< Isaya 1 >

1 Maono ya Isaya mtoto wa Amozi ambayo aliyaona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika vipindi vya utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda.
The vision which Esaias the son of Amos saw, which he saw against Juda, and against Jerusalem, in the reign of Ozias, and Joatham, and Achaz, and Ezekias, who reigned over Judea.
2 Sikia enyi mbingu, tega sikio ewe nchi; kwa kuwa Yahwe amesema: ''Nimewatunza na kuwalea watoto, lakini wamenigeuka.
Hear, O heaven, and listen, O earth: for the Lord has spoken, [saying], I have begotten and reared up children, but they have rebelled against me.
3 Ng'ombe anamjua anayemmiliki na punda anajua sehemu anapowekewa chakula, lakini Israeli hawajui, wala hawafahamu.''
The ox knows his owner, and the ass his master's crib: but Israel does not know me, and the people has not regarded me.
4 Ole! Taifa, wenye zambi, mtu muovu, watoto wa wenye zambi, watoto wanaoenda kinyume, Wamemtelekeza Yahwe, wamedharau aliye Mtakatifu wa Israeli, wamejitenga wenyew kutoka kwake.
Ah sinful nation, a people full of sins, an evil seed, lawless children: you have forsaken the Lord, and provoked the Holy One of Israel.
5 Kwa nini ulikuwa unaendelea kupigwa? Kwa nini unazidi kuasi zaudi na zaidi? Kichwa chote kinauma, moyo wote ni dhaifu.
Why should you be struck [any] more, transgressing more and more? the whole head is pained, and the whole heart sad.
6 Kutoka kwenye unyayo wa mguu mpaka kichwani kila sehemu ina maumivu; ni madonda na majeraha mabichi yaliyoachwa wazi, ambayo hayajafungwa, kuasifishwa, kuwafunga vidonda vyao, wala kuwaponya kwa mafuta.
From the feet to the head, there is no soundness in them; neither wound, nor bruise, nor festering ulcer [are healed]: it is not possible to apply a plaister, nor oil, nor bandages.
7 Nchi yenu imeharibiwa; miji yenu imechomwa moto; mashamba yenu— mbele, wageni wamehiaribu; wamepatelekeza katika uharibifu, ulioangushwa na wageni
Your land is desolate, your cities burned with fire: your land, strangers devour it in your presence, and it is made desolate, overthrown by strange nations.
8 Binti Sayuni ameacha kama kibanda katika shamba la mzabu, kama kivuli kitika shamba la matango, kama mji unaomba.
The daughter of Sion shall be deserted as a tent in a vineyard, and as a storehouse of fruits in a garden of cucumbers, as a besieged city.
9 Kama Yahwe wa majeshi hakutuasha kwa mda mfupi tungekuwa kama Sodoma, tungekuwa kama Gomora.
And if the Lord of Sabaoth had not left us a seed, we should have been as Sodom, and we should have been made like Gomorrha.
10 Sikiliza neno la Yahwe, enyi viongozi wa Sodomu; sikilizeni sheria ya Mungu wetu, enyi watu wa Gomora:
Hear the word of the Lord, you rulers of Sodoma; attend to the law of God, you people of Gomorrha.
11 ''Sadaka zenu ni nyingi kiasi gani kwangu?'' asema Yahwe. ''Nimesikia vya kutosha kuhusu sadaka yenu ya mwana kondoo, na mnyama alionona; na damu ya ng'ombe, ndama, au mbuzi si vifurahii.
Of what [value] to me is the abundance of your sacrifices? says the Lord: I am full of whole burnt offerings of rams; and I delight not in the fat of lambs, and the blood of bulls and goats:
12 Ulipokuja kuonekaa mbele yangu, Ni nani aliyehitaji hili juu yako, kukanyaga katika mahama yangu
neither shall you come [with these] to appear before me; for who has required these things at your hands? You shall no more tread my court.
13 Msilete tena sadaka zisizo na maana; maana zinaniongezea uchafu mmekusanyika katika siku yenu mpya ya mwenzi na sabato—Mimi siwezi vumlia mikusanyio hii ya waovu.
Though you bring fine flour, [it is] vain; incense is an abomination to me; I can’t bear your new moons, and your sabbaths, and the great day;
14 Ninaichukia sherehe yenu mpya ya mwenzi na sherehe zilizoteuliwa; ni mzigo kwangu; nimechoka kuubeba.
[your] fasting, and rest from work, your new moons also, and your feasts my soul hates: you have become loathsome to me; I will no more pardon your sins.
