< Isaya 1 >

1 Maono ya Isaya mtoto wa Amozi ambayo aliyaona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika vipindi vya utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda.
The vision of Isaiah the son of Amoz, which he saw concerning Judah and Jerusalem in the days of 'Uzziyahu, Jotham, Achaz, and Hezekiah, the kings of Judah.
2 Sikia enyi mbingu, tega sikio ewe nchi; kwa kuwa Yahwe amesema: ''Nimewatunza na kuwalea watoto, lakini wamenigeuka.
Hear, O ye heavens, and give ear, O earth; for the Lord hath spoken: Children have I nourished and brought up, but they have rebelled against me.
3 Ng'ombe anamjua anayemmiliki na punda anajua sehemu anapowekewa chakula, lakini Israeli hawajui, wala hawafahamu.''
The ox knoweth his owner, and the ass his master's crib: Israel doth not know, my people doth not consider.
4 Ole! Taifa, wenye zambi, mtu muovu, watoto wa wenye zambi, watoto wanaoenda kinyume, Wamemtelekeza Yahwe, wamedharau aliye Mtakatifu wa Israeli, wamejitenga wenyew kutoka kwake.
Woe! sinful nation, people laden with iniquity, seed of evil-doers, children that are corrupt: they have forsaken the Lord, they have incensed the Holy One of Israel, they are departed backward.
5 Kwa nini ulikuwa unaendelea kupigwa? Kwa nini unazidi kuasi zaudi na zaidi? Kichwa chote kinauma, moyo wote ni dhaifu.
Why will ye be stricken yet more? [that] ye increase the revolt? every head is sick, and every heart is faint.
6 Kutoka kwenye unyayo wa mguu mpaka kichwani kila sehemu ina maumivu; ni madonda na majeraha mabichi yaliyoachwa wazi, ambayo hayajafungwa, kuasifishwa, kuwafunga vidonda vyao, wala kuwaponya kwa mafuta.
From the sole of the foot even unto the head there is no soundness in it; but wounds, and bruises, and putrefying sores: they have not been closed, nor bound up, nor mollified with oil.
7 Nchi yenu imeharibiwa; miji yenu imechomwa moto; mashamba yenu— mbele, wageni wamehiaribu; wamepatelekeza katika uharibifu, ulioangushwa na wageni
Your country is desolate, your cities are burnt with fire; your soil—in your presence, strangers devour it, and it is desolate, as overthrown by strangers.
8 Binti Sayuni ameacha kama kibanda katika shamba la mzabu, kama kivuli kitika shamba la matango, kama mji unaomba.
And left is the daughter of Zion as a hut in a vineyard, as a lodge in a cucumber field, as a besieged city.
9 Kama Yahwe wa majeshi hakutuasha kwa mda mfupi tungekuwa kama Sodoma, tungekuwa kama Gomora.
Unless the Lord of hosts had left unto us a remnant ever so small, like Sodom should we have been, unto Gomorrah should we have been compared.
10 Sikiliza neno la Yahwe, enyi viongozi wa Sodomu; sikilizeni sheria ya Mungu wetu, enyi watu wa Gomora:
Hear the word of the Lord, ye rulers of Sodom: give ear unto the law of our God, ye people of Gomorrah.
11 ''Sadaka zenu ni nyingi kiasi gani kwangu?'' asema Yahwe. ''Nimesikia vya kutosha kuhusu sadaka yenu ya mwana kondoo, na mnyama alionona; na damu ya ng'ombe, ndama, au mbuzi si vifurahii.
For what serveth me the multitude of your sacrifices? saith the Lord: I am sated with the burnt-offerings of rams, and the fat of fatted beasts; and the blood of bullocks, and of sheep, and of he-goats, I do not desire.
12 Ulipokuja kuonekaa mbele yangu, Ni nani aliyehitaji hili juu yako, kukanyaga katika mahama yangu
When ye come to appear in my presence—who hath required this at your hand, to tread down my courts?
13 Msilete tena sadaka zisizo na maana; maana zinaniongezea uchafu mmekusanyika katika siku yenu mpya ya mwenzi na sabato—Mimi siwezi vumlia mikusanyio hii ya waovu.
Continue no more to bring an oblation of deceit; incense of abomination is it unto me: new moon and sabbath, the calling of assemblies—I cannot bear misdeed with festive gathering.
14 Ninaichukia sherehe yenu mpya ya mwenzi na sherehe zilizoteuliwa; ni mzigo kwangu; nimechoka kuubeba.
Your new moons and your appointed feasts my soul hateth; they are become a burden unto me; I am weary to bear them,
15 Hivyo basi mnapotawanya mikono yenu kitkika maombi, sitawangalia hata kama mkiomba sana, sitawasikiliza; mikono yenu imejaa damu.
And when ye spread forth your hands, I will withdraw my eyes from you; yea, when ye make ever so many prayers, I will not hear: your hands are full of blood.
16 Jiosheni, jitakaseni wenyewe; ondoeni matendo maovu mbele ya macho yangu; acheni kutenda dhambi;
Wash yourselves, make yourselves clean; put away the evil of your deeds from before my eyes; cease to do evil;
17 jifunze kutenda mema; tafuta ukweli; msiwanyanyase, wapeni haki yatima, walindeni wajane.''
Learn to do well; seek for justice, relieve the oppressed, do justice to the fatherless, plead for the widow.
18 Njooni sasa, njooni tusemezane, asema Yahwe, japokuwa dhambi zenu ni nyekundu kama bendera zitakuwa nyeupe kama theluji; japokuwa ni myekundu kama damu zitakuwa kama sufi.
Come now, and let us reason together, saith the Lord: though your sins should be as scarlet, they shall become white as the snow; though they should be red like crimson, they shall become like wool.
19 Kama utakubali na kutii, utakula mema ya nchi,
If ye be willing and obey, the best of the land shall ye eat;
20 lakini ukikataa na kugeuka, upanga utakuangamiza, maama Yahwe amesema.
But if ye refuse and rebel, by the sword shall ye be devoured; for the mouth of the Lord hath spoken it.
21 Ni kwa jinsi gani mji ulioaminika umekuwa kahaba! ulikuwa ni mij wenye usawa na haki, lakini sasa mji umejaa mauwaji.
How is she become a harlot, the faithful town! she, that was full of justice; righteousness lodged therein; but now murderers.
22 Fedha zenu zimechafuka, na mvinyo wenu umechanganjwa na maji.
Thy silver is become dross, thy wine is drugged with water;
23 Viongozi wenu wamemgeuka Mungu wamekuwa marafiki wa wezi; yeyote anayopenda rushwa na kuikimbilia. Hawawajali yatima, wala wajane wanaokuja kuwanyenyekea mbele yao.
Thy princes are rebels, and companions of thieves; every one loveth brides, and runneth after rewards; to the fatherless they will not do justice, and the cause of the widow doth not come unto them.
24 Hivyo basi hili ndilo tamko la Bwana, Yahwe wa majeshi, Shujaa wa Israeli: Ole wao! nitachukua hatua kwa wale walio kinyume na mimi na niwaadhibu wale wanaonipinga;
Therefore saith the Lord, the Eternal of hosts, the mighty One of Israel, Ah, I will take satisfaction on my adversaries, and be avenged on my enemies.
25 Nitaugeuza mkono wangu juu yako, nitatakasa chuma kilicho chakaa na kuondoa kutu yote.
And I will turn my hand against thee, and purge away as with lye thy dross, and remove all thy tin:
26 Nitailinda hukumu yako kama ilivyokuwa mwanzo, na washauri wako kama ilivyokuwa hapo mwanzo; baada ya hapo mtaitwa mji wa haki, mji wa imani.''
And I will restore thy judges as at the first, and thy counsellors as at the beginning; after that shalt thou be called, The city of righteousness, the town that is faithful.
27 Sayuni itakombolewa kwa haki, na wanaotubu kwa haki.
Zion shall be redeemed through justice, and her converts through righteousness.
28 Waasi na wenye dhambi wataangamizwa pamoja, na wale wataenda kinyume na Yahwe watauliwa.
But destruction shall come over transgressors and sinners together, and those that forsake the Lord shall perish.
29 Kwakukuwa utaona aibu juu ya miti ya mialoni uliyoitamani, na utakuwa na hofu juu ya bustani uliyoichagua.
For people shall be ashamed because of the terebinths which ye had desired, and ye shall be put to the blush because of the gardens that ye had chosen.
30 Kwa kukuwa utakuwa kama mualoni ambao majani yake yamenyauka, na kama bustani isiyokuwa na maji.
For ye shall be as a terebinth the leaves of which wither, and as a garden that hath no water.
31 Mtu mwenye nguvu atakuwa kama kitu kikavu, na kazi yake itakuwa kama cheche; zitawaka moto kwa pamoja, na hakuna hata mmoja ataweza kuuzima''.
And the mighty oppressor shall become as tow, and his workman as a spark; and they shall both burn together, with none to quench.

< Isaya 1 >