< Yeremia 36 >

1 Ilikuja tokea katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu mwana wa Yosiah mfalme wa Yuda, kwamba neno hili lilikuja kwa Yeremiah kutoka kwa Yahwe, na alisema,
В четвъртата година на Юдовия цар Иоаким, Иосиевия син, дойде това слово към Еремия от Господа и рече:
2 “Chukua kitabu kwa ajili yako na uandike juu yake maneno yote ambayo nimekwisha kukuambia kuhusiana na Israel na Yuda, na kila taifa. Fanya hivi kwa kila kitu nilichokuambia tokea siku za Yosia mpaka siku ile.
Вземи си един свитък книга та напиши в него всичките думи, които ти говорих против Израиля, против Юда, и против всичките народи, от деня, когато почнах да ти говоря, от дните на Иосия, дори до днес.
3 Huenda watu wa Yuda watasikiliza majanga yote ambayo ninakusudia kuleta juu yao. Huenda kila mmoja ataacha njia zake mbaya, ili kwamba niweze kuwasamehe maovu yao na dhambi zao.”
Дано чуе Юдовият дом всичкото зло, което Аз мисля да им направя, тъй щото да се върнат всеки от лошия си път, и Аз да простя беззаконието им и греха им.
4 Kisha Yeremia alimwita Baruku mwana wa Neria, na Baruku aliandika kwenye kitabu, kwa imla ya Yeremia, maneno yote ya Yahwe yalizunguzwa kwake.
Тогава Еремия повика Варуха Нириевия син; и Варух написа от устата на Еремия в един свитък книга всичките думи, които Господ му бе говорил.
5 Kisha Yeremia alitoa amri kwa Baruku. Alisema, “Niko gerezani na siwezi kwenda kwenye nyumba ya Yahwe.
И Еремия заповяда на Варуха, казвайки: Аз съм запрян; не мога да вляза в Господния дом;
6 Kwa hiyo unapaswa uende na kusoma kutoka kwenye kitabu ulichoandika kwa imla yangu. Kwa siku ya kufunga, unapaswa usome maneno ya Yahwe kwenye masikio ya watu katika nyumba yake, na pia kwenye masikio ya Yuda yote waliokuja kutoka katika miji yao. Tangaza maneno haya kwao.
затова, влез ти и от свитъка, който написа от устата ми, прочети Господните думи в ушите на людете, в Господния дом, в ден на пост; прочети ги в ушите на всички от Юда, които дохождат от градовете си.
7 Huenda maombi yao ya rehema yatakuja mbele ya Yahwe. Huenda kila mtu ataacha njia mbaya, kwani gathabu na hasira ya Yahwe imetangazwa dhidi ya watu kwa ukali.”
Негли принесат молба пред Господа, и се върнат всеки от лошия си път; защото голям е гневът и яростта, които Господ е произнесъл против тия люде.
8 Kwa hiyo Baruku mwana wa Neria alifanya kila kitu ambacho Yeremia nabii alimwamuru yeye kufanya. Alisoma kwa sauti maneno ya Yahwe ndani mwa nyumba ya Yahwe.
И Варух Нириевия син стори всичко, що му заповяда пророк Еремия, като прочете от книгата Господните думи в Господния дом.
9 Ilikuja tokea katika mwaka wa tano na mwezi wa tisa kwa Yehoyakimu mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, kwamba watu wote Yerusalemu na watu waliotoka Yerusalemu toka miji ya Yuda walitangaza kufunga kwa kumheshimu Yahwe.
И в петата година на Юдовия цар, Иоаким Иосиевия син, в деветия месец, всичките люде в Ерусалим и всичките люде, които дохождаха в Ерусалим от Юдовите градове, прогласиха пост пред Господа.
10 Baruku alisoma kwa sauti maneno ya Yeremia katika nyumba ya Yahwe, kutoka kwenye chumba cha Gamaria mwana wa Shafani mwandishi, katika ua wa juu, kwa mlango wa kuingilia wa nyumba ya Yahwe. Alifanya hivi kwa masikio ya watu wote.
Тогава Варух прочете от книгата Еремиевите думи в Господния дом, в стаята на Гемария, син на секретаря Сафан, в горния двор, във входа на новата врата на Господния дом, в ушите на всичките люде.
