< Isaya 1 >

1 Maono ya Isaya mtoto wa Amozi ambayo aliyaona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika vipindi vya utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda.
Vision d'Isaïe, fils d'Amos, qu'il eut sur la Judée et Jérusalem, sous le règne d'Ozias et de Joatham, d'Achaz et d'Ézéchias, qui furent rois de la Judée.
2 Sikia enyi mbingu, tega sikio ewe nchi; kwa kuwa Yahwe amesema: ''Nimewatunza na kuwalea watoto, lakini wamenigeuka.
Écoute, ciel; prête l'oreille, terre, parce que le Seigneur a parlé, disant: J'ai engendré des fils, et je les ai élevés en gloire; mais eux, ils m'ont méprisé.
3 Ng'ombe anamjua anayemmiliki na punda anajua sehemu anapowekewa chakula, lakini Israeli hawajui, wala hawafahamu.''
Le bœuf connaît son possesseur, et l'âne, la crèche de son maître; pour Israël, il m'a méconnu, et son peuple ne m'a pas compris.
4 Ole! Taifa, wenye zambi, mtu muovu, watoto wa wenye zambi, watoto wanaoenda kinyume, Wamemtelekeza Yahwe, wamedharau aliye Mtakatifu wa Israeli, wamejitenga wenyew kutoka kwake.
Malheur à toi, peuple pécheur, nation pleine de péchés, race de méchants, fils pervertis! vous avez abandonné le Seigneur, et irrité le Saint d'Israël.
5 Kwa nini ulikuwa unaendelea kupigwa? Kwa nini unazidi kuasi zaudi na zaidi? Kichwa chote kinauma, moyo wote ni dhaifu.
A quoi bon vous frapper encore, en ajoutant à votre iniquité? Toute tête est en souffrance, et tout cœur en tristesse.
6 Kutoka kwenye unyayo wa mguu mpaka kichwani kila sehemu ina maumivu; ni madonda na majeraha mabichi yaliyoachwa wazi, ambayo hayajafungwa, kuasifishwa, kuwafunga vidonda vyao, wala kuwaponya kwa mafuta.
Des pieds à la tête, rien n'est sain en lui, rien qui ne soit contusion, meurtrissure, plaie enflammée; point d'émollients à y appliquer, point d'huile, point de ligature.
7 Nchi yenu imeharibiwa; miji yenu imechomwa moto; mashamba yenu— mbele, wageni wamehiaribu; wamepatelekeza katika uharibifu, ulioangushwa na wageni
Votre terre est déserte, vos villes consumées par le feu; votre contrée, des étrangers la dévorent sous vos yeux; elle est désolée et bouleversée par des nations étrangères.
8 Binti Sayuni ameacha kama kibanda katika shamba la mzabu, kama kivuli kitika shamba la matango, kama mji unaomba.
La fille de Sion sera délaissée comme une tente dans une vigne, comme la cabane d'un garde dans un champ de concombres, comme une ville prise d'assaut.
9 Kama Yahwe wa majeshi hakutuasha kwa mda mfupi tungekuwa kama Sodoma, tungekuwa kama Gomora.
Et si le Seigneur des armées ne nous eût laissé une semence, nous serions comme Sodome, nous ressemblerions à Gomorrhe.
10 Sikiliza neno la Yahwe, enyi viongozi wa Sodomu; sikilizeni sheria ya Mungu wetu, enyi watu wa Gomora:
Ecoutez la parole du Seigneur, princes de Sodome; soyez attentifs à la loi de Dieu, peuple de Gomorrhe.
11 ''Sadaka zenu ni nyingi kiasi gani kwangu?'' asema Yahwe. ''Nimesikia vya kutosha kuhusu sadaka yenu ya mwana kondoo, na mnyama alionona; na damu ya ng'ombe, ndama, au mbuzi si vifurahii.
Qu'ai-je besoin de la multitude de vos victimes? Je suis rassasié des holocaustes de béliers; la graisse des agneaux, le sang des taureaux et des boucs, je n'en veux plus.
12 Ulipokuja kuonekaa mbele yangu, Ni nani aliyehitaji hili juu yako, kukanyaga katika mahama yangu
Ne venez plus vous montrer à moi; car qui vous a demandé ces offrandes de vos mains? Ne continuez plus de fouler mon parvis.
13 Msilete tena sadaka zisizo na maana; maana zinaniongezea uchafu mmekusanyika katika siku yenu mpya ya mwenzi na sabato—Mimi siwezi vumlia mikusanyio hii ya waovu.
Quand vous m'apportez de la fleur de farine, ou un encens inutile, c'est pour moi une abomination. Vos nouvelles lunes, vos sabbats, votre grand jour, je ne puis les souffrir; votre jeûne, votre repos,
14 Ninaichukia sherehe yenu mpya ya mwenzi na sherehe zilizoteuliwa; ni mzigo kwangu; nimechoka kuubeba.
Vos nouvelles lunes, vos fêtes, mon âme les déteste. Je vous ai en dégoût, je ne vous remettrai plus vos péchés.
