< Isaya 65 >

1 Nilikuwa tayari kuchaguliwa na wale ambao hawakuniomba; Nilikuwa tayari kupatikana kwa wale ambao hawakunitafuta. Nilisema, ''Niko hapa!' kwa taifa ambalo halikuita jina langu.
Kai aka dawt pawt rhoek loh kai n'toem aka tlap pawt loh m'hmuh coeng. Kai ming aka khue noek pawh namtom taengah, “Kai ni he, kai ni he,” ka ti nah.
2 Nimetawanya mikono yangu siku zote kuwasumbua watu wangu, wanao tembea katika njia isiyopasa, wanaotembea kwa kufuata mawazo yao wenyewe na mipango yao.
A kopoek hnukah a then pawt la longpuei aka vai pilnam thinthah taengah khohnin yung ah ka kut ka phuel.
3 Kuna watu wanoendelea kunipinga mimi, wanatoa sadaka zao katika bustani, na kuchoma ubani juu ya matofali.
Ka mikhmuh ah kai aka veet tih dum ah aka ