jah dingin asimpehtan ahi.
22 Sasa mfalme alikuwa amesimama kwenye nyumba ya majira ya baridi katika mwezi wa tisa, na mkaa ulikuwa unawaka mbele yake.
Phalbi lei ahijeh'in, lengpa jong phalbi indan sunga chun atouvin, meibel a mei kitih chu a-oiyin ahi.
23 Ilitokea wakati Yehudi aliposoma kurusa tatu au nne, mfalme angeweza kuikata kwa kisu na kuitupa kwenye moto katika mkaa mpaka kitabu chote kiliteketea.
Chuin Jehudi in lekhajol chu, jolthum jolli asimchaiyin ahileh, lengpan chemchan a-at teltel in, mei lah’a alehlut in, hitichun aban ban in abol in, lekhajol chu abon'in meiya ahalvam soh hettan ahi.
24 Lakini wala mfalme wala yeyote wa mjakazi wake aliyesikia haya maneno yote aliogopa, wala hawakuchana nguo zao.
Thu hijat ajah vangun, lengpa ahin chule alhachate ahiuvin, koiman kisihna leh tijatna imacha aneideh pouvin ahi.
25 Elnathani, Delaya, na Gemaria walikuwa wamemuomba mfalme asikichome kitabu, lakini hakuwasikiliza.
Hichun Elnathan, Delaiah chule Gemariah ho chun, lengpa kom’a, lekhajol chu meiya ahalvam lou dingin ajol un, ahivangin lengpan amaho thusei chu angaipeh poi.
26 Basi mfalme alimwamuru Yerameeli, ndugu, Seraya mwana wa Azrieli, na Shelemia mwana wa Abdeeli kumfunga Baruku mwandishi na Yeremia nabii, lakini Yahwe alikuwa amewaficha.
Chujouvin, lengpan achapa Jerameel, Azriel chapa Seraiah chule Abdeel chapa Shelemiah akouvin, lekhasunpa Baruch leh Jeremiah themgaopa mandoh dingin thupeh aneitai. Ahivangin amani chu Pakaiyin aseldohtai.
27 Kisha neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia baada ya mfalme kuwa amechoma kitabu na maneno ya Baruku yaliyokuwa yameandikwa kwa imla ya Yeremia, na alisema,
Lengpan, Jeremiah thuseiho Baruch in lekhajol a ajihlut chu, meiya ahalvam nung chun; Pakaiyin Jeremiah henga hitin ahinsei kit in ahi.
28 “Rudi, chukua kitabu kingine kwa ajili yako, na uandike maneno haya yote ambayo yalikuwa kwenye kitabu cha kwanza, ambacho Yehoyakimu mfalme wa Yuda alikichoma.
Nangman lekhajol khat kilahkit inlang, Judah lengpa Jehoiakim in meiya ahalvamsa lekhajol’a kisun thuho chu, avel in abonchan jihlutsah sohkeiyin, ati.
29 Kisha unapaswa kusema hivi kwa mfalme Yehoyakimu mfalme wa Yuda: 'Ulichoma hicho kitabu! Na ulisema: Kwanini umeandika juu yake, “Mfalme wa Babeli hakika atakuja na kuharibu nchi hii, kwa kuwa atawaangamiza wanaume wote na wanyama ndani yake?”
Chule Judah lengpa Jehoiakim jah’a, hitin seiyin: Nangman lekhajol chu, asunga thu um, Babylon lengpan hiche gam hi asuhmang ding chule agamsunga um mihem leh gancha ho jong asuhgam hel ding ahi, tia akijih lut jeh a meiya nahalvam ahi.
30 Kwa hiyo Yahwe anasema hivi kuhusu wewe, Yehoyakimu mfalme wa Yuda: “Hakuna mzao wako atawahi kukaa kwenye kiti cha Daudi. Kama wewe, maiti yako itatupwa kwenye siku ya joto na usiku wa baridi.
Pakaiyin hitin aseiye, Judah lengpa Jehoiakim lengpa chapate David leng touna-a hungtou ding koima cha umlou helding ahiuve. Ama tahsa thilong jeng jong, sunlai nisa thohding leh janlai daitwi doudinga, vuilouva kipaiding ahi.
31 Kwa kuwa nitakuadhibu, wazao wako, na wajakazi wako kwa maovu yenu yote. Nitaleta kwenu, kwa wakazi wote wa Yerusalemu, na kwa kila mtu Yuda majanga ambayo nimewatishia ninyi, lakini kwa hamkuwa makini.”
Keiman achonsetnau lethuhna-a, ama chungle ainsung mite chunga chule asohte chunga talen kamatsah ding ahiuve. Chule keiman Jerusalem mite chunga chule Judah mite jouse chunga hamsetna katepsa jouse kabuhlhah ding ahi. Ajeh chu amahon kahilna leh kasihsalna ngaisah in aneipouve.
32 Kwa hiyo Yeremia alichukua kitabu kingine na akampa Baruku mwana wa Neria mwandishi. Baruku aliandika juu yake kwa imla ya Yeremia maneno yote ambayo yalikuwa katika kitabu kilichochomwa moto na mfalme Yehoyakimu mfalme wa Yuda. Zaidi, maneno mengi ya kufanana yaliongezwa kwenye kitabu hiki.
Hijeh chun Jeremiah in lekhajol achom khat alan, lekhasunpa Baruch kom’a chun, akamcheng tah in aseipeh kit in, ajihlutsah tai. Chule lekhajol masa, Judah lengpa Jehoiakim in meiya ahalvamsa-a, kijihlut thucheng jouse abonchan ajihlutsah kit in, chule thucheng tampi jong akigop ben ahi.

< Yeremia 36 >