< Isaya 1 >

1 Maono ya Isaya mtoto wa Amozi ambayo aliyaona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika vipindi vya utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda.
[the] vision of Isaiah [the] son of Amoz which he saw on Judah and Jerusalem in [the] days of Uzziah Jotham Ahaz Hezekiah [the] kings of Judah.
2 Sikia enyi mbingu, tega sikio ewe nchi; kwa kuwa Yahwe amesema: ''Nimewatunza na kuwalea watoto, lakini wamenigeuka.
Hear O heavens and give ear O earth for Yahweh he has spoken children I have brought up and I have raised and they they have rebelled against me.
3 Ng'ombe anamjua anayemmiliki na punda anajua sehemu anapowekewa chakula, lakini Israeli hawajui, wala hawafahamu.''
It knows an ox owner its and a donkey [the] feeding trough of owner its Israel not it knows people my not it considers carefully.
4 Ole! Taifa, wenye zambi, mtu muovu, watoto wa wenye zambi, watoto wanaoenda kinyume, Wamemtelekeza Yahwe, wamedharau aliye Mtakatifu wa Israeli, wamejitenga wenyew kutoka kwake.
Woe to! - a nation [which] sins a people heavy of iniquity of spring [who] do evil children [who] behave corruptly they have forsaken Yahweh they have spurned [the] holy [one] of Israel they have become estranged back part.
5 Kwa nini ulikuwa unaendelea kupigwa? Kwa nini unazidi kuasi zaudi na zaidi? Kichwa chote kinauma, moyo wote ni dhaifu.
Concerning what? will you be struck again will you increase? rebellion all [the] head [is] for sickness and all [the] heart [is] faint.
6 Kutoka kwenye unyayo wa mguu mpaka kichwani kila sehemu ina maumivu; ni madonda na majeraha mabichi yaliyoachwa wazi, ambayo hayajafungwa, kuasifishwa, kuwafunga vidonda vyao, wala kuwaponya kwa mafuta.
From [the] sole of [the] foot and to [the] head there not in it [is] soundness bruise[s] and welt[s] and wound[s] fresh not they have been pressed out and not they have been bound up and not it has been softened with oil.
7 Nchi yenu imeharibiwa; miji yenu imechomwa moto; mashamba yenu— mbele, wageni wamehiaribu; wamepatelekeza katika uharibifu, ulioangushwa na wageni
Land your [is] a desolation cities your [have been] burned fire ground your to before you strangers [are] devouring it and desolation [is] like [the] overthrow of strangers.
8 Binti Sayuni ameacha kama kibanda katika shamba la mzabu, kama kivuli kitika shamba la matango, kama mji unaomba.
And she has been left [the] daughter of Zion like a shelter in a vineyard like a watchman's hut in a cucumber field like a city besieged.
9 Kama Yahwe wa majeshi hakutuasha kwa mda mfupi tungekuwa kama Sodoma, tungekuwa kama Gomora.
If not Yahweh of hosts he had left to us survivor[s] like a little like Sodom we were Gomorrah we were like.
10 Sikiliza neno la Yahwe, enyi viongozi wa Sodomu; sikilizeni sheria ya Mungu wetu, enyi watu wa Gomora:
Hear [the] word of Yahweh O rulers of Sodom give ear to [the] instruction of God our O people of Gomorrah.
11 ''Sadaka zenu ni nyingi kiasi gani kwangu?'' asema Yahwe. ''Nimesikia vya kutosha kuhusu sadaka yenu ya mwana kondoo, na mnyama alionona; na damu ya ng'ombe, ndama, au mbuzi si vifurahii.
Why? to me [the] multitude of sacrifices your he says Yahweh I have been surfeited burnt offerings of rams and [the] fat of fatlings and [the] blood of bulls and lambs and goats not I am pleased.
12 Ulipokuja kuonekaa mbele yangu, Ni nani aliyehitaji hili juu yako, kukanyaga katika mahama yangu
If you come to present yourselves presence my who? did he require this from hand your to trample courts my.
13 Msilete tena sadaka zisizo na maana; maana zinaniongezea uchafu mmekusanyika katika siku yenu mpya ya mwenzi na sabato—Mimi siwezi vumlia mikusanyio hii ya waovu.
Not you must repeat to bring an offering of worthlessness incense [is] an abomination it to me new moon and sabbath [the] calling of convocation[s] not I am able to endure wickedness and solemn assembli[es].
14 Ninaichukia sherehe yenu mpya ya mwenzi na sherehe zilizoteuliwa; ni mzigo kwangu; nimechoka kuubeba.
New moons your and appointed feasts your it hates self my they have become on me a burden I am weary to bear [them].
