< Yeremia 17 >

1 “Dhambi ya Yuda imeandikwa kwa kalamu ya chuma yenye ncha ya almasi. Imechongwa kwenye kibao cha mioyo yao na kwenye pembe za madhabahu zako.
Grzech Judy jest zapisany żelaznym rylcem, ostrzem diamentu jest wyryty na tablicy ich serca i na rogach waszych ołtarzy;
2 Watoto wao wanakumbuka madhabahu zao na miti yao ya Ashera kwa miti ya majani kwenye milima mirefu.
Gdy ich synowie wspominają ich ołtarze i gaje pod drzewami zielonymi, na wysokich pagórkach.
3 Mlima wangu katika nchi ya wazi na mali yako yote pamoja na hazina zako zote, nitakupa kama nyara kwa wengine. Hiyo ndiyo thamani ya maeneo yako ya juu na dhambi iliyo katika maeneo yako yote.
[Moja] góro na polu! Twoje bogactwo [i] wszystkie twoje skarby wydam na łup z powodu grzechu twoich wyżyn we wszystkich twoich granicach.
4 Utapoteza urithi niliokupa. Nitakutumikisha kwa adui zako katika nchi ambayo hujui, kwa maana umewasha moto katika ghadhabu yangu, ambao utakawaka milele.”
A [ty] opuścisz swoje dziedzictwo, które ci dałem. I sprawię, że będziesz służył swoim wrogom w ziemi, której nie znasz, bo rozpaliliście ogień mojej zapalczywości, [który] będzie płonąć na wieki.
5 Bwana asema, “Mtu anayemtegemea mwanadamu amelaaniwa; amfanyaye mwanadamu kuwa nguvu yake na kugeuza moyo wake mbali na Bwana.
Tak mówi PAN: Przeklęty człowiek, który ufa człowiekowi i który czyni ciało swoim ramieniem, a od PANA odstępuje jego serce.
6 Kwa maana atakuwa kama msitu mdogo katika Araba na hawezi kuona kitu kizuri kikija. Atakaa katika maeneo ya mawe jangwani, nchi isiyokuwa na wakazi.
Będzie bowiem jak wrzos na pustyni, który nie czuje, gdy przychodzi coś dobrego, ale wybiera suche miejsca na pustyni, w ziemi słonej i bezludnej.
7 Lakini mtu anayemtegemea Bwana amebarikiwa, kwa kuwa Bwana ndiye tumaini lake.
Błogosławiony człowiek, który ufa PANU, a którego nadzieją jest PAN.
8 Kwa maana atakuwa kama mmea karibu na maji kando ya mto; mizizi yake itaenea. Hawezi kuona joto likija, kwa kuwa majani yake yatakuwa mabichi. Kisha mwaka wa ukame hawezi kuwa na wasiwasi, wala hataacha kuzalisha matunda.
Będzie bowiem jak drzewo zasadzone nad wodami, które swoje korzenie zapuszcza nad strumieniem i nie zauważa, gdy upał przychodzi, ale jego liść pozostaje zielony. W roku suszy nie troszczy się i nie przestaje przynosić owocu.
9 Moyo ni mdanganyifu zaidi kuliko kitu kingine chochote. Una mgonjwa; ni nani anayeweza kuelewa?
Najzdradliwsze ponad wszystko [jest] serce i najbardziej przewrotne. Któż zdoła je poznać?
10 Mimi ni Bwana, ninayechunguza akili, ambaye hujaribu viuno. Ninampa kila mtu kulingana na njia zake, kulingana na matunda ya matendo yake.
Ja, PAN, badam serca i doświadczam nerki, aby oddać każdemu według jego dróg i według owocu jego uczynków.
11 kama Kware akusanyaye mayai asiyotaga. Mtu anaweza kuwa tajiri kwa udhalimu, lakini wakati nusu ya siku zake ukipita, utajiri huo utamuacha, na mwishowe atakuwa mpumbavu.”
[Jak] kuropatwa gromadzi [swoje jajka], ale ich nie wysiaduje, [tak] kto zbiera bogactwa niesprawiedliwie, zostawi je w połowie swoich dni, a u swego kresu okaże się głupcem;
12 “Mahali pa hekalu letu ni kiti cha enzi cha utukufu, kilichoinuliwa tangu mwanzo.
Wzniosłym tronem chwały od początku [jest] miejsce naszej świątyni.
13 Bwana ni tumaini la Israeli. Wote ambao wanakuacha watakuwa na aibu. Wale walio katika nchi ambao wanageuka kutoka kwako watauliwa. Kwa maana wamwacha Bwana, chemchemi ya maji yaliyo hai.
PANIE, nadziejo Izraela! Wszyscy, którzy cię opuszczają, będą zawstydzeni; ci, którzy odstępują ode mnie, będą zapisani na ziemi, gdyż opuścili PANA, źródło żywych wód.
14 Niponye, Bwana, na mimi nitaponywa! Niokoe mimi, nami nitaokolewa. Kwa maana wewe ndio wimbo wangu wa sifa.
Uzdrów mnie, PANIE, a będę uzdrowiony; zbaw mnie, a będę zbawiony. Ty bowiem jesteś moją chwałą.
15 Tazama, wananiambia, 'Neno la Bwana liko wapi? Hebu lije!'
Oto oni mówią do mnie: Gdzie jest słowo PANA? Niech się już spełni!
