< Yeremia 27 >

1 Katika mwanzo wa utawala wa Sedekia mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, neno hil lilimjia Yeremia kutoka kwa Yahwe. (Ingawa nakala nyingi za Kiebrania zinasema “Yehoyakimu, matoleo mengi ya kisasa yanasema “Sedekia”, kwa sababu tukio katika sura hii lilitokea katika kipindi cha utawala wake).
Jojaķima (Cedeķijas), Josijas dēla, Jūda ķēniņa valdīšanas iesākumā šis vārds no Tā Kunga notika uz Jeremiju:
2 Hiki ndicho Yahwe alisema kwangu, “Tengeneza vifungo na nira kwa ajili yako mwenyewe. Ziweke shingoni mwako.
Tā saka Tas Kungs uz mani: taisi sev saites un jūgus un liec tos pie sava kakla,
3 Kisha akawatuma kwenda kw mfalme wa Edomu, mfalme wa Moabu, mfalme wa watu wa amoni, mfalme wa Tiro, na kwa mfalme wa Sidoni. Watume kwa mkono wa wajumbe hao wa wafalme ambao walikuja Yerusalemu kwa Sedekia mfalme wa Yuda.
Un sūti tos pie Edoma ķēniņa, pie Moaba ķēniņa, pie Amona bērnu ķēniņa un pie Tirus ķēniņa un pie Sidonas ķēniņa ar tiem vēstnešiem, kas nākuši uz Jeruzālemi pie Jūda ķēniņa Cedeķijas;
4 Toa amri kwao kwa ajili ya mabwana zao na sema, ' Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Hivyo ndivyo utakavyosema kwa mabwana zenu,
Un pavēli tiem sacīt uz saviem kungiem: tā saka Tas Kungs Cebaot, Israēla Dievs: tā jums saviem kungiem būs sacīt:
5 Mimi mwenyewe niliiumba dunia kwa nguvu zangu kuu na mkono wangu ulioinuka. Pia niliwaumba watu na wanyama juu ya dunia, na nikawatoa kwa yeyote aliyesahihi katika macho yangu.
Es esmu radījis zemi un cilvēkus un lopus, kas virs zemes, ar Savu lielo spēku un ar Savu izstiepto elkoni, un Es to dodu tam, kas Manām acīm patiks.
6 Kwa hiyo sasa, Mimi mwenyewe naziweka nchi hizi zote kwenye mkono wa Nebukadreza, mfalme wa Babeli, mtumishi wangu. Pia, ninavikabidhi kwake viumbe hai vyote katika mashamba ili vimtumikie.
Nu tad visas šās zemes Es dodu rokā Nebukadnecaram, Bābeles ķēniņam, Savam kalpam, un pat zvērus laukā Es dodu viņam kalpot.
7 Kwa maana mataifa yote watamtumikia yeye, wanaye, na wajukuu zake hadi muda wa nchi yake ufike. Kisha mataifa mengi na wafalme wengi watamtiisha.
Un visiem ļaudīm būs kalpot viņam un viņa dēlam un viņa dēla dēlam, tiekams laiks nāks arī viņa zemei, tad lielas tautas un lieli ķēniņi viņu sev kalpinās.
8 Kwa hiyo taifa na ufalme ambo haumtumikii Nebukadreza, mfalme wa Babeli, na ule usioweka shingo yake chini ya nira ya Nebukadreza mfalme wa Babeli—nitaliadhibu taifa hilo kwa upanga, njaa, na pigo—hili ni tangazo la Yahwe—hadi nitakapokuwa nimewateketeza kwa mkono wake.
Un tos ļaudis un to valsti, kas viņam, Nebukadnecaram, Bābeles ķēniņam, nekalpos, un kas savu kaklu negribēs likt apakš Bābeles ķēniņa jūga, to tautu Es piemeklēšu ar zobenu un ar badu un ar mēri, saka Tas Kungs, tiekams Es tos būšu izdeldējis caur viņa roku.
9 Kwa hiyo msiwasikilize manabii wenu, wabashiri wenu, waonaji wenu, ndoto zenu, watambuzi wenu, ambao wamekuw wakisema kwenu na kusema, ' Msimtumikie mfalme wa Babeli.'
Jūs tad neklausiet saviem praviešiem un saviem zīlniekiem un saviem sapņotājiem un saviem vārdotājiem un saviem burvjiem, kas uz jums runā un saka: jūs nekalposiet Bābeles ķēniņam.
10 Kwa maana wanatabiri uongo kwenu ili kuwapeleka mbali na nchi zenu, kwa maana nitawapeleka mbali, na mtakufa.
Jo tie jums sludina melus, lai Es jūs tālu aizvedu no jūsu zemes, un lai Es jūs izdzenu, un lai jūs ejat bojā.
11 Lakini taifa ambalo wataweka shingo zao chini ya nira ya mfalme wa Babeli na kumtumikia, nitawaruhusu kupumzika katika nchi yao—hili ni tangazo la Yahwe—na watailima na kufanya nyumba zao humo.””
Bet tiem ļaudīm, kas savu kaklu pados Bābeles ķēniņa jūgam un viņam kalpos, tiem Es likšu palikt savā zemē, saka Tas Kungs, un tie to apkops un tur dzīvos.