15 Hivyo basi mnapotawanya mikono yenu kitkika maombi, sitawangalia hata kama mkiomba sana, sitawasikiliza; mikono yenu imejaa damu.
And when spread out you hands your I will hide eyes my from you also for you will multiply prayer not I [will be] hearing hands your blood they are full.
16 Jiosheni, jitakaseni wenyewe; ondoeni matendo maovu mbele ya macho yangu; acheni kutenda dhambi;
Wash cleanse yourselves remove [the] wickedness of deeds your from before eyes my cease to do evil.
17 jifunze kutenda mema; tafuta ukweli; msiwanyanyase, wapeni haki yatima, walindeni wajane.''
learn To do good seek justice set right [the] oppressor vindicate [the] fatherless conduct a case for [the] widow.
18 Njooni sasa, njooni tusemezane, asema Yahwe, japokuwa dhambi zenu ni nyekundu kama bendera zitakuwa nyeupe kama theluji; japokuwa ni myekundu kama damu zitakuwa kama sufi.
Come please so let us argue our case together he says Yahweh though they are sins your like scarlet like snow they will become white though they are red like crimson like wool they will be.
19 Kama utakubali na kutii, utakula mema ya nchi,
If you will be willing and you will obey [the] good thing[s] of the land you will eat.
20 lakini ukikataa na kugeuka, upanga utakuangamiza, maama Yahwe amesema.
And if you will refuse and you will rebel [the] sword you will be eaten for [the] mouth of Yahweh it has spoken.
21 Ni kwa jinsi gani mji ulioaminika umekuwa kahaba! ulikuwa ni mij wenye usawa na haki, lakini sasa mji umejaa mauwaji.
How! it has become a prostitute a town faithful full of justice righteousness it lodged in it and now murderers.
22 Fedha zenu zimechafuka, na mvinyo wenu umechanganjwa na maji.
Silver your it has become dross drink your [has been] mixed with water.
23 Viongozi wenu wamemgeuka Mungu wamekuwa marafiki wa wezi; yeyote anayopenda rushwa na kuikimbilia. Hawawajali yatima, wala wajane wanaokuja kuwanyenyekea mbele yao.
Leaders your [are] rebels and companions of thieves all of it [is] loving a bribe and [is] pursuing rewards [the] fatherless not they vindicate and [the] lawsuit of a widow not it comes to them.
24 Hivyo basi hili ndilo tamko la Bwana, Yahwe wa majeshi, Shujaa wa Israeli: Ole wao! nitachukua hatua kwa wale walio kinyume na mimi na niwaadhibu wale wanaonipinga;
Therefore [the] utterance of the lord Yahweh of hosts [the] mighty one of Israel woe! I will ease myself from foes my and I will avenge myself from enemies my.
25 Nitaugeuza mkono wangu juu yako, nitatakasa chuma kilicho chakaa na kuondoa kutu yote.
And I will turn hand my on you so I may refine like potash dross your and I will remove all slag your.
26 Nitailinda hukumu yako kama ilivyokuwa mwanzo, na washauri wako kama ilivyokuwa hapo mwanzo; baada ya hapo mtaitwa mji wa haki, mji wa imani.''
And I will restore judges your as at the former [time] and counselors your as at the beginning after thus it will be called to you [the] city of righteousness a town faithful.
27 Sayuni itakombolewa kwa haki, na wanaotubu kwa haki.
Zion with justice it will be redeemed and repentant [ones] its with righteousness.
28 Waasi na wenye dhambi wataangamizwa pamoja, na wale wataenda kinyume na Yahwe watauliwa.
And a crushing of rebels and sinners together and [those who] forsake Yahweh they will come to an end.
29 Kwakukuwa utaona aibu juu ya miti ya mialoni uliyoitamani, na utakuwa na hofu juu ya bustani uliyoichagua.
For they will be ashamed from [the] oaks which you have desired and you may be abashed from the gardens which you have chosen.
30 Kwa kukuwa utakuwa kama mualoni ambao majani yake yamenyauka, na kama bustani isiyokuwa na maji.
For you will be like an oak [which is] withering leafage its and like a garden which water not [belongs] to it.
31 Mtu mwenye nguvu atakuwa kama kitu kikavu, na kazi yake itakuwa kama cheche; zitawaka moto kwa pamoja, na hakuna hata mmoja ataweza kuuzima''.
And he will become the strong [person] tow and work his a spark and they will burn both of them together and there not [will be one who] extinguishes.

< Isaya 1 >