16 Mimi sikuwahi kuacha kuwa mchungaji nyuma yako. Sikuitamani siku ya maafa. Unajua yaliyotoka mdomoni mwangu. Yalifanyika mbele ya uwepo wako.
Ale ja nie zabiegałem, aby być twoim pasterzem ani nie pragnąłem dnia boleści; ty wiesz: cokolwiek wyszło z moich ust, jest przed twoim obliczem.
17 Usiwe sababu ya hofu kwangu. Wewe ni kimbilio langu siku ya msiba.
Nie bądź dla mnie postrachem. Ty jesteś moją nadzieją w dniu utrapienia.
18 Waaibike watu wanaoniudhi, lakini nisiaibike mimi. Wataogopa, lakini usiache nifadhaike. Tuma siku ya maafa dhidi yao na kuwaangamiza maradufu.”
Niech będą zawstydzeni ci, którzy mnie prześladują, lecz niech ja nie będę zawstydzony. Niech się oni lękają, lecz niech ja się nie lękam. Sprowadź na nich dzień utrapienia i zniszcz ich podwójnym zniszczeniem.
19 Bwana akaniambia hivi: “Nenda ukasimame katika lango la watu ambako wafalme wa Yuda wanaingia na kutoka, basi katika malango mengine yote ya Yerusalemu.
Tak PAN powiedział do mnie: Idź i stań w bramie synów [tego] ludu, którą wchodzą i wychodzą królowie Judy, oraz we wszystkich bramach Jerozolimy;
20 Uwaambie, 'Sikieni neno la Bwana, wafalme wa Yuda, na ninyi watu wote wa Yuda, na kila mtu wa Yerusalemu atakayeingia kwa njia ya malango haya.
I powiedz im: Słuchajcie słowa PANA, królowie Judy, cała Judo i wszyscy mieszkańcy Jerozolimy, którzy wchodzicie przez te bramy!
21 Bwana asema hivi: “Jihadharini kwa ajili ya maisha yenu na msichukue mzigo siku ya sabato ili muilete katika malango ya Yerusalemu.
Tak mówi PAN: Strzeżcie pilnie waszych dusz i nie noście [żadnego] ciężaru w dzień szabatu ani nie wnoście [tego] przez bramy Jerozolimy;
22 Wala msilete mzigo nje ya nyumba zenu siku ya sabato. Msifanye kazi yoyote, lakini muitenge siku ya Sabato, kama nilivyowaagiza wazee wako kufanya.'”
Nie wynoście ciężarów z waszych domów w dzień szabatu ani nie wykonujcie żadnej pracy, ale święćcie dzień szabatu, jak nakazałem waszym ojcom.
23 Hawakusikiliza wala kutaega masikio yao, lakini walifanya shingo zao kuwa ngumu ili wasinisikilize wala kukubali maonyo.
Oni jednak nie usłuchali ani nie nakłonili swego ucha, lecz zatwardzili swój kark, aby nie słuchać i nie przyjąć pouczenia.
24 Itatokea kwamba ikiwa mtanisikiliza kweli-hili ndilo tamko la Bwana-na msilete mzigo kwenye malango ya jiji hili siku ya sabato lakini badala yake mkatenga siku ya sabato kwa Bwana na msifanye kazi yoyote juu yake -
A jeśli będziecie mnie pilnie słuchać, mówi PAN, i nie wnosić ciężarów przez bramy tego miasta w dzień szabatu, ale będziecie święcić dzień szabatu, nie wykonując w nim żadnej pracy;
25 basi wafalme, wakuu, na wale wanaokaa kiti cha Daudi wataingia malango ya mji huu kwa magari na farasi, wao na viongozi wao, watu wa Yuda na wenyeji wa Yerusalemu. Na mji huu utakaa milele.
Wtedy przez bramy tego miasta będą wchodzić królowie i książęta zasiadający na tronie Dawida, będą wjeżdżać na rydwanach i na koniach, oni, ich książęta, Judejczycy i mieszkańcy Jerozolimy, a to miasto będzie trwać na wieki.
26 Watakuja kutoka miji ya Yuda na kutoka pande zote za Yerusalemu, kutoka nchi ya Benyamini na visiwa vya chini, kutoka milimani na kutoka kaskazini, wakileta sadaka za kuteketezwa, dhabihu, sadaka za nafaka na ubani, sadaka za shukrani kwenye nyumba ya Bwana.
I zbiegną się z miast Judy, z okolic Jerozolimy i z ziemi Beniamina, z równin, z gór i z południa, przynosząc całopalenia, ofiary, dary i kadzidło i przynosząc także dziękczynienie do domu PANA.
27 Lakini ikiwa hamtasikiliza-kutakasa siku ya Sabato, kutochukua mizigo nzito, wala msiingie milango ya Yerusalemu siku ya sabato, nitawasha moto katika malango yake, nao utaangamiza majumba kuteketeza ngome za Yerusalemu, na hauwezi kuzimika.
Ale jeśli mnie nie usłuchacie, aby święcić dzień szabatu i nie nosić ciężaru, gdy wchodzicie przez bramy Jerozolimy w dzień szabatu, wtedy rozniecę ogień w jej bramach, który pochłonie pałace Jerozolimy i nie będzie ugaszony.

< Yeremia 17 >