< Isaya 1 >

1 Maono ya Isaya mtoto wa Amozi ambayo aliyaona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika vipindi vya utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda.
The visions of Isaiah son of Amoz, that he has seen concerning Judah and Jerusalem, in the days of Uzziah, Jotham, Ahaz, Hezekiah, kings of Judah.
2 Sikia enyi mbingu, tega sikio ewe nchi; kwa kuwa Yahwe amesema: ''Nimewatunza na kuwalea watoto, lakini wamenigeuka.
Hear, O heavens, and give ear, O earth, For YHWH has spoken: “I have nourished and brought up sons, And they transgressed against Me.
3 Ng'ombe anamjua anayemmiliki na punda anajua sehemu anapowekewa chakula, lakini Israeli hawajui, wala hawafahamu.''
An ox has known its owner, And a donkey the crib of its master, Israel has not known, My people have not understood.”
4 Ole! Taifa, wenye zambi, mtu muovu, watoto wa wenye zambi, watoto wanaoenda kinyume, Wamemtelekeza Yahwe, wamedharau aliye Mtakatifu wa Israeli, wamejitenga wenyew kutoka kwake.
Oh, sinning nation, a people heavy [with] iniquity, A seed of evildoers, sons—corrupters! They have forsaken YHWH, They have despised the Holy One of Israel, They have gone away backward.
5 Kwa nini ulikuwa unaendelea kupigwa? Kwa nini unazidi kuasi zaudi na zaidi? Kichwa chote kinauma, moyo wote ni dhaifu.
Why are you struck anymore? You add apostasy! Every head has become diseased, and every heart [is] sick.
6 Kutoka kwenye unyayo wa mguu mpaka kichwani kila sehemu ina maumivu; ni madonda na majeraha mabichi yaliyoachwa wazi, ambayo hayajafungwa, kuasifishwa, kuwafunga vidonda vyao, wala kuwaponya kwa mafuta.
From the sole of the foot—to the head, There is no soundness in it, Wound, and bruise, and fresh striking! They have not been closed nor bound, Nor have they softened with ointment.
7 Nchi yenu imeharibiwa; miji yenu imechomwa moto; mashamba yenu— mbele, wageni wamehiaribu; wamepatelekeza katika uharibifu, ulioangushwa na wageni
Your land [is] a desolation, your cities burned with fire, Your ground—strangers are consuming it before you, And a desolation as overthrown by strangers!
8 Binti Sayuni ameacha kama kibanda katika shamba la mzabu, kama kivuli kitika shamba la matango, kama mji unaomba.
And the daughter of Zion has been left, As a shelter in a vineyard, As a lodge in a place of cucumbers—as a city besieged.
9 Kama Yahwe wa majeshi hakutuasha kwa mda mfupi tungekuwa kama Sodoma, tungekuwa kama Gomora.
Unless YHWH of Hosts had left a remnant to us, Shortly—we had been as Sodom, We had been like to Gomorrah!
10 Sikiliza neno la Yahwe, enyi viongozi wa Sodomu; sikilizeni sheria ya Mungu wetu, enyi watu wa Gomora:
Hear the word of YHWH, you rulers of Sodom, Give ear to the Law of our God, you people of Gomorrah,
11 ''Sadaka zenu ni nyingi kiasi gani kwangu?'' asema Yahwe. ''Nimesikia vya kutosha kuhusu sadaka yenu ya mwana kondoo, na mnyama alionona; na damu ya ng'ombe, ndama, au mbuzi si vifurahii.
“Why the abundance of your sacrifices to Me?” says YHWH, “I have been satiated [with] burnt-offerings of rams, And fat of fatlings; And blood of bullocks, and lambs, And I have not desired male goats.
12 Ulipokuja kuonekaa mbele yangu, Ni nani aliyehitaji hili juu yako, kukanyaga katika mahama yangu
When you come to appear before Me, Who has required this of your hand, To trample My courts?
13 Msilete tena sadaka zisizo na maana; maana zinaniongezea uchafu mmekusanyika katika siku yenu mpya ya mwenzi na sabato—Mimi siwezi vumlia mikusanyio hii ya waovu.
Do not add to bring in a vain present, Incense—it [is] an abomination to Me, New moon, and Sabbath, calling of convocation! Do not render iniquity—and a restraint!
14 Ninaichukia sherehe yenu mpya ya mwenzi na sherehe zilizoteuliwa; ni mzigo kwangu; nimechoka kuubeba.
My soul has hated your new moons and your set seasons, They have been on Me for a burden, I have been weary of bearing.