11 Basi Mikaya mwana wa Gemaria alisikia maneno yote ya Yahwe kwenye kitabu.
И когато Михей, син на Гемария Сафановия син, чу от книгата всичките Господни думи,
12 Alienda chini kwenye nyumba ya mfalme, kwenye chumba cha katibu. Tazama, maafisa wote walikuwa wamekaa hapo: Elishama mwandishi, Delaiah mwana wa Shemaiah, Elnathan mwana wa Achbor, Gemaria mwana wa Shefani, na Sedekia mwana wa Hananiah, na maafisa wote.
слезе в царския дворец, в стаята на секретаря; и, ето, всичките първенци седяха там, - писачът Елисама, Делаия Семаиевият син, Елнатан Аховоровия син, Гемария Сафановия син, Седекия Ананевият син, и всичките първенци.
13 Kisha Mikaya alitoa taarifa ya maneno yote kwao ambayo alikuwa amesikia ambayo Baruku alisoma kwa sauti kwenye masikio ya watu.
Тогава Михей им извести всичките думи, които бе чул, когато Варух прочиташе книгата в ушите на людете.
14 Kwa hiyo maafisa wote walimtuma Jehudi mwana wa Nethania mwana wa Shelemiah mwana wa Kushi, kwa Baruku. Jehudi alisema kwa Baruku, “Chukua kitabu katika mkono wako, kitabu ambacho ulikuwa unakisoma kwa masikio ya watu and kuja.” Kwa hiyo Baruku mwana wa Neria alichukua kitabu katika mkono wake na alienda kwa maafisa.
Затова, всичките първенци пратиха Юдия, син на Натания, син на Селемия Хусиевия син, при Варуха да му кажат: Вземи в ръката си свитъка, който си прочел в ушите на людете, и дойди. И тъй, Варух Нириевият син взе свитъка в ръката си, та дойде при тях.
15 Kisha walisema naye,”Kaa chini na usome haya katika masikio yetu.” Kwa hiyo Baruku akasoma kitabu.
И рекоха му: Я седни та го прочети в ушите ни. И Варух го прочете в ушите им.
16 Ilitokea wakati waliposikia haya maneno yote, kila mtu alipatwa na hofu kwa mtu aliye karibu naye na kusema kwa Baruku, “Kwa hakika tunapaswa kutoa taarifa ya maneno haya yote kwa mfalme.”
А като чуха всичките думи, спогледаха се с ужас, и рекоха на Варуха: Непременно ще съобщим на царя всички тия думи.
17 Kisha walimuuliza Baruku, “Tuambie, ulipataje kuandika maneno yote haya kwa imla ya Yeremia?”
И попитаха Варуха, думайки: Кажи ни сега: Как си написал ти всички тия думи от устата му?
18 Baruku aliwaambia, “Alitoa imla ya maneno haya yote kwangu, na nikayaandika kwa wino kwenye kitabu hiki.”
А Варух им отговори: Той ми диктуваше устно всички тия думи, и аз ги написвах с мастило в книгата.
19 Kisha maafisa walisema kwa Baruku, “Nenda, jifiche mwenyewe, na Yeremiah, pia. Usipatikane mtu yeyote kujua uko wapi.”
Тогава първенците рекоха на Варуха: Иди, скрий се, ти и Еремия; никой да не знае где сте.
20 Kisha walienda kwa uwanja wa mfalme na wakatoa taarifa ya maneno haya kwake. Lakini kwanza walikihifadhi kitabu kwenye chumba cha katibu Elishama.
После влязоха при царя, (свитъка обаче оставиха в стаята на писача Елисама), и известиха в ушите на царя всички тия думи.
21 Basi mfalme alimtuma Yehudi kuchukua kitabu. Yehudi alikichukua toka chumba cha Elishama katibu. Kisha alikisoma kwa sauti kwa mfalme na wote maafisa walikuwa wamesimama karibu naye.
И тъй, царят прати Юдия да вземе свитъка; и той го взе от стаята на писача Елисама. И Юдий го прочете в ушите на царя и в ушите на всички първенци, които стояха около царя.
22 Sasa mfalme alikuwa amesimama kwenye nyumba ya majira ya baridi katika mwezi wa tisa, na mkaa ulikuwa unawaka mbele yake.
А царят седеше в зимния дворец, (като беше деветия месец), и пред него имаше жарник с огън.