15 Hivyo basi mnapotawanya mikono yenu kitkika maombi, sitawangalia hata kama mkiomba sana, sitawasikiliza; mikono yenu imejaa damu.
Si vous étendez la main, je détournerai de vous mes yeux; et si vous multipliez vos prières, je ne vous écouterai pas; car vos mains sont pleines de sang.
16 Jiosheni, jitakaseni wenyewe; ondoeni matendo maovu mbele ya macho yangu; acheni kutenda dhambi;
Lavez-vous, soyez purs; ôtez de devant mes yeux la malice de vos âmes; mettez fin à vos méfaits.
17 jifunze kutenda mema; tafuta ukweli; msiwanyanyase, wapeni haki yatima, walindeni wajane.''
Apprenez à faire le bien, cherchez la justice, protègez l'opprimé; jugez équitablement l'orphelin, rendez justice à la veuve.
18 Njooni sasa, njooni tusemezane, asema Yahwe, japokuwa dhambi zenu ni nyekundu kama bendera zitakuwa nyeupe kama theluji; japokuwa ni myekundu kama damu zitakuwa kama sufi.
Et puis venez m'accuser, dit le Seigneur. Et quand même vos péchés seraient comme la pourpre, je les rendrai blancs comme la neige; et quand ils seraient comme de l'écarlate, je les rendrai blancs comme une toison.
19 Kama utakubali na kutii, utakula mema ya nchi,
Et si vous êtes de bonne volonté, si vous m'écoutez, vous mangerez les biens de la terre.
20 lakini ukikataa na kugeuka, upanga utakuangamiza, maama Yahwe amesema.
Mais si vous n'êtes point de bonne volonté, si vous ne m'écoutez point, le glaive vous dévorera; car voici ce qu'a dit la bouche du Seigneur:
21 Ni kwa jinsi gani mji ulioaminika umekuwa kahaba! ulikuwa ni mij wenye usawa na haki, lakini sasa mji umejaa mauwaji.
Comment est devenue prostituée Sion, la cité fidèle, jadis pleine de justice? L'équité reposait en elle, et maintenant ce sont des meurtriers.
22 Fedha zenu zimechafuka, na mvinyo wenu umechanganjwa na maji.
Votre argent n'est pas de bon aloi; vos cabaretiers mêlent de l'eau à leur vin.
23 Viongozi wenu wamemgeuka Mungu wamekuwa marafiki wa wezi; yeyote anayopenda rushwa na kuikimbilia. Hawawajali yatima, wala wajane wanaokuja kuwanyenyekea mbele yao.
Vos princes sont incrédules, associés aux voleurs, amis des présents, gagnés par les salaires, sans justice pour les orphelins, sans égard pour la cause des veuves.
24 Hivyo basi hili ndilo tamko la Bwana, Yahwe wa majeshi, Shujaa wa Israeli: Ole wao! nitachukua hatua kwa wale walio kinyume na mimi na niwaadhibu wale wanaonipinga;
C'est pourquoi voici ce que dit le Seigneur, maître des armées: Malheur aux puissants d'Israël! car ma fureur contre mes adversaires ne s'apaisera point, et je tirerai vengeance de mes ennemis.
25 Nitaugeuza mkono wangu juu yako, nitatakasa chuma kilicho chakaa na kuondoa kutu yote.
Et je ferai tomber ma main sur toi, et je te purifierai par le feu; et j'exterminerai les incrédules, et j'enlèverai tous les prévaricateurs loin de toi.
26 Nitailinda hukumu yako kama ilivyokuwa mwanzo, na washauri wako kama ilivyokuwa hapo mwanzo; baada ya hapo mtaitwa mji wa haki, mji wa imani.''
Et je rétablirai tes juges comme autrefois, et tes conseillers comme dès le commencement. Et après cela tu seras appelée Ville de justice, métropole fidèle, Sion.
27 Sayuni itakombolewa kwa haki, na wanaotubu kwa haki.
Car ses captifs seront délivrés par le jugement et par la miséricorde.
28 Waasi na wenye dhambi wataangamizwa pamoja, na wale wataenda kinyume na Yahwe watauliwa.
Et les méchants seront écrasés, et avec eux les pécheurs; et ceux qui auront abandonné le Seigneur périront avec eux.
29 Kwakukuwa utaona aibu juu ya miti ya mialoni uliyoitamani, na utakuwa na hofu juu ya bustani uliyoichagua.
C'est pourquoi ils seront confondus par les idoles mêmes qu'ils avaient voulues, et ils rougiront des jardins qu'ils avaient convoités.
30 Kwa kukuwa utakuwa kama mualoni ambao majani yake yamenyauka, na kama bustani isiyokuwa na maji.
Car ils seront comme un térébinthe dépouillé de ses feuilles, et comme un jardin sans eau.
31 Mtu mwenye nguvu atakuwa kama kitu kikavu, na kazi yake itakuwa kama cheche; zitawaka moto kwa pamoja, na hakuna hata mmoja ataweza kuuzima''.
Et leur force sera comme le chaume du concombre, et leurs œuvres comme des étincelles, et les méchants seront consumés, et avec eux le pécheur; et nul ne sera là pour éteindre la flamme.

< Isaya 1 >