12 Kwa hiyo nilisema kwa Sedekia mfalme wa Yuda na kumpa ujumbe huu, “Ziwekeni shingo zenu chini ya nira ya mfalme wa Babeli na mtumikieni yeye na watu wake, na mtaishi.
Un Es runāju pēc visiem šiem vārdiem uz ķēniņu Cedeķiju, Jūda ķēniņu, un sacīju: padodiet savus kaklus Bābeles ķēniņa jūgam un kalpojiet viņam un viņa ļaudīm, tad jūs dzīvosiet.
13 Kwa nini mfe—wewe na watu wako—kwa upanga, njaa, na pigo, kama vile nilivyotangaza kuhusu taifa ambalo watapuuza kumtumikia mfalme wa Babeli?
Kāpēc jūs gribat mirt, tu un tavi ļaudis, caur zobenu, caur badu un caur mēri, kā Tas Kungs runājis par tiem ļaudīm, kas Bābeles ķēniņam nekalpos?
14 Msisikilize maneno ya manabii wanaozungumza kwenu na kusema, 'Msimtumikie mfalme wa Babeli', kwa maana wanatabiri uongo kwenu.
Tad neklausiet to praviešu vārdiem, kas uz jums runā un saka: jūs nekalposiet Bābeles ķēniņam, - jo tie jums sludina melus.
15 'Kwa maana mimi sikuwatuma—hili ni tangazo la Yahwe—kwa maana wanatabiri uongo katika jina langu ili kwamba niwafukeze inje na muangamie, ninyi nyote na manabii wanaotabiri kwenu.”'
Jo Es tos neesmu sūtījis, saka Tas Kungs, un tie Manā Vārdā sludina melus, lai Es jūs izdzenu, un jūs ejat bojā, jūs un tie pravieši, kas jums sludina.
16 Nilitangaza hili kwa makuhani na watu wote na kusema, “Yahwe anasema hivi: Msisikilize maneno ya manabii wanaotabiri kwenu na kusema, 'Angalia! Vyombo vya nyumba ya Yahwe vinarudishwa kutoka Babeli sasa hivi!' Wanatabiri uongo kwenu.
Es runāju arī uz tiem priesteriem un uz visiem šiem ļaudīm un sacīju: tā saka Tas Kungs: neklausiet savu praviešu vārdiem, kas jums sludina un saka: redzi, Tā Kunga nama trauki drīz taps pārvesti no Bābeles, jo tie jums sludina melus.
17 Msiwasikilize. Mtamtumikia mfalme wa Babeli na mtaishi. Kwa nini mji huu uangamizwe?
Neklausiet tiem, kalpojiet Bābeles ķēniņam, tad jūs dzīvosiet. Kāpēc tad šai pilsētai būs tapt postītai?
18 Kama ni manabii, na kama neno la Mungu limekuja kwao kweli, basi wamwombe Yahwe wa majeshi asivipeleke Babeli vyombo vilivyosalia katika nyumba, nyumba ya mfalme wa Yuda, na Yerusalemu.
Bet ja tie ir pravieši, un ja Tā Kunga vārds ir pie viņiem, tad lai tie jel To Kungu Cebaot pielūdz, ka tie trauki, kas Tā Kunga namā un Jūda ķēniņa namā un Jeruzālemē atlikuši, nenāk uz Bābeli.
19 Yahwe wa majeshi anasema hivi kuhusu zile nguzo, bahari, na kitako, na vyombo vyote vilivyosalia katika mji huu—
Jo tā saka Tas Kungs Cebaot par tiem pīlāriem un par to jūru un par tiem krēsliem un par tiem atlikušiem traukiem, kas šai pilsētā atlikuši,
20 vyombo ambavyo Nebukadreza mfalme wa Babeli hakuvichukua wakati alipomchukua Yekonia mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, katika utumwa kutoka Yerusalemu kwenda Babeli pamoja na wakuu wote wa Yuda na Yerusalemu.
Ko Nebukadnecars, Bābeles ķēniņš, nav paņēmis, kad viņš Jekaniju, Jojaķima dēlu, Jūda ķēniņu, no Jeruzālemes aizveda uz Bābeli līdz ar visiem Jūda un Jeruzālemes cienīgiem -
21 Yahwe wa majeshsi, Mungu wa Israeli, anasema hivi kuhusu vyombo vilivyosalia katika nyumba ya Yahwe, nyumba ya mfalme wa Yuda, na Yerusalemu,
Jo tā saka Tas Kungs Cebaot, Israēla Dievs, par tiem rīkiem, kas atlikuši Tā Kunga namā un Jūda ķēniņa namā un Jeruzālemē:
22 'Vitaletwa Babeli, na vitabaki huko hadi siku niyovipangia kutimia—hili ni tangazo la Yahwe—kisha nitavileta na kuvirudisha kataika sehemu hii.”
Tie taps aizvesti uz Bābeli, un tur tie būs līdz tai dienai, kad Es tos piemeklēšu, saka Tas Kungs, jo Es tos atvedīšu atpakaļ uz šo vietu.

< Yeremia 27 >