< Isaya 1 >

1 Maono ya Isaya mtoto wa Amozi ambayo aliyaona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika vipindi vya utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda.
Sia: da amo buga ganodini dedei da sia: amo Gode da Aisaia (A: imose egefe) amoma olelei. Amo sia: da Yuda fifi asi gala amola Yelusaleme fi, ilia hou olelesa. Amo esoga, hina bagade amo da Yuda fi ouligisu da Asaia, fa: no Youda: me, amola A: iha: se amola Hesigaia
2 Sikia enyi mbingu, tega sikio ewe nchi; kwa kuwa Yahwe amesema: ''Nimewatunza na kuwalea watoto, lakini wamenigeuka.
Hina Gode da amane sia: i, “Osobo bagade amola mu! Na sia: nabima! Na fofoi mano da nama higale odoga: i.
3 Ng'ombe anamjua anayemmiliki na punda anajua sehemu anapowekewa chakula, lakini Israeli hawajui, wala hawafahamu.''
Bulamagau da ilia ouligisu dunu dawa: Amola dougi da ilia ouligisu da ilima ha: i manu iabe sogebi dawa: Be amo hou da Na fi dunu Isala: ili fi, amo ilia hou baligisa. Ilia da amo hou hamedafa dawa:
4 Ole! Taifa, wenye zambi, mtu muovu, watoto wa wenye zambi, watoto wanaoenda kinyume, Wamemtelekeza Yahwe, wamedharau aliye Mtakatifu wa Israeli, wamejitenga wenyew kutoka kwake.
Dilia wadela: idafa dunu fi! Dilia da wadela: lesi dagoi ba: mu. Dilia da wadela: i hou hamonanebeba: le dafasa. Dilia da Hina Gode, Isala: ili dunu fi ilia Hadigi Gode amo higa: i dagoi. Dilia da Ema hihini baligi fa: i.
5 Kwa nini ulikuwa unaendelea kupigwa? Kwa nini unazidi kuasi zaudi na zaidi? Kichwa chote kinauma, moyo wote ni dhaifu.
Dilia da abuliba: le mae fisili odoga: sala: ? Dilia da Gode Ea se iasu eno lamu hanabela: ? Isala: ili fi! Dia dialuma da fa: ginisisu amoga dedeboi dagoi amola dia dogo amola asigi dawa: su da oloi gala.
6 Kutoka kwenye unyayo wa mguu mpaka kichwani kila sehemu ina maumivu; ni madonda na majeraha mabichi yaliyoachwa wazi, ambayo hayajafungwa, kuasifishwa, kuwafunga vidonda vyao, wala kuwaponya kwa mafuta.
Dia dialuma da: iya asili dia emo gafe amoga doaga: le, dia da: i hodo amo ganodini oloi bagade fawane ba: sa. Dia da: i da fa: ginisisu amola fofonomasu amola aiya amoga dedeboi dagoi. Dia fa: ginisi da hame dodofei amola hame sosone dedeboi amola manoma hame legei.
7 Nchi yenu imeharibiwa; miji yenu imechomwa moto; mashamba yenu— mbele, wageni wamehiaribu; wamepatelekeza katika uharibifu, ulioangushwa na wageni
Dia soge da wadela: lesi dagoi, amola dia moilai bai bagade huluane da laluga nei dagoi. Ga fi dunu da dia soge huluane lale wadela: lesisa amola di da udigili lela ba: lala.
8 Binti Sayuni ameacha kama kibanda katika shamba la mzabu, kama kivuli kitika shamba la matango, kama mji unaomba.
Yelusaleme fawane da hame mugului, be ha lai dunu da ema gegenana. Yelusaleme da sosodo aligisu dunu ea diasu waini sagai ganodini gala o ifabi diasu dadami sagai ganodini amo defele hame gaga: iwane ba: sa.
9 Kama Yahwe wa majeshi hakutuasha kwa mda mfupi tungekuwa kama Sodoma, tungekuwa kama Gomora.
Hina Gode Bagadedafa da dunu mogili esaloma: ne hame gaga: i ganiaba, Yelusaleme da Sodame amola Goumola defele, wadela: lesi dagoi ba: la: loba.
10 Sikiliza neno la Yahwe, enyi viongozi wa Sodomu; sikilizeni sheria ya Mungu wetu, enyi watu wa Gomora:
Yelusaleme! Dia ouligisu dunu ilia da Sodame amola Goumola elea ouligisu dunu defele ba: sa. Hina Gode da dilima sia: be noga: le nabima! Ninia Gode Ea olelesu noga: le dawa: digima.
