< Isaya 7 >

1 Siku zile wakati Ahazi mtoto wa Yothani mtoto wa Uzia, mfalme wa Yuda, Rezeni mfalme wa Amramu, na Peka mtoto wa Remaelia, mfalme wa Israeli, walienda Yerusalemu kupigana vita nao, lakini hawakuweza kushinda vita.
In the days of Ahaz the son of Jotham, the son of Uzziah, king of Judah [Praised], Rezin the king of Syria [Elevated], and Pekah the son of Remaliah, king of Israel [God prevails], went up to Jerusalem [City of peace] to war against it, but could not prevail against it.
2 Ilitaarifiwa kwa nyumba ya Daudi kwamba Amramu amejiunga na Efraimu. Moyo wake na moyo watu wake ukatetemeka, kama vile miti ya misitu inavyopepea kwa upepo.
David [Beloved]’s house was told, “Syria [Elevated] is allied with Ephraim [Fruit].” His heart trembled, and the heart of his people, as the trees of the forest tremble with the wind.
3 Ndipo Yahwe akamwambia Isaya, ''Nenda nje na kijana wako, Sheari Jashubu ukaonane na Ahazi mwisho wa mfereji wa birika la juu, katika njia kuu ya uwanja Dobi.
Then Adonai said to Isaiah [Salvation of Yah], “Go out now to meet Ahaz, you, and Shearjashub your son, at the end of the conduit of the upper pool, on the highway of the fuller’s field.
4 Mwambie, 'awe makini, awe mtulivu, asiogope au vitisho kwa sababu ya mikia hii miwili ya vingi hivi vitokavyo moshi, kwa sababu ya hasira kubwa ya Resini na Amramu, na mtoto wa Remalia.
Tell him, ‘Be careful, and keep calm. Don’t be afraid, neither let your heart be faint because of these two tails of smoking torches, for the fierce anger of Rezin and Syria [Elevated], and of the son of Remaliah.
5 Amramu, Ephraimu, na mtoto wa Remaeli wamepanga mabaya juu yako; wamesema, '' njooni tuwavamie Yuda na kuwaogopesha,
Because Syria [Elevated], Ephraim [Fruit], and the son of Remaliah, have plotted evil against you, saying,
6 njooni tujipange na tumueweke mfalme wetu ndani ya Yuda, mtoto wa Tabaeli.''
“Let’s go up against Judah [Praised], and tear it apart, and let’s divide it among ourselves, and set up a king within it, even the son of Tabeel.”
7 Bwana Yahwe asema, ''haitatokea; haitaonekana,
This is what the Lord Adonai says: “It shall not stand, neither shall it happen.”
8 maana kichwa cha Amramu ni Damaskasi, na kishwa cha Damaskasi ni Rezini. Ndani ya miaka sitini na tano, ndoto za Ephraimu zitasambaratishwa na hapatakuwa na watu.
For the head of Syria [Elevated] is Damascus [Bucket of blood], and the head of Damascus [Bucket of blood] is Rezin; and within sixty-five years Ephraim [Fruit] shall be broken in pieces, so that it shall not be a people;
9 Efraimu ni kichwa Samaria, na kishwa cha Samaria ni mtoto wa Remaria. Na kama hamtasimama imara katika imani yenu, hakika hamtakuwa salama''.
and the head of Ephraim [Fruit] is Samaria, and the head of Samaria is Remaliah’s son. If you will not believe, surely you shall not be established.’”
10 Bwana akaongea tena na Ahazi,
Adonai spoke again to Ahaz, saying,
11 ''Omba ishara ya Yahwe Mungu wako; omba juu ya hilo kwa kina au kwa kiwango cha juu.'' (Sheol h7585)
“Ask a sign of Adonai your God; ask it either in the depth, or in the height above.” (Sheol h7585)
12 Lakini Ahazi anasema, sintomba wala kumjaribu Yahwe.''
But Ahaz said, “I will not ask, neither will I tempt Adonai.”
