< Isaya 65 >

1 Nilikuwa tayari kuchaguliwa na wale ambao hawakuniomba; Nilikuwa tayari kupatikana kwa wale ambao hawakunitafuta. Nilisema, ''Niko hapa!' kwa taifa ambalo halikuita jina langu.
« Je suis interrogé par ceux qui n'ont pas demandé. Je suis trouvé par ceux qui ne m'ont pas cherché. J'ai dit: « Voyez-moi, voyez-moi », à une nation qui n'était pas appelée par mon nom.
2 Nimetawanya mikono yangu siku zote kuwasumbua watu wangu, wanao tembea katika njia isiyopasa, wanaotembea kwa kufuata mawazo yao wenyewe na mipango yao.
J'ai étendu mes mains tout le jour vers un peuple rebelle, qui marchent d'une manière qui n'est pas bonne, selon leurs propres pensées;
3 Kuna watu wanoendelea kunipinga mimi, wanatoa sadaka zao katika bustani, na kuchoma ubani juu ya matofali.
un peuple qui me provoque continuellement en face, les sacrifices dans les jardins, et de brûler de l'encens sur des briques;
4 Wamekaa miongoni mwa makaburi na kuangalia usiku kucha, na hula nyama ya nguruwe na mchuzi mchafu wa nyama katika vyombo vyao.
qui sont assis parmi les tombes, et passer des nuits dans des endroits secrets; qui mangent de la viande de porc, et un bouillon de choses abominables est dans leurs vases;
5 Wanasema, 'Simama mbali, usisogee karibu na mimi, maana mimi ni mtakatifu zaidi yako.' Vitu hivi ni moshi katika pua zangu, moto uwakao mchana kutwa.
qui disent: « Reste seul, ne vous approchez pas de moi, car je suis plus saint que vous. C'est de la fumée dans mon nez, un feu qui brûle toute la journée.
6 Tazama, imeandikwa mbele yangu: Sitanyamaza, Maana nitawalipa wao tena; nitafanya malipo yao katika miguu yao,
« Voici, c'est écrit devant moi: Je ne garderai pas le silence, mais il remboursera, oui, je rembourserai dans leur sein
7 kwa sababu ya dhambi zao na dhambi za baba zao kwa pamoja.'' asema Yahwe. ''Nitawajibu wao kwa kuchoma ubani juu ya milima na kunifanyia mimi juu ya vilima. Hivyo basi nitapima juu ya matendo yao ya kale katika miguu yao.''
tes propres iniquités et les iniquités de tes pères ensemble », dit Yahvé, « qui ont brûlé de l'encens sur les montagnes, et m'ont blasphémé sur les collines. C'est pourquoi je mesurerai d'abord leur travail dans leur sein. »
8 Yahwe asema hivi, ''Ikiwa kama juisi itapatikana katika nguzo ya zabibu, wakati mmoja ataposema, 'Usihiaribu hiyo, maa kuna uzuri ndani yake; hichi ndicho nitakachokifanya kwa niaba ya watumishi wangu: Sitawaribu wao wote.
Yahvé dit, « Comme le vin nouveau se trouve dans la grappe, et l'un d'eux dit: « Ne le détruis pas, car il contient une bénédiction ». ainsi je ferai pour l'amour de mes serviteurs, pour que je ne les détruise pas tous.
9 Nitazileta koo kutoka kwa Yakobo, na kutoka Yuda wao ambao watairithi milima yangu. Niliowachagua watairithi aridhi, na watumishi wangu wataishi pale.
Je ferai sortir une descendance de Jacob, et de Juda un héritier de mes montagnes. Mes élus en hériteront, et mes serviteurs y habiteront.
10 Sharoni itakuwa malisho ya makundi, na bonde la Akori itakuwa sehemu ya kupumzikia ya makundi yangu, kwa watu wangu wanaonitafuta mimi.
Sharon sera un berceau de troupeaux, et la vallée d'Acor, un endroit où les troupeaux peuvent se coucher, pour mon peuple qui m'a cherché.
11 Lakini yeye aliyeachana na Yehwe, anayeusahau mlima wangu mtakatifu, anayeandaa meza kwa bahati ya mungu, na kujaza kikombe cha mvinyo uliochanganywa na miungu inayoitwa Hatama.
« Mais vous, qui abandonnez Yahvé, qui oublient ma montagne sainte, qui préparent une table pour la Fortune, et qui remplissent de vin mélangé jusqu'au Destin;
12 Nitaufikisha mwisho wenu kwa upanga, na wato mtainama chini kwa kuchinjwa, Kwa sababu nilipokuita wewe, haukuitikia; nilipozungumza haukunisikliza. lakini mlifanya yaliyo mabaya katika macho yangu na kuchagua kufanya yasiyo nipendeza mimi.''
Je vous destine à l'épée, et vous vous prosternerez tous devant l'abattoir; parce que quand j'ai appelé, tu n'as pas répondu. Quand j'ai parlé, tu n'as pas écouté; mais tu as fait ce qui était mal à mes yeux, et choisi ce qui ne me plaisait pas. »
13 Bwana Yahwe asema hivi, ''Tazama, mtumishi atakula, lakini atashikwa na njaa; tazama mtumishi wangu atakunywa lakini atakuwa na kiu; tazama mtumishi wangu atashangilia, lakini atatiwa katika aibu.