15 Hivyo basi mnapotawanya mikono yenu kitkika maombi, sitawangalia hata kama mkiomba sana, sitawasikiliza; mikono yenu imejaa damu.
When you stretch forth your hands, I will turn away mine eyes from you: and though you make many supplications, I will not listen to you; for your hands are full of blood.
16 Jiosheni, jitakaseni wenyewe; ondoeni matendo maovu mbele ya macho yangu; acheni kutenda dhambi;
Wash you, be clean; remove your iniquities from your souls before mine eyes; cease from your iniquities;
17 jifunze kutenda mema; tafuta ukweli; msiwanyanyase, wapeni haki yatima, walindeni wajane.''
learn to do well; diligently seek judgment, deliver him that is suffering wrong, plead for the orphan, and obtain justice for the widow.
18 Njooni sasa, njooni tusemezane, asema Yahwe, japokuwa dhambi zenu ni nyekundu kama bendera zitakuwa nyeupe kama theluji; japokuwa ni myekundu kama damu zitakuwa kama sufi.
And come, let us reason together, says the Lord: and though your sins be as purple, I will make them white as snow; and though they be as scarlet, I will make [them] white as wool.
19 Kama utakubali na kutii, utakula mema ya nchi,
And if you be willing, and listen to me, you shall eat the good of the land:
20 lakini ukikataa na kugeuka, upanga utakuangamiza, maama Yahwe amesema.
but if you be not willing, nor listen to me, a sword shall devour you: for the mouth of the Lord has spoken this.
21 Ni kwa jinsi gani mji ulioaminika umekuwa kahaba! ulikuwa ni mij wenye usawa na haki, lakini sasa mji umejaa mauwaji.
How has the faithful city Sion, [once] full of judgment, become a harlot! wherein righteousness lodged, but now murderers.
22 Fedha zenu zimechafuka, na mvinyo wenu umechanganjwa na maji.
Your silver is worthless, your wine merchants mix the wine with water.
23 Viongozi wenu wamemgeuka Mungu wamekuwa marafiki wa wezi; yeyote anayopenda rushwa na kuikimbilia. Hawawajali yatima, wala wajane wanaokuja kuwanyenyekea mbele yao.
Your princes are rebellious, companions of thieves, loving bribes, seeking after rewards; not pleading for orphans, and not heeding the cause of widows.
24 Hivyo basi hili ndilo tamko la Bwana, Yahwe wa majeshi, Shujaa wa Israeli: Ole wao! nitachukua hatua kwa wale walio kinyume na mimi na niwaadhibu wale wanaonipinga;
Therefore thus says the Lord, the Lord of hosts, Woe to the mighty [men] of Israel; for my wrath shall not cease against mine adversaries, and I will execute judgment on mine enemies.
25 Nitaugeuza mkono wangu juu yako, nitatakasa chuma kilicho chakaa na kuondoa kutu yote.
And I will bring my hand upon you, and purge you completely, and I will destroy the rebellious, and will take away from you all transgressors.
26 Nitailinda hukumu yako kama ilivyokuwa mwanzo, na washauri wako kama ilivyokuwa hapo mwanzo; baada ya hapo mtaitwa mji wa haki, mji wa imani.''
And I will establish your judges as before, and your counselors as at the beginning: and afterward you shall be called the city of righteousness, the faithful mother-city of Sion.
27 Sayuni itakombolewa kwa haki, na wanaotubu kwa haki.
For her captives shall be saved with judgment, and with mercy.
28 Waasi na wenye dhambi wataangamizwa pamoja, na wale wataenda kinyume na Yahwe watauliwa.
And the transgressors and the sinners shall be crushed together, and they that forsake the Lord shall be utterly consumed.
29 Kwakukuwa utaona aibu juu ya miti ya mialoni uliyoitamani, na utakuwa na hofu juu ya bustani uliyoichagua.
For they shall be ashamed of their idols, which they delighted in, and they are made ashamed of the gardens which they coveted.
30 Kwa kukuwa utakuwa kama mualoni ambao majani yake yamenyauka, na kama bustani isiyokuwa na maji.
For they shall be as a turpentine tree that has cast its leaves, and as a garden that has no water.
31 Mtu mwenye nguvu atakuwa kama kitu kikavu, na kazi yake itakuwa kama cheche; zitawaka moto kwa pamoja, na hakuna hata mmoja ataweza kuuzima''.
And their strength shall be as a thread of tow, and their works as sparks, and the transgressors and the sinners shall be burnt up together, and there shall be none to quench [them].

< Isaya 1 >