11 ''Sadaka zenu ni nyingi kiasi gani kwangu?'' asema Yahwe. ''Nimesikia vya kutosha kuhusu sadaka yenu ya mwana kondoo, na mnyama alionona; na damu ya ng'ombe, ndama, au mbuzi si vifurahii.
Hina Gode da amane sia: sa, “Dilia adi dawa: bela: ? Dilia da Nama gobele salasu dilia da eso huluane Nama iaha, amo Na da hanabela? Hame mabu! Dilia da Nama sibi bagohame amola ohe fi ilia sefe bagade Nama gobele sasalasu, be Na da amo lamu higa: i gala mabu. Na da bulamagau gawali amola sibi amola goudi ilia maga: me bagade ba: beba: le, helei bagade naba.
12 Ulipokuja kuonekaa mbele yangu, Ni nani aliyehitaji hili juu yako, kukanyaga katika mahama yangu
Dilia da Nama nodone sia: ne gadomusa: masea amo liligi gaguli misa: ne nowa adobela: ? Nowa da dili, Na Debolo diasu ganodini laloma: ne adobela: ?
13 Msilete tena sadaka zisizo na maana; maana zinaniongezea uchafu mmekusanyika katika siku yenu mpya ya mwenzi na sabato—Mimi siwezi vumlia mikusanyio hii ya waovu.
Dilia gobele salasu liligi gaguli misunu da hamedei liligi. Dilia manoma gobele salasu gabusiga: Na da higale naba. Dilia Oubi Gaheabolo Lolo Nasu amola dilia Sa: bade eso amola dilia sia: ne gadosu gilisisu huluane Na higasa. Amo hou huluane da dilia wadela: i hou amoga wadela: lesi dagoi.
14 Ninaichukia sherehe yenu mpya ya mwenzi na sherehe zilizoteuliwa; ni mzigo kwangu; nimechoka kuubeba.
Na da dilia Oubi Gaheabolo lolo Nasu amola “hadigi” gilisisu eso huluane bagade higasa. Ilia da Nama dioi bagade liligi amola Na da amo liligi bu dioiwane gaguli masunu higa: i.
15 Hivyo basi mnapotawanya mikono yenu kitkika maombi, sitawangalia hata kama mkiomba sana, sitawasikiliza; mikono yenu imejaa damu.
Dilia da sia: ne gadomusa: , dilia lobo ligia gadosea, Na da dili hame ba: mu. Dilia da baligiliwane sia: ne gadosea, be Na da hame nabimu. Bai dilia lobo da maga: mega dedeboi dagoi.
16 Jiosheni, jitakaseni wenyewe; ondoeni matendo maovu mbele ya macho yangu; acheni kutenda dhambi;
Sinidigima! Dilia da: i dodofelalu, fofoloi agoane ba: mu da defea. Na da ba: loba, dilia wadela: i hou fawane hamosa. Amo yolesima!
17 jifunze kutenda mema; tafuta ukweli; msiwanyanyase, wapeni haki yatima, walindeni wajane.''
Hou ida: iwane hamoma: ne, logo hogoma! Moloidafa hou logo hogoma! Nowa da eno dunuma se laha, amo fidima! Guluba: mano fidima! Didalo amola gaga: ma!”
18 Njooni sasa, njooni tusemezane, asema Yahwe, japokuwa dhambi zenu ni nyekundu kama bendera zitakuwa nyeupe kama theluji; japokuwa ni myekundu kama damu zitakuwa kama sufi.
Hina Gode da amane sia: sa, “Amo hou ninia da wahadafa hahamomu. Dilia da wadela: i hou hamobeba: le, maga: mega ledo hamoi dagoi ba: sa. Be Na da dili dodofesea, dilia da mu gohona: defele, ahea: iaidafa agoane ba: mu. Dilia ledo da ulasuiya: i agoane ba: sa, be dilia da sibi hinabo defele sua: iai agoane ba: mu.
19 Kama utakubali na kutii, utakula mema ya nchi,
Dilia da Na sia: nabawane hamosea, dilia da soge ea ha: i manu gami noga: i agoai manu.
20 lakini ukikataa na kugeuka, upanga utakuangamiza, maama Yahwe amesema.
Be dilia da Na sia: higasea, dilia da dafawane bogomu. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi!”