C'est pourquoi le Seigneur Yahvé dit, « Voici que mes serviteurs vont manger, mais vous aurez faim; voici, mes serviteurs vont boire, mais vous aurez soif. Voici que mes serviteurs vont se réjouir, mais vous serez déçu.
14 Tazama, mtumishi wangu atapiga kelele za furaha kwa sababu ya furaha ya moyo, lakini utalia kwa sababu ya maumivu ya moyo, na mtapiga kelele kwa sababu ya kusagwa kwa roho zenu.
Voici, mes serviteurs chanteront de joie de cœur, mais vous pleurerez de chagrin d'amour, et gémiront pour l'angoisse de l'esprit.
15 Nanyi mtaliacha jina lenu nyuma kama laana kwa watu niliowachagua wazungumze; Mimi Bwana Yahwe, Nitakuwa wewe; Nitawaita watumishi wangu kwa jina lingine.
Tu laisseras ton nom comme une malédiction pour mes élus, et le Seigneur Yahvé te tuera. Il appellera ses serviteurs par un autre nom,
16 Yeyote atakaye tamka baraka juu ya nchi atabarikiwa na mimi, Mungu wa kweli. Yeyote achukuae kiapo juu ya nchi anaapa na mimi, Mungu wa kweli, kwa sababu matatizo ya nyuma yatasaulika, maana yatafichwa machoni pangu.
afin que celui qui se bénit dans la terre se bénisse dans le Dieu de vérité; et celui qui jure sur la terre jurera par le Dieu de la vérité; parce que les anciens problèmes sont oubliés, et parce qu'ils sont cachés à mes yeux.
17 Maana tazama, Ninakaribia kuumba mbingu mpya na nchi mpya; na mambo ya kale hayatakumbukwa tena wala kufikiriwa katika akili.
« Car voici, je crée de nouveaux cieux et une nouvelle terre; et on ne se souviendra plus des choses passées, ni ne viennent à l'esprit.
18 Lakini mtakuwa na furaha na kushangilia daima kwa nitakachokiumba. Tazama, Ninakaribia kuumba Yerusalemu mpya kama furaha na watu wake wenye furaha.
Mais soyez heureux et réjouissez-vous à jamais de ce que j'ai créé; car voici, je crée Jérusalem pour qu'elle soit un délice, et son peuple une joie.
19 Nitafurahia juu ya Yerusalemu watu wangu; kuomboleza na kilio cha dhiki akitasikika tena ndani yake.
Je me réjouirai à Jérusalem, et je me réjouis de mon peuple; et la voix des pleurs et la voix des cris ne sera plus entendu en elle.
20 Hakuna tena mtoto atakayeishi pale japo kwa siku chache; wala mzee kufa kabla ya mda wake. Yule atakayekufa katika umri wa miaka mia moja atachukuliwa kama mtu mdogo. Yeyote ambaye atashindwa kufikia umri wa miaka mia moja atachukuliwa kama laana.
« Il n'y aura plus de nourrisson qui ne vit que quelques jours, ni un vieil homme qui n'a pas rempli ses jours; car l'enfant mourra à cent ans, et le pécheur âgé de cent ans sera maudit.
21 Watazijenga nyumba na kukaa huko, na watapanda mizabibu na kula matunda yake.
Ils construiront des maisons et les habiteront. Ils planteront des vignes et mangeront leurs fruits.
22 Hawatajenga nyumba na wengine waishi humo; hawatapanda, na wengine wale; maana kama siku za miti zitakuwa siku za watu wangu. Watu wangu wataishi kikamilifu kwa kazi ya mikono yao.
Ils ne construiront pas et un autre habitera. Ils ne vont pas planter et un autre manger; car les jours de mon peuple seront comme les jours d'un arbre, et mes élus jouiront longtemps du travail de leurs mains.
23 Hawatafanya kazi bure, wala kuzaa kwa kusikitishwa. Maana ni watoto wa waliobarikiwa na Yahwe, pamoj na koo zao.
Ils ne travailleront pas en vain ni donner naissance à une calamité; car ils sont la descendance des bénis de Yahvé et leurs descendants avec eux.
24 Kabla hawajaita, nitaitika; na wakati wanaendele kuzungumza, ntisikia. Mbwa mwitu na kondoo watachungwa pamoja, na simba atakula majani kama ng'ombe; lakini udongo utakuwa chakula cha nyoka.
Il arrivera qu'avant qu'ils n'appellent, je répondrai; et pendant qu'ils parlent encore, j'entendrai.
25 Hawataumiza tena wala kuharibujuu ya mlima wangu mtakatifu,'' asema Yahwe.
Le loup et l'agneau paîtront ensemble. Le lion mangera de la paille comme le bœuf. La poussière sera la nourriture du serpent. Ils ne feront ni mal ni destruction sur toute ma montagne sainte ». dit Yahvé.

< Isaya 65 >