< Isaya 1 >

1 Maono ya Isaya mtoto wa Amozi ambayo aliyaona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika vipindi vya utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda.
Judah manghai rhoek Uzziah, Jotham, Ahaz neh Hezekiah tue vaengah Judah neh Jerusalem ham Amoz capa Isaiah loh a mangthui a hmuh.
2 Sikia enyi mbingu, tega sikio ewe nchi; kwa kuwa Yahwe amesema: ''Nimewatunza na kuwalea watoto, lakini wamenigeuka.
Vaan rhoek loh ya uh lamtah diklai long khaw hnakaeng saeh. BOEIPA loh, “Ka ca rhoek he ka pantai sak tih ka pomsang coeng dae, amamih long ni kai taengah boe a koek uh.
3 Ng'ombe anamjua anayemmiliki na punda anajua sehemu anapowekewa chakula, lakini Israeli hawajui, wala hawafahamu.''
Vaito loh amah aka lai te a ming tih laak long a boei kah kongduk te a hmat. Ka pilnam Israel loh ming voel pawt tih yakming voel pawh.
4 Ole! Taifa, wenye zambi, mtu muovu, watoto wa wenye zambi, watoto wanaoenda kinyume, Wamemtelekeza Yahwe, wamedharau aliye Mtakatifu wa Israeli, wamejitenga wenyew kutoka kwake.
A nunae, namtom laihmuh aih, thaesainah loh a payawk pilnam, thaehuet kah tiingan, poci kah a ca rhoek, BOEIPA te a hnoo uh tih Israel kah aka cim te a tlaitlaek dongah a hnuk la kholong uh coeng.
5 Kwa nini ulikuwa unaendelea kupigwa? Kwa nini unazidi kuasi zaudi na zaidi? Kichwa chote kinauma, moyo wote ni dhaifu.
Balae tih koep kang ngawn eh? Koeknah te na koei uh tih na lu te a tlohtat kak la, na thinko boeih khaw hal coeng.
6 Kutoka kwenye unyayo wa mguu mpaka kichwani kila sehemu ina maumivu; ni madonda na majeraha mabichi yaliyoachwa wazi, ambayo hayajafungwa, kuasifishwa, kuwafunga vidonda vyao, wala kuwaponya kwa mafuta.
A kho khopha lamloh a lu due hlang la om voel pawh. A tloh neh a hma, hmasoe a haeng khaw yawt uh pawt tih poi uh pawh, situi nen khaw yaih sak pawh.
7 Nchi yenu imeharibiwa; miji yenu imechomwa moto; mashamba yenu— mbele, wageni wamehiaribu; wamepatelekeza katika uharibifu, ulioangushwa na wageni
Na khohmuen te khopong la om coeng. Na khopuei rhoek hmai neh a hoeh coeng. Na diklai khaw na mikhmuh ah kholong loh han caak coeng. Te dongah khopong neh imrhong bangla a kholong boeih coeng.
8 Binti Sayuni ameacha kama kibanda katika shamba la mzabu, kama kivuli kitika shamba la matango, kama mji unaomba.
Zion nu misur dum kah poca bangla, uitang lo kah tlak bangla, khopuei a dum bangla hoei sut coeng,” a ti.
9 Kama Yahwe wa majeshi hakutuasha kwa mda mfupi tungekuwa kama Sodoma, tungekuwa kama Gomora.
Caempuei BOEIPA loh mamih he rhaengnaeng la bet n'hlun pawt koinih Sodom bangla ng'om vetih Gomorrah bangla n'lutlat uh ni.
10 Sikiliza neno la Yahwe, enyi viongozi wa Sodomu; sikilizeni sheria ya Mungu wetu, enyi watu wa Gomora:
Sodom rhalboei rhoek BOEIPA olka te ya uh lah. Gomorrah pilnam loh mamih Pathen kah olkhueng te hnakaeng thil lah.
11 ''Sadaka zenu ni nyingi kiasi gani kwangu?'' asema Yahwe. ''Nimesikia vya kutosha kuhusu sadaka yenu ya mwana kondoo, na mnyama alionona; na damu ya ng'ombe, ndama, au mbuzi si vifurahii.
Nangmih hmueih aka khawk te kai ham ee te? BOEIPA loh, “Hmueihhlutnah tutal, puetsuet kah a tha, vaito thii, tuca neh kikong loh n'lawt tih ka ngaih moenih.
12 Ulipokuja kuonekaa mbele yangu, Ni nani aliyehitaji hili juu yako, kukanyaga katika mahama yangu
Kai mikhmuh ah phoe hamla na pawk uh vaengah na kut dongkah he unim aka suk tih kai kah vongup nan taelh uh.
13 Msilete tena sadaka zisizo na maana; maana zinaniongezea uchafu mmekusanyika katika siku yenu mpya ya mwenzi na sabato—Mimi siwezi vumlia mikusanyio hii ya waovu.
A Poeyoek la khocang nang khuen neh ng'koei boeh. Bo-ul khaw kai ham tueilaehkoi ni. Hlasae neh Sabbath ah tingtunnah a khue te khaw, boethae neh pahong khaw ka ueh thai pawh.
14 Ninaichukia sherehe yenu mpya ya mwenzi na sherehe zilizoteuliwa; ni mzigo kwangu; nimechoka kuubeba.
Nangmih kah hlasae neh na tingtunnah te ka hinglu loh a hmuhuet tih, kai ham laipuei la a poeh dongah ka phueih ka ngak.