21 Ni kwa jinsi gani mji ulioaminika umekuwa kahaba! ulikuwa ni mij wenye usawa na haki, lakini sasa mji umejaa mauwaji.
Yelusaleme fi da musa: hou noga: i hamosu. Be wali ilia da da: i bidi lasu uda ea hou defele hamosa. Musa: amo moilai bai bagade da moloidafa dunu amoga nabai galu, be wali fane legesu dunu fawane esalebe ba: sa.
22 Fedha zenu zimechafuka, na mvinyo wenu umechanganjwa na maji.
Yelusaleme! Di da musa: silifa noga: iwane ba: su. Be wali di da hamedei moilai bai bagade agoane ba: sa. Di da musa: waini hano ida: iwane gala ba: su. Be wali di da hano gamogai agoane ba: sa.
23 Viongozi wenu wamemgeuka Mungu wamekuwa marafiki wa wezi; yeyote anayopenda rushwa na kuikimbilia. Hawawajali yatima, wala wajane wanaokuja kuwanyenyekea mbele yao.
Dia ouligisu dunu ilia da odoga: su dunu, amola ilia da wamolasu dunu ilia dogolegei agoane esala. Ilia da eso huluane hano suligisu bidi hahawane laha. Ilia da fofada: su diasu ganodini guluba: mano hame gaga: sa, amola didalo ilila: hou gaga: ma: ne sia: sea, ilia sia: hame naba.
24 Hivyo basi hili ndilo tamko la Bwana, Yahwe wa majeshi, Shujaa wa Israeli: Ole wao! nitachukua hatua kwa wale walio kinyume na mimi na niwaadhibu wale wanaonipinga;
Amaiba: le, Hina Gode Bagadedafa, Isala: ili dunu ilia gasa bagade Gode, amo Ea sia: nabima! Dilia da Nama ha lai hamobeba: le, Na da dilima dabe imunu. Amasea, dilia da Nama bu hame mosolamu.
25 Nitaugeuza mkono wangu juu yako, nitatakasa chuma kilicho chakaa na kuondoa kutu yote.
Na da dilima doagala: mu. Gouli amola silifa ilia gobele, ledo huluane fadegasa, amo defele Na da dilia ledo fadegale fasimu.
26 Nitailinda hukumu yako kama ilivyokuwa mwanzo, na washauri wako kama ilivyokuwa hapo mwanzo; baada ya hapo mtaitwa mji wa haki, mji wa imani.''
Na da musa: Isala: ili fi ilia ouligisu dunu amola sia: ne iasu dunu, amo defele dilima bu imunu. Amasea, eno dunu ilia da Yelusaleme amoma “Moloidafa Moilai Bai Bagade” amola “Dafawaneyale Dawa: su Moilai Bai Bagade” dima asulimu.”
27 Sayuni itakombolewa kwa haki, na wanaotubu kwa haki.
Hina Gode Ea hou da moloidafa. Amaiba: le, E da Yelusaleme amo gaga: mu, amola nowa amo moilai bai bagade ganodini da wadela: i hou fisili, Godema sinidigisia, E da amo dunu gaga: mu.
28 Waasi na wenye dhambi wataangamizwa pamoja, na wale wataenda kinyume na Yahwe watauliwa.
Be nowa da wadela: i hou hamosea amola Hina Godema odoga: sea, Gode da goudamu. Nowa da E higale yolesisa, E da amo dunu fane legemu.
29 Kwakukuwa utaona aibu juu ya miti ya mialoni uliyoitamani, na utakuwa na hofu juu ya bustani uliyoichagua.
Dilia da udigili ifa amoma sia: ne gadobeba: le, amola sema ifabi bugiba: le, gogosiane asigi bagade ba: mu.
30 Kwa kukuwa utakuwa kama mualoni ambao majani yake yamenyauka, na kama bustani isiyokuwa na maji.
Dilia da bioma: ne “ouge” ifa defele biomu. Amola sagai amoma ilia hano hame iasea biobe defele, dilia da biomu.
31 Mtu mwenye nguvu atakuwa kama kitu kikavu, na kazi yake itakuwa kama cheche; zitawaka moto kwa pamoja, na hakuna hata mmoja ataweza kuuzima''.
Bioi gisi da lalu geso amoga lalu hamone, nei dagoi ba: sa. Amo defele, gasa fi dunu da ilisu wadela: i hamobeba: le, wadela: lesi dagoi ba: mu. Amola ilia mae wadela: lesima: ne, enoga gaga: mu da hamedei ba: mu.

< Isaya 1 >