< Yeremia 27 >

1 Katika mwanzo wa utawala wa Sedekia mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, neno hil lilimjia Yeremia kutoka kwa Yahwe. (Ingawa nakala nyingi za Kiebrania zinasema “Yehoyakimu, matoleo mengi ya kisasa yanasema “Sedekia”, kwa sababu tukio katika sura hii lilitokea katika kipindi cha utawala wake).
In [the] beginning of [the] reign of Jehoiakim [the] son of Josiah [the] king of Judah it came the word this to Jeremiah from with Yahweh saying.
2 Hiki ndicho Yahwe alisema kwangu, “Tengeneza vifungo na nira kwa ajili yako mwenyewe. Ziweke shingoni mwako.
Thus he said Yahweh to me make for yourself fetters and yoke-bars and you will put them on neck your.
3 Kisha akawatuma kwenda kw mfalme wa Edomu, mfalme wa Moabu, mfalme wa watu wa amoni, mfalme wa Tiro, na kwa mfalme wa Sidoni. Watume kwa mkono wa wajumbe hao wa wafalme ambao walikuja Yerusalemu kwa Sedekia mfalme wa Yuda.
And you will send them to [the] king of Edom and to [the] king of Moab and to [the] king of [the] people of Ammon and to [the] king of Tyre and to [the] king of Sidon by [the] hand of messengers who have come Jerusalem to Zedekiah [the] king of Judah.
4 Toa amri kwao kwa ajili ya mabwana zao na sema, ' Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Hivyo ndivyo utakavyosema kwa mabwana zenu,
And you will command them to masters their saying thus he says Yahweh of hosts [the] God of Israel thus you will say to masters your.
5 Mimi mwenyewe niliiumba dunia kwa nguvu zangu kuu na mkono wangu ulioinuka. Pia niliwaumba watu na wanyama juu ya dunia, na nikawatoa kwa yeyote aliyesahihi katika macho yangu.
I I made the earth humankind and the animal[s] which [are] on [the] surface of the earth by power my great and by arm my outstretched and I give it to [those] whom it is pleasing in eyes my.
6 Kwa hiyo sasa, Mimi mwenyewe naziweka nchi hizi zote kwenye mkono wa Nebukadreza, mfalme wa Babeli, mtumishi wangu. Pia, ninavikabidhi kwake viumbe hai vyote katika mashamba ili vimtumikie.
And now I I give all the lands these in [the] hand of Nebuchadnezzar [the] king of Babylon servant my and also [the] animal[s] of the field I give to him to serve him.
7 Kwa maana mataifa yote watamtumikia yeye, wanaye, na wajukuu zake hadi muda wa nchi yake ufike. Kisha mataifa mengi na wafalme wengi watamtiisha.
And they will serve him all the nations and son his and [the] son of son his until comes [the] time of land his also he and they will work by him nations many and kings great.
8 Kwa hiyo taifa na ufalme ambo haumtumikii Nebukadreza, mfalme wa Babeli, na ule usioweka shingo yake chini ya nira ya Nebukadreza mfalme wa Babeli—nitaliadhibu taifa hilo kwa upanga, njaa, na pigo—hili ni tangazo la Yahwe—hadi nitakapokuwa nimewateketeza kwa mkono wake.
And it will be the nation and the kingdom which not they will serve him Nebuchadnezzar [the] king of Babylon and which not it will put neck its in [the] yoke of [the] king of Babylon with the sword and with famine and with pestilence I will visit [judgment] on the nation that [the] utterance of Yahweh until have consumed I them by hand his.
9 Kwa hiyo msiwasikilize manabii wenu, wabashiri wenu, waonaji wenu, ndoto zenu, watambuzi wenu, ambao wamekuw wakisema kwenu na kusema, ' Msimtumikie mfalme wa Babeli.'
And you may not you listen to prophets your and to diviners your and to dreams your and to soothsayers your and to sorcerers your who they [are] saying to you saying not you will serve [the] king of Babylon.
10 Kwa maana wanatabiri uongo kwenu ili kuwapeleka mbali na nchi zenu, kwa maana nitawapeleka mbali, na mtakufa.
For falsehood they [are] prophesying to you so as to remove far away you from on land your and I will drive out you and you will perish.
11 Lakini taifa ambalo wataweka shingo zao chini ya nira ya mfalme wa Babeli na kumtumikia, nitawaruhusu kupumzika katika nchi yao—hili ni tangazo la Yahwe—na watailima na kufanya nyumba zao humo.””
