< Isaya 1 >

1 Maono ya Isaya mtoto wa Amozi ambayo aliyaona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika vipindi vya utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda.
vision Isaiah son: child Amoz which to see upon Judah and Jerusalem in/on/with day Uzziah Jotham Ahaz Hezekiah king Judah
2 Sikia enyi mbingu, tega sikio ewe nchi; kwa kuwa Yahwe amesema: ''Nimewatunza na kuwalea watoto, lakini wamenigeuka.
to hear: hear heaven and to listen land: country/planet for LORD to speak: speak son: child to magnify and to exalt and they(masc.) to transgress in/on/with me
3 Ng'ombe anamjua anayemmiliki na punda anajua sehemu anapowekewa chakula, lakini Israeli hawajui, wala hawafahamu.''
to know cattle to buy him and donkey crib master his Israel not to know people my not to understand
4 Ole! Taifa, wenye zambi, mtu muovu, watoto wa wenye zambi, watoto wanaoenda kinyume, Wamemtelekeza Yahwe, wamedharau aliye Mtakatifu wa Israeli, wamejitenga wenyew kutoka kwake.
woe! nation to sin people heavy iniquity: crime seed: children be evil son: child to ruin to leave: forsake [obj] LORD to spurn [obj] holy Israel be a stranger back
5 Kwa nini ulikuwa unaendelea kupigwa? Kwa nini unazidi kuasi zaudi na zaidi? Kichwa chote kinauma, moyo wote ni dhaifu.
upon what? to smite still to add: again revolt all head to/for sickness and all heart faint
6 Kutoka kwenye unyayo wa mguu mpaka kichwani kila sehemu ina maumivu; ni madonda na majeraha mabichi yaliyoachwa wazi, ambayo hayajafungwa, kuasifishwa, kuwafunga vidonda vyao, wala kuwaponya kwa mafuta.
from palm: sole foot and till head nothing in/on/with him soundness wound and wound and wound fresh not to crush and not to saddle/tie and not be tender in/on/with oil
7 Nchi yenu imeharibiwa; miji yenu imechomwa moto; mashamba yenu— mbele, wageni wamehiaribu; wamepatelekeza katika uharibifu, ulioangushwa na wageni
land: country/planet your devastation city your to burn fire land: soil your to/for before you be a stranger to eat [obj] her and devastation like/as overthrow be a stranger
8 Binti Sayuni ameacha kama kibanda katika shamba la mzabu, kama kivuli kitika shamba la matango, kama mji unaomba.
and to remain daughter Zion like/as booth in/on/with vineyard like/as lodge in/on/with cucumber field like/as city to watch
9 Kama Yahwe wa majeshi hakutuasha kwa mda mfupi tungekuwa kama Sodoma, tungekuwa kama Gomora.
unless LORD Hosts to remain to/for us survivor like/as little like/as Sodom to be to/for Gomorrah to resemble
10 Sikiliza neno la Yahwe, enyi viongozi wa Sodomu; sikilizeni sheria ya Mungu wetu, enyi watu wa Gomora:
to hear: hear word LORD chief Sodom to listen instruction God our people Gomorrah
11 ''Sadaka zenu ni nyingi kiasi gani kwangu?'' asema Yahwe. ''Nimesikia vya kutosha kuhusu sadaka yenu ya mwana kondoo, na mnyama alionona; na damu ya ng'ombe, ndama, au mbuzi si vifurahii.
to/for what? to/for me abundance sacrifice your to say LORD to satisfy burnt offering ram and fat fatling and blood bullock and lamb and goat not to delight in
12 Ulipokuja kuonekaa mbele yangu, Ni nani aliyehitaji hili juu yako, kukanyaga katika mahama yangu
for to come (in): come to/for to see: see face: before my who? to seek this from hand: themselves your to trample court my
13 Msilete tena sadaka zisizo na maana; maana zinaniongezea uchafu mmekusanyika katika siku yenu mpya ya mwenzi na sabato—Mimi siwezi vumlia mikusanyio hii ya waovu.
not to add: again to come (in): bring offering vanity: vain incense abomination he/she/it to/for me month: new moon and Sabbath to call: call to assembly not be able evil: wickedness and assembly
14 Ninaichukia sherehe yenu mpya ya mwenzi na sherehe zilizoteuliwa; ni mzigo kwangu; nimechoka kuubeba.
month: new moon your and meeting: festival your to hate soul my to be upon me to/for burden be weary to lift: bear
15 Hivyo basi mnapotawanya mikono yenu kitkika maombi, sitawangalia hata kama mkiomba sana, sitawasikiliza; mikono yenu imejaa damu.
