< Isaya 1 >

1 Maono ya Isaya mtoto wa Amozi ambayo aliyaona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika vipindi vya utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda.
Utvara Isaije sina Amosova, koju vidje za Judu i za Jerusalim za vremena Ozije, Joatana, Ahaza i Jezekije, careva Judinijeh.
2 Sikia enyi mbingu, tega sikio ewe nchi; kwa kuwa Yahwe amesema: ''Nimewatunza na kuwalea watoto, lakini wamenigeuka.
Èujte, nebesa, i slušaj, zemljo; jer Gospod govori: sinove odgojih i podigoh, a oni se odvrgoše mene.
3 Ng'ombe anamjua anayemmiliki na punda anajua sehemu anapowekewa chakula, lakini Israeli hawajui, wala hawafahamu.''
Vo poznaje gospodara svojega i magarac jasle gospodara svojega, a Izrailj ne poznaje, narod moj ne razumije.
4 Ole! Taifa, wenye zambi, mtu muovu, watoto wa wenye zambi, watoto wanaoenda kinyume, Wamemtelekeza Yahwe, wamedharau aliye Mtakatifu wa Israeli, wamejitenga wenyew kutoka kwake.
Da grješna naroda! naroda ogrezla u bezakonju! sjemena zlikovaèkoga, sinova pokvarenijeh! ostaviše Gospoda, prezreše sveca Izrailjeva, otstupiše natrag.
5 Kwa nini ulikuwa unaendelea kupigwa? Kwa nini unazidi kuasi zaudi na zaidi? Kichwa chote kinauma, moyo wote ni dhaifu.
Što biste još bili bijeni kad se sve više odmeæete? Sva je glava bolesna i sve srce iznemoglo.
6 Kutoka kwenye unyayo wa mguu mpaka kichwani kila sehemu ina maumivu; ni madonda na majeraha mabichi yaliyoachwa wazi, ambayo hayajafungwa, kuasifishwa, kuwafunga vidonda vyao, wala kuwaponya kwa mafuta.
Od pete do glave nema ništa zdrava, nego uboj i modrice i rane gnojave, ni iscijeðene ni zavijene ni uljem zablažene.
7 Nchi yenu imeharibiwa; miji yenu imechomwa moto; mashamba yenu— mbele, wageni wamehiaribu; wamepatelekeza katika uharibifu, ulioangushwa na wageni
Zemlja je vaša pusta, gradovi vaši ognjem popaljeni; vaše njive jedu tuðini na vaše oèi, i pustoš je kao što opustošavaju tuðini.
8 Binti Sayuni ameacha kama kibanda katika shamba la mzabu, kama kivuli kitika shamba la matango, kama mji unaomba.
I osta kæi Sionska kao koliba u vinogradu, kao sjenica u gradini od krastavaca, kao grad opkoljen.
9 Kama Yahwe wa majeshi hakutuasha kwa mda mfupi tungekuwa kama Sodoma, tungekuwa kama Gomora.
Da nam Gospod nad vojskama nije ostavio malo ostatka, bili bismo kao Sodom, izjednaèili bismo se s Gomorom.
10 Sikiliza neno la Yahwe, enyi viongozi wa Sodomu; sikilizeni sheria ya Mungu wetu, enyi watu wa Gomora:
Èujte rijeè Gospodnju, knezovi Sodomski, poslušajte zakon Boga našega, narode Gomorski!
11 ''Sadaka zenu ni nyingi kiasi gani kwangu?'' asema Yahwe. ''Nimesikia vya kutosha kuhusu sadaka yenu ya mwana kondoo, na mnyama alionona; na damu ya ng'ombe, ndama, au mbuzi si vifurahii.
Što æe mi mnoštvo žrtava vaših? veli Gospod. Sit sam žrtava paljenica od ovnova i pretiline od gojene stoke, i ne marim za krv junèiju i jagnjeæu i jareæu.
12 Ulipokuja kuonekaa mbele yangu, Ni nani aliyehitaji hili juu yako, kukanyaga katika mahama yangu
Kad dolazite da se pokažete preda mnom, ko ište to od vas, da gazite po mom trijemu?
13 Msilete tena sadaka zisizo na maana; maana zinaniongezea uchafu mmekusanyika katika siku yenu mpya ya mwenzi na sabato—Mimi siwezi vumlia mikusanyio hii ya waovu.
Ne prinosite više žrtve zaludne; na kad gadim se; a o mladinama i subotama i o sazivanju skupštine ne mogu podnositi bezakonja i svetkovine.
14 Ninaichukia sherehe yenu mpya ya mwenzi na sherehe zilizoteuliwa; ni mzigo kwangu; nimechoka kuubeba.
Na mladine vaše i na praznike vaše mrzi duša moja, dosadiše mi, dodija mi podnositi.