And the nation which it will bring neck its in [the] yoke of [the] king of Babylon and it will serve him and I will let remain it on land its [the] utterance of Yahweh and it will work it and it will dwell in it.
12 Kwa hiyo nilisema kwa Sedekia mfalme wa Yuda na kumpa ujumbe huu, “Ziwekeni shingo zenu chini ya nira ya mfalme wa Babeli na mtumikieni yeye na watu wake, na mtaishi.
And to Zedekiah [the] king of Judah I spoke according to all the words these saying bring necks your in [the] yoke of [the] king of Babylon and serve him and people his and live.
13 Kwa nini mfe—wewe na watu wako—kwa upanga, njaa, na pigo, kama vile nilivyotangaza kuhusu taifa ambalo watapuuza kumtumikia mfalme wa Babeli?
Why? will you die you and people your by the sword by famine and by pestilence just as he has spoken Yahweh to the nation which not it will serve [the] king of Babylon.
14 Msisikilize maneno ya manabii wanaozungumza kwenu na kusema, 'Msimtumikie mfalme wa Babeli', kwa maana wanatabiri uongo kwenu.
And may not you listen to [the] words of the prophets who say to you saying not you will serve [the] king of Babylon for falsehood they [are] prophesying to you.
15 'Kwa maana mimi sikuwatuma—hili ni tangazo la Yahwe—kwa maana wanatabiri uongo katika jina langu ili kwamba niwafukeze inje na muangamie, ninyi nyote na manabii wanaotabiri kwenu.”'
For not I sent them [the] utterance of Yahweh and they [are] prophesying in name my to falsehood so as to drive out I you and you will perish you and the prophets who are prophesying to you.
16 Nilitangaza hili kwa makuhani na watu wote na kusema, “Yahwe anasema hivi: Msisikilize maneno ya manabii wanaotabiri kwenu na kusema, 'Angalia! Vyombo vya nyumba ya Yahwe vinarudishwa kutoka Babeli sasa hivi!' Wanatabiri uongo kwenu.
And to the priests and to all the people this I spoke saying thus he says Yahweh may not you listen to [the] words of prophets your who are prophesying to you saying there! [the] articles of [the] house of Yahweh [are] about to be brought back from Babylon now quickly for falsehood they [are] prophesying to you.
17 Msiwasikilize. Mtamtumikia mfalme wa Babeli na mtaishi. Kwa nini mji huu uangamizwe?
May not you listen to them serve [the] king of Babylon and live why? will it become the city this a ruin.
18 Kama ni manabii, na kama neno la Mungu limekuja kwao kweli, basi wamwombe Yahwe wa majeshi asivipeleke Babeli vyombo vilivyosalia katika nyumba, nyumba ya mfalme wa Yuda, na Yerusalemu.
And if [are] prophets they and if there [is] [the] word of Yahweh with them let them entreat please Yahweh of hosts to not go the articles - which remain in [the] house of Yahweh and [the] house of [the] king of Judah and in Jerusalem Babylon towards.
19 Yahwe wa majeshi anasema hivi kuhusu zile nguzo, bahari, na kitako, na vyombo vyote vilivyosalia katika mji huu—
For thus he says Yahweh of hosts concerning the pillars and on the sea and on the stands and on [the] remainder of the articles which remain in the city this.
20 vyombo ambavyo Nebukadreza mfalme wa Babeli hakuvichukua wakati alipomchukua Yekonia mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, katika utumwa kutoka Yerusalemu kwenda Babeli pamoja na wakuu wote wa Yuda na Yerusalemu.
Which not he took them Nebuchadnezzar [the] king of Babylon when took into exile he (Jeconiah *Qk) [the] son of Jehoiakim [the] king of Judah from Jerusalem Babylon towards and all [the] nobles of Judah and Jerusalem.
21 Yahwe wa majeshsi, Mungu wa Israeli, anasema hivi kuhusu vyombo vilivyosalia katika nyumba ya Yahwe, nyumba ya mfalme wa Yuda, na Yerusalemu,
For thus he says Yahweh of hosts [the] God of Israel on the articles which remain [the] house of Yahweh and [the] house of [the] king of Judah and Jerusalem.
22 'Vitaletwa Babeli, na vitabaki huko hadi siku niyovipangia kutimia—hili ni tangazo la Yahwe—kisha nitavileta na kuvirudisha kataika sehemu hii.”
Babylon towards they will be taken and there they will remain until [the] day give attention to I them [the] utterance of Yahweh and I will bring up them and I will bring back them to the place this.

< Yeremia 27 >