and in/on/with to spread you palm your to conceal eye my from you also for to multiply prayer nothing I to hear: hear hand your blood to fill
16 Jiosheni, jitakaseni wenyewe; ondoeni matendo maovu mbele ya macho yangu; acheni kutenda dhambi;
to wash: wash to clean to turn aside: remove evil deed your from before eye my to cease be evil
17 jifunze kutenda mema; tafuta ukweli; msiwanyanyase, wapeni haki yatima, walindeni wajane.''
to learn: learn be good to seek justice to bless oppression to judge orphan to contend widow
18 Njooni sasa, njooni tusemezane, asema Yahwe, japokuwa dhambi zenu ni nyekundu kama bendera zitakuwa nyeupe kama theluji; japokuwa ni myekundu kama damu zitakuwa kama sufi.
to go: come! please and to rebuke to say LORD if to be sin your like/as scarlet like/as snow to whiten if to redden like/as worm like/as wool to be
19 Kama utakubali na kutii, utakula mema ya nchi,
if be willing and to hear: obey goodness [the] land: country/planet to eat
20 lakini ukikataa na kugeuka, upanga utakuangamiza, maama Yahwe amesema.
and if to refuse and to rebel sword to eat for lip LORD to speak: speak
21 Ni kwa jinsi gani mji ulioaminika umekuwa kahaba! ulikuwa ni mij wenye usawa na haki, lakini sasa mji umejaa mauwaji.
how? to be to/for to fornicate town be faithful full justice righteousness to lodge in/on/with her and now to murder
22 Fedha zenu zimechafuka, na mvinyo wenu umechanganjwa na maji.
silver: money your to be to/for dross liquor your to weaken in/on/with water
23 Viongozi wenu wamemgeuka Mungu wamekuwa marafiki wa wezi; yeyote anayopenda rushwa na kuikimbilia. Hawawajali yatima, wala wajane wanaokuja kuwanyenyekea mbele yao.
ruler your to rebel and companion thief all his to love: lover bribe and to pursue reward orphan not to judge and strife widow not to come (in): come to(wards) them
24 Hivyo basi hili ndilo tamko la Bwana, Yahwe wa majeshi, Shujaa wa Israeli: Ole wao! nitachukua hatua kwa wale walio kinyume na mimi na niwaadhibu wale wanaonipinga;
to/for so utterance [the] lord LORD Hosts mighty Israel woe! to be sorry: comfort from enemy my and to avenge from enemy my
25 Nitaugeuza mkono wangu juu yako, nitatakasa chuma kilicho chakaa na kuondoa kutu yote.
and to return: return hand my upon you and to refine like/as lye dross your and to turn aside: remove all tin your
26 Nitailinda hukumu yako kama ilivyokuwa mwanzo, na washauri wako kama ilivyokuwa hapo mwanzo; baada ya hapo mtaitwa mji wa haki, mji wa imani.''
and to return: rescue to judge you like/as in/on/with first and to advise you like/as in/on/with beginning after so to call: call by to/for you city [the] righteousness town be faithful
27 Sayuni itakombolewa kwa haki, na wanaotubu kwa haki.
Zion in/on/with justice to ransom and to return: repent her in/on/with righteousness
28 Waasi na wenye dhambi wataangamizwa pamoja, na wale wataenda kinyume na Yahwe watauliwa.
and breaking to transgress and sinner together and to leave: forsake LORD to end: destroy
29 Kwakukuwa utaona aibu juu ya miti ya mialoni uliyoitamani, na utakuwa na hofu juu ya bustani uliyoichagua.
for be ashamed from terebinth which to desire and be ashamed from [the] garden which to choose
30 Kwa kukuwa utakuwa kama mualoni ambao majani yake yamenyauka, na kama bustani isiyokuwa na maji.
for to be like/as oak to wither leaf her and like/as garden which water nothing to/for her
31 Mtu mwenye nguvu atakuwa kama kitu kikavu, na kazi yake itakuwa kama cheche; zitawaka moto kwa pamoja, na hakuna hata mmoja ataweza kuuzima''.
and to be [the] strong to/for tow and work his to/for spark and to burn: burn two their together and nothing to quench

< Isaya 1 >