< Yeremia 12 >

1 Wewe ni mwenye haki, Bwana, wakati wowote ninapoleta mashitaka kwako. Lazima nikuambie sababu yangu ya kulalamika: Kwa nini njia za waovu hufanikiwa? Watu wote wasiokuwa na imani wanafanikiwa.
Namah taengla kang rhoe vaengah BOEIPA namah tah na dueng coeng. Tedae laitloeknah te namah taengah ka thui koinih balae tih halang rhoek kah longpuei tah thaihtak tih hnukpoh rhoek loh a hnukpoh boeih khaw a dingsuek?
2 Wewe uliwapanda nao wakawa na mizizi. Wanaendelea kuzaa matunda. Wewe upo karibu nao katika vinywa vyao, lakini mbali na mioyo yao.
Amih te na phung tih a yung a hlak dongah a thaih cuen. A ka nen tah na yoei uh dae a kuel lamloh hla coeng.
3 Lakini wewe mwenyewe unanijua, Bwana. Umeona mimi na kuchunguza moyo wangu. Waondoe kama kondoo wa kuchinjwa. Ukakaweke tayari kwa siku ya kuchinjwa.
Tedae BOEIPA namah loh kai nan ming. Kai he nan hmuh tih ka lungbuei khaw na noem coeng. Amih te maeh la namah taengah boiva bangla bawt lamtah ngawnnah khohnin kah ham rhoe laeh.
4 Je! Nchi itakauka kwa muda gani, na mimea katika kila shamba itaota kwa sababu ya uovu wa wenyeji wake? Wanyama na ndege wameondolewa. Hakika, watu wanasema, “Mungu hajui nini kitatokea kwetu.”
Diklai he me hil nim a nguekcoi vetih khohmuen boeih kah baelhing a rhae ve. A khuikah khosa rhoek kah boethae dongah rhamsa neh vaa te a khoengvoep tih, “Kaimih kah hmailong he khui pawh,” a ti uh.
5 Bwana akasema, “Kweli, wewe, Yeremia, umetembea na askari wa miguu na wamechoka, unawezaje kushindana dhidi ya farasi? Ikiwa unashuka chini ya nchi iliyo salama, utafanyaje katika misitu karibu na Yordani?
Rhalkap neh na yong vaengah pataeng na ngak atah metlamlae te marhang taengah na sai eh? Ngaimong kho ah pataeng na palyal atah metlamlae Jordan kah mingthennah khuiah na saii eh?
6 Kwa maana hata ndugu zako na familia ya baba yako wamekudharau na kukukemea kwa sauti kubwa. Usiwaamini, hata kama wanasema mambo mazuri kwako.
Amih na manuca neh na pa imkhui long pataeng nang taengah hnukpok uh coeng. Amih te nang taengah khuk pang uh tih nang kah na then te thui uh cakhaw amih te tangnah boeh.
7 Nimeiacha nyumba yangu; Nimeacha urithi wangu. Nimewatia watu wangu wapendwa mikononi mwa adui zake.
Ka im te ka hnoo vetih ka rho te ka phap ni. Ka hinglu pumting te a thunkha kut ah ka tloeng ni.
8 Urithi wangu umekuwa kwangu kama simba katika tundu; yeye hujiweka juu yangu kwa sauti yake mwenyewe, hivyo nimemchukia.
Kamah taengah ka rho la om dae kai taengah duup kah sathueng bangla a ol neh ha thoeng. Te dongah ni anih te ka hmuhuet.
9 Malipo yangu ya thamani ni fisi, na ndege wenye madoadoa karibu na kichwa chake. Nenda, ukakusanye viumbe vyote vilivyomo katika mashamba, na uwalete ili wale.
Ka taengkah ka rho he rhikrhek vatlung nim oe? A taengkah vatlung kilkoel nim oe? Cet uh, kohong mulhing boeih coi lamtah caak hamla lo.
10 Wachungaji wengi wameharibu shamba langu la mizabibu. Wameipoteza sehemu yangu yote ya ardhi; Waligeuza sehemu yangu nzuri kuwa jangwa, ukiwa.
Aka dawn rhoek loh ka misurdum muep a phae tih ka hmakhuen te a suntlae uh. Ka hmakhuen sahnaih te khosoek khopong la a khueh uh.
11 Wamemfanya kuwa ukiwa. Ninaomboleza kwa ajili yake; yeye ni ukiwa. Nchi yote imefanywa kuwa ukiwa, kwa maana hakuna mtu aliyeweka haya moyoni mwake.
Khopong la a khueh vaengah kamah taengah nguekcoi uh. Diklai pum he a dingrhak la pong coeng tih lungbuei ah aka dueh hlang khaw om pawh.
12 Waangamizi wamekuja juu ya maeneo yote yaliyo wazi jangwani, kwa maana upanga wa Bwana unakula kutoka upande mmoja wa nchi hadi mwingine. Hakuna usalama katika nchi kwa kiumbe chochote kilicho hai.
Aka rhoelrhak ham te khosoek kah caphoei cuk boeih soah ha pawk coeng. BOEIPA kah cunghang tah diklai khobawt lamloh diklai khobawt duela a hlap tih pumsa boeih tah a ngaimong pawh.
13 Walipanda ngano lakini mavuno ya miiba. Wao wamechoka kutokana na kazi lakini hawajapata chochote. Basi muaibike kwa faida yenu kwa sababu ya ghadhabu ya Bwana.”
Cang a tuh dae hling la a ah uh dongah a kha uh akhaw hoeikhang uh pawh. BOEIPA kah thintoek thinsa lamloh na cangvuei khaw yak coeng.
14 Bwana asema hivi dhidi ya majirani zangu wote, waovu wanaopiga milki niliyowarithisha watu wangu Israeli, “Tazama, mimi ndimi ambaye nitawafukuza kutoka nchi yao wenyewe, nami nitaifuta nyumba ya Yuda kutoka kati yao.
Kamah pilnam Israel taengah ka phaeng rho dongah aka moi uh ka imben boethae boeih ham ni BOEIPA loh a thui tangkhuet. Kai loh amih te a khohmuen dong lamloh ka phuk tih Judah imkhui te amih lakli lamloh ka phuk.
15 Ndipo baada ya kuangamiza mataifa hayo, itatokea kwamba nitakuwa na huruma juu yao na kuwaleta tena; Nitawarudi-kila mtu kwa urithi wake na nchi yake.
Tedae ka phuk hnukah amih te ka mael thil vetih amih ka haidam khaw om bitni. A rho taeng neh a diklai la rhip rhip ka mael sak ni.
16 Kisha itakuwa ikiwa mataifa hayo yatajifunza kwa makini njia za watu wangu, kuapa kwa jina langu 'Kama Bwana anaishivyo!' vile vile kama walivyowafundishwa watu wangu kuapa kwa Baali, basi watajengwa katikati ya watu wangu.
A tue a pha atah Baal lamloh toemngam ham ka pilnam a tukkil uh bangla mulhing BOEIPA kamah ming neh toemngam ham ka pilnam longpuei te a tukkil rhoela a tukkil ni. Ka pilnam lakli ah tlingtlawn uh ni.
17 Lakini kama hakuna yeyote anayesikiliza, basi nitaling'oa taifa hilo. Kwa hakika litang'olewa na kuharibiwa-hili ndilo tamko la Bwana.”
Tedae a hnatun uh pawt atah namtom te phuk tih milh sak ham ka phuk van ni. He tah BOEIPA kah olphong ni.

< Yeremia 12 >