15 Hivyo basi mnapotawanya mikono yenu kitkika maombi, sitawangalia hata kama mkiomba sana, sitawasikiliza; mikono yenu imejaa damu.
Zato kad širite ruke svoje, zaklanjam oèi svoje od vas; i kad množite molitve, ne slušam; ruke su vaše pune krvi.
16 Jiosheni, jitakaseni wenyewe; ondoeni matendo maovu mbele ya macho yangu; acheni kutenda dhambi;
Umijte se, oèistite se, uklonite zloæu djela svojih ispred oèiju mojih, prestanite zlo èiniti.
17 jifunze kutenda mema; tafuta ukweli; msiwanyanyase, wapeni haki yatima, walindeni wajane.''
Uèite se dobro èiniti, tražite pravdu, ispravljajte potlaèenoga, dajite pravicu siroti, branite udovicu.
18 Njooni sasa, njooni tusemezane, asema Yahwe, japokuwa dhambi zenu ni nyekundu kama bendera zitakuwa nyeupe kama theluji; japokuwa ni myekundu kama damu zitakuwa kama sufi.
Tada doðite, veli Gospod, pa æemo se suditi: ako grijesi vaši budu kao skerlet, postaæe bijeli kao snijeg; ako budu crveni kao crvac, postaæe kao vuna.
19 Kama utakubali na kutii, utakula mema ya nchi,
Ako hoæete slušati, dobra zemaljska ješæete.
20 lakini ukikataa na kugeuka, upanga utakuangamiza, maama Yahwe amesema.
Ako li neæete, nego budete nepokorni, maè æe vas pojesti, jer usta Gospodnja rekoše.
21 Ni kwa jinsi gani mji ulioaminika umekuwa kahaba! ulikuwa ni mij wenye usawa na haki, lakini sasa mji umejaa mauwaji.
Kako posta kurva vjerni grad? Pun bijaše pravice, pravda nastavaše u njemu, a sada krvnici.
22 Fedha zenu zimechafuka, na mvinyo wenu umechanganjwa na maji.
Srebro tvoje posta troska, vino tvoje pomiješa se s vodom.
23 Viongozi wenu wamemgeuka Mungu wamekuwa marafiki wa wezi; yeyote anayopenda rushwa na kuikimbilia. Hawawajali yatima, wala wajane wanaokuja kuwanyenyekea mbele yao.
Knezovi su tvoji odmetnici i drugovi lupežima; svaki miluje mito i ide za darovima; siroti ne daju pravice, i parnica udovièka ne dolazi pred njih.
24 Hivyo basi hili ndilo tamko la Bwana, Yahwe wa majeshi, Shujaa wa Israeli: Ole wao! nitachukua hatua kwa wale walio kinyume na mimi na niwaadhibu wale wanaonipinga;
Zato govori Gospod, Gospod nad vojskama, silni Izrailjev: aha! izdovoljiæu se na protivnicima svojim, i osvetiæu se neprijateljima svojim.
25 Nitaugeuza mkono wangu juu yako, nitatakasa chuma kilicho chakaa na kuondoa kutu yote.
I okrenuæu ruku svoju na te, i sažeæi æu troske tvoje da te preèistim, i ukloniæu sve olovo tvoje.
26 Nitailinda hukumu yako kama ilivyokuwa mwanzo, na washauri wako kama ilivyokuwa hapo mwanzo; baada ya hapo mtaitwa mji wa haki, mji wa imani.''
I postaviæu ti opet sudije kao prije, i savjetnike kao ispoèetka; tada æeš se zvati grad pravedni, grad vjerni.
27 Sayuni itakombolewa kwa haki, na wanaotubu kwa haki.
Sion æe se otkupiti sudom, i pravdom oni koji se u nj vrate.
28 Waasi na wenye dhambi wataangamizwa pamoja, na wale wataenda kinyume na Yahwe watauliwa.
A odmetnici i grješnici svi æe se satrti, i koji ostavljaju Gospoda, izginuæe.
29 Kwakukuwa utaona aibu juu ya miti ya mialoni uliyoitamani, na utakuwa na hofu juu ya bustani uliyoichagua.
Jer æete se posramiti od gajeva koje željeste, i zastidjeti se od vrtova koje izabraste.
30 Kwa kukuwa utakuwa kama mualoni ambao majani yake yamenyauka, na kama bustani isiyokuwa na maji.
Jer æete biti kao hrast kojemu opada lišæe i kao vrt u kom nema vode.
31 Mtu mwenye nguvu atakuwa kama kitu kikavu, na kazi yake itakuwa kama cheche; zitawaka moto kwa pamoja, na hakuna hata mmoja ataweza kuuzima''.
I biæe junak kao kuèine i djelo njegovo kao iskra, i oboje æe se zapaliti, i neæe biti nikoga da ugasi.

< Isaya 1 >