23 Ilitokea wakati Yehudi aliposoma kurusa tatu au nne, mfalme angeweza kuikata kwa kisu na kuitupa kwenye moto katika mkaa mpaka kitabu chote kiliteketea.
И когато Юдий беше прочел три-четири стълба, царят сряза свитъка с писарското ножче и хвърли го в огъня на жарника, догдето изгоря целият свитък в огъня на жарника.
24 Lakini wala mfalme wala yeyote wa mjakazi wake aliyesikia haya maneno yote aliogopa, wala hawakuchana nguo zao.
И не се разтрепераха, и не раздраха дрехите си, ни царя, ни един от слугите му, които чуха всички тия думи.
25 Elnathani, Delaya, na Gemaria walikuwa wamemuomba mfalme asikichome kitabu, lakini hakuwasikiliza.
При това, когато Елнатан, Делаия, и Гемария ходатайствуваха пред царя да не изгаря свитъка, той не ги послуша.
26 Basi mfalme alimwamuru Yerameeli, ndugu, Seraya mwana wa Azrieli, na Shelemia mwana wa Abdeeli kumfunga Baruku mwandishi na Yeremia nabii, lakini Yahwe alikuwa amewaficha.
И царят заповяда на сина си Иерамеил, на Сераия Азрииловия син, и на Селемия Авдииловия син, да хванат писача Варух и пророка Еремия; но Господ ги скри.
27 Kisha neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia baada ya mfalme kuwa amechoma kitabu na maneno ya Baruku yaliyokuwa yameandikwa kwa imla ya Yeremia, na alisema,
И след като изгори царят свитъка и думите, които Варух написа от Еремиевите уста, дойде Господното слово към Еремия и рече:
28 “Rudi, chukua kitabu kingine kwa ajili yako, na uandike maneno haya yote ambayo yalikuwa kwenye kitabu cha kwanza, ambacho Yehoyakimu mfalme wa Yuda alikichoma.
Вземи си пак друг свитък та напиши в него всичките предишни думи, които бяха в първия свитък, който Юдовият цар Иоаким изгори;
29 Kisha unapaswa kusema hivi kwa mfalme Yehoyakimu mfalme wa Yuda: 'Ulichoma hicho kitabu! Na ulisema: Kwanini umeandika juu yake, “Mfalme wa Babeli hakika atakuja na kuharibu nchi hii, kwa kuwa atawaangamiza wanaume wote na wanyama ndani yake?”
а на Юдовия цар Иоаким да кажеш: Така казва Господ: Ти изгори тоя свитък, и каза: Защо си написал в него, че вавилонският цар непременно ще дойде и ще разори тая земя, и ще направи да няма в нея ни човек ни животно?
30 Kwa hiyo Yahwe anasema hivi kuhusu wewe, Yehoyakimu mfalme wa Yuda: “Hakuna mzao wako atawahi kukaa kwenye kiti cha Daudi. Kama wewe, maiti yako itatupwa kwenye siku ya joto na usiku wa baridi.
Затова, така казва Господ за Юдовия цар Иоаким: Не ще има от него кой да седи на Давидовия престол. И трупът му ще бъде изхвърлен, денем на пека, а нощем на сланата.
31 Kwa kuwa nitakuadhibu, wazao wako, na wajakazi wako kwa maovu yenu yote. Nitaleta kwenu, kwa wakazi wote wa Yerusalemu, na kwa kila mtu Yuda majanga ambayo nimewatishia ninyi, lakini kwa hamkuwa makini.”
Аз ще накажа него, потомството му, и слугите му за беззаконието им; и ще докарам на тях, на Ерусалимските жители и на Юдовите мъже всичкото зло, което изрекох против тях; а те не послушаха.
32 Kwa hiyo Yeremia alichukua kitabu kingine na akampa Baruku mwana wa Neria mwandishi. Baruku aliandika juu yake kwa imla ya Yeremia maneno yote ambayo yalikuwa katika kitabu kilichochomwa moto na mfalme Yehoyakimu mfalme wa Yuda. Zaidi, maneno mengi ya kufanana yaliongezwa kwenye kitabu hiki.
И тъй, Еремия взе друг свитък и го даде на писача Варух Нириевия син, който написа в него от устата на Еремия всичките думи на книгата, която Юдовият цар Иоаким беше изгорил в огъня; а при тях се притуриха и още много подобни думи.

< Yeremia 36 >