15 Hivyo basi mnapotawanya mikono yenu kitkika maombi, sitawangalia hata kama mkiomba sana, sitawasikiliza; mikono yenu imejaa damu.
Na kut na phuel uh vaengah nangmih taeng lamloh ka mik vik ka him ni. Thangthuinah loh puh cakhaw na kut ah hlang thii a bae dongah ka hnatun mahpawh.
16 Jiosheni, jitakaseni wenyewe; ondoeni matendo maovu mbele ya macho yangu; acheni kutenda dhambi;
Sil uh lamtah cim uh. Na khoboe thaenah khaw khoe uh lamtah ka mikhmuh lamkah thaehuet te toeng uh.
17 jifunze kutenda mema; tafuta ukweli; msiwanyanyase, wapeni haki yatima, walindeni wajane.''
Voelphoeng hamla cang uh. Tiktamnah te tlap. Hlang hnaepnah te toel uh. Cadah te rhuun uh lamtah, nuhmai ham te oelh pah.
18 Njooni sasa, njooni tusemezane, asema Yahwe, japokuwa dhambi zenu ni nyekundu kama bendera zitakuwa nyeupe kama theluji; japokuwa ni myekundu kama damu zitakuwa kama sufi.
Ha mop uh lamtah tluung uh thae pawn sih. BOEIPA loh, “Nangmih kah tholhnah te lingdik bangla om cakhaw vuel bangla om ni. Talam bangla thimyum cakhaw tumul bangla bok ni,” a ti.
19 Kama utakubali na kutii, utakula mema ya nchi,
Na huem uh tih na hnatun uh atah khohmuen kah a thennah te na caak uh ni.
20 lakini ukikataa na kugeuka, upanga utakuangamiza, maama Yahwe amesema.
Tedae na aal tih na koek uh atah BOEIPA ol a thui coeng dongah cunghang na yook uh ni.
21 Ni kwa jinsi gani mji ulioaminika umekuwa kahaba! ulikuwa ni mij wenye usawa na haki, lakini sasa mji umejaa mauwaji.
Khorha cakrhuet, tiktamnah neh aka bae te balae tih pumyoi la poeh. Duengnah khaw a khuiah rhaehrhong dae hlang a ngawn coeng.
22 Fedha zenu zimechafuka, na mvinyo wenu umechanganjwa na maji.
Nangmih kah ngun te aek la poeh tih na yuhuem khaw tui neh poek uh coeng.
23 Viongozi wenu wamemgeuka Mungu wamekuwa marafiki wa wezi; yeyote anayopenda rushwa na kuikimbilia. Hawawajali yatima, wala wajane wanaokuja kuwanyenyekea mbele yao.
Na mangpa rhoek a thinthah uh tih a pum la hlanghuen neh hui uh thae. Kapbaih a lungnah tih kapbaih ni a hloem. Cadah te laitloek pa uh pawt tih nuhmai kah tuituknah khaw amamih taengah phoe puei pawh.
24 Hivyo basi hili ndilo tamko la Bwana, Yahwe wa majeshi, Shujaa wa Israeli: Ole wao! nitachukua hatua kwa wale walio kinyume na mimi na niwaadhibu wale wanaonipinga;
Te dongah caempuei Boeipa, Yahovah, Israel kah samrhang olphong loh, “A nunae, Ka thunkha rhoek soah phu ka loh daengah ni ka rhal rhoek taengah dam ka ti pueng eh.
25 Nitaugeuza mkono wangu juu yako, nitatakasa chuma kilicho chakaa na kuondoa kutu yote.
Nangmih taengah ka kut kan thuung ni. Te vaengah na khen te lunghuem neh ka dung vetih na ti boeih ka khong ni.
26 Nitailinda hukumu yako kama ilivyokuwa mwanzo, na washauri wako kama ilivyokuwa hapo mwanzo; baada ya hapo mtaitwa mji wa haki, mji wa imani.''
Na laitloek te hnukbuet kah bangla, na olrhoep khaw lamhma kah bangla kan thuung ni. Tahae lamkah tah nang te duengnah khopuei, uepom khorha la ng'khue ni.
27 Sayuni itakombolewa kwa haki, na wanaotubu kwa haki.
Zion te tiktamnah neh a lat vetih duengnah neh ha mael ni.
28 Waasi na wenye dhambi wataangamizwa pamoja, na wale wataenda kinyume na Yahwe watauliwa.
Tedae boekoek rhoek neh BOEIPA aka hnoo hlangtholh rhoek tah pocinah loh rhenten a khah ni.
29 Kwakukuwa utaona aibu juu ya miti ya mialoni uliyoitamani, na utakuwa na hofu juu ya bustani uliyoichagua.
Thingnu na nai uh te yak vetih, dum na tuek uh dongah khaw na hmai tal uh ni.
30 Kwa kukuwa utakuwa kama mualoni ambao majani yake yamenyauka, na kama bustani isiyokuwa na maji.
Rhokael te a hnah a hoo bangla, tui loh dum te a kaktah bangla na om uh ni.
31 Mtu mwenye nguvu atakuwa kama kitu kikavu, na kazi yake itakuwa kama cheche; zitawaka moto kwa pamoja, na hakuna hata mmoja ataweza kuuzima''.
Aka tlung khaw malpawt la, a bisai te hmaidi la poeh ni. Te vaengah a boktlap la rhenten a dom vetih thih uh mahpawh.

< Isaya 1 >