15 Hivyo basi mnapotawanya mikono yenu kitkika maombi, sitawangalia hata kama mkiomba sana, sitawasikiliza; mikono yenu imejaa damu.
And in your spreading forth your hands, I hide My eyes from you, Also when you increase prayer, I do not hear, Your hands have been full of blood.
16 Jiosheni, jitakaseni wenyewe; ondoeni matendo maovu mbele ya macho yangu; acheni kutenda dhambi;
Wash yourselves, make yourselves pure, Turn aside the evil of your doings, from before My eyes, Cease to do evil, learn to do good.
17 jifunze kutenda mema; tafuta ukweli; msiwanyanyase, wapeni haki yatima, walindeni wajane.''
Seek judgment, make the oppressed blessed, Judge the fatherless, strive [for] the widow.
18 Njooni sasa, njooni tusemezane, asema Yahwe, japokuwa dhambi zenu ni nyekundu kama bendera zitakuwa nyeupe kama theluji; japokuwa ni myekundu kama damu zitakuwa kama sufi.
Now come, and we settle this,” says YHWH, “If your sins are as scarlet, they will be white as snow, If they are red as crimson, they will be as wool!
19 Kama utakubali na kutii, utakula mema ya nchi,
If you are willing, and have listened, The good of the land you consume,
20 lakini ukikataa na kugeuka, upanga utakuangamiza, maama Yahwe amesema.
And if you refuse, and have rebelled, You are consumed [by] the sword,” For the mouth of YHWH has spoken.
21 Ni kwa jinsi gani mji ulioaminika umekuwa kahaba! ulikuwa ni mij wenye usawa na haki, lakini sasa mji umejaa mauwaji.
How has a faithful city become a harlot? I have filled it [with] judgment, Righteousness lodges in it—now murderers.
22 Fedha zenu zimechafuka, na mvinyo wenu umechanganjwa na maji.
Your silver has become dross, Your drink defiled with water.
23 Viongozi wenu wamemgeuka Mungu wamekuwa marafiki wa wezi; yeyote anayopenda rushwa na kuikimbilia. Hawawajali yatima, wala wajane wanaokuja kuwanyenyekea mbele yao.
Your princes [are] apostates, and companions of thieves, Everyone loving a bribe, and pursuing rewards, They do not judge the fatherless, And the plea of the widow does not come to them.
24 Hivyo basi hili ndilo tamko la Bwana, Yahwe wa majeshi, Shujaa wa Israeli: Ole wao! nitachukua hatua kwa wale walio kinyume na mimi na niwaadhibu wale wanaonipinga;
Therefore—a declaration of the Lord—YHWH of Hosts, the Mighty One of Israel: “Oh, I relieve Myself from My adversaries, And avenge Myself against My enemies,
25 Nitaugeuza mkono wangu juu yako, nitatakasa chuma kilicho chakaa na kuondoa kutu yote.
And I turn back My hand on you, And I refine your dross as purity, And I turn aside all your tin,
26 Nitailinda hukumu yako kama ilivyokuwa mwanzo, na washauri wako kama ilivyokuwa hapo mwanzo; baada ya hapo mtaitwa mji wa haki, mji wa imani.''
And I give back your judges as at the first, And your counselors as in the beginning, After this you are called, A city of righteousness—a faithful city.”
27 Sayuni itakombolewa kwa haki, na wanaotubu kwa haki.
Zion is redeemed in judgment, And her captivity in righteousness.
28 Waasi na wenye dhambi wataangamizwa pamoja, na wale wataenda kinyume na Yahwe watauliwa.
And the destruction of transgressors and sinners [is] together, And those forsaking YHWH are consumed.
29 Kwakukuwa utaona aibu juu ya miti ya mialoni uliyoitamani, na utakuwa na hofu juu ya bustani uliyoichagua.
For [men] are ashamed because of the oaks That you have desired, And you are confounded because of the gardens That you have chosen.
30 Kwa kukuwa utakuwa kama mualoni ambao majani yake yamenyauka, na kama bustani isiyokuwa na maji.
For you are as an oak whose leaf is fading, And as a garden that has no water.
31 Mtu mwenye nguvu atakuwa kama kitu kikavu, na kazi yake itakuwa kama cheche; zitawaka moto kwa pamoja, na hakuna hata mmoja ataweza kuuzima''.
And the strong has been for tow, And his work for a spark, And both of them have burned together, And there is none quenching!

< Isaya 1 >