13 Hivyo Isaya akajibu, ''sikilizen, nyumba ya Daudi. Je haijatosha kwa watu kuujaribu uvumilivu wa watu? Je ni lazima kuujaribu uvumilivu wa Mungu?
He said, “Sh'ma ·Hear obey· now, house of David [Beloved]. Is it not enough for you to try the patience of men, that you will try the patience of my God also?
14 Hivyo basi Mungu mwenyewe atawapa yeye mwenywe ishara: ona, mwanamke bikira atapata mimba na kumzaa mtoto, na atamwita Emanueli.
Therefore the Lord himself will give you a sign. Behold, the virgin will conceive, and bear a son, and shall call his name 'Immanu El [God is with us].
15 Atakula siagi na asali na wakati anapojua kuyakataa maovu na kuchagua mema.
He shall eat butter and honey when he knows to refuse the evil, and choose the good.
16 Maana kabla mtoto ajajua kuyakataa maovu na kuchagua mema, nchi ambayo wewe unawachukia wafalme itakuwa ukiwa.
For before the child knows to refuse the evil, and choose the good, the land whose two kings you abhor shall be forsaken.
17 Yahwe ataleta juu yako, juu ya watu wako, na juu ya nyumba ya baba yako siku hazijatimmia tangu Efraimu alipompokea Yuda- atamleta mfalme wa Asiria.''
Adonai will bring on you, on your people, and on your father’s house, days that have not come, from the day that Ephraim [Fruit] departed from Judah [Praised]; even the king of Assyria [Level plain].
18 Mda huo Yahwe atapuliza filimbikwa ajili ya kupaa kutoka mkondo wa umbali wa Misri, na maana nyuki kutoka nchi ya Asiria.
It will happen in that day that Adonai will whistle for the fly that is in the uttermost part of the rivers of Egypt [Abode of slavery], and for the bee that is in the land of Assyria [Level plain].
19 Zitakuja na kukaa chini ya korongo, ndani ya mapango ya miamba, kwenye vichaka vya miba, na kwenye malisho.
They shall come, and shall all rest in the desolate valleys, in the clefts of the rocks, on all thorn hedges, and on all pastures.
20 Katika mda huo Bwana atamnyoa kichwani kichwani na nywele za miguuni kwa wembe ulioazimwa mto Efrarate— mfalme wa Asiria - na vilevile utasafisha ndevu zote.
In that day the Lord will shave with a razor that is hired in the parts beyond the River, even with the king of Assyria [Level plain], the head and the hair of the feet; and it shall also consume the beard.
21 Siku hiyo, mtu atahifadhi ndama na na kondoo wawili,
It shall happen in that day that a man shall keep alive a young cow, and two sheep;
22 na kwasababu ya maziwa yatakayo patikana ni mengi, atakula siagi, maana kila atakaye bakia kwnye nchi atakula siagi na asali.
and it shall happen, that because of the abundance of milk which they shall give he shall eat butter: for everyone will eat butter and honey that is left within the land.
23 Mda huo, kutakuwa na maelfu ya mizabibu na thamani elfu za shekeli, hakutakuwa na kitu zaidi ya kuzalisha mbigiri na miiba.
It will happen in that day that every place where there were a thousand vines at a thousand silver shekels [25 lb; 11.34 kg], shall be for briers and thorns.
24 Watu watenda pale kuwinda kwa upinde, kwa sababu nchi yote itazalisha mbigiri na miiba.
People will go there with arrows and with bow, because all the land will be briers and thorns.
25 Watakaa mbali na vilima vitalimwa kwa jembe, kwa sababu ya hofu ya mbigiri na miiba, lakini hapo patakuwa mahali pa kuchungia ngo'mbe na kondoo
All the hills that were cultivated with the hoe, you shall not come there for fear of briers and thorns; but it shall be for the sending out of oxen, and for the treading of sheep.”

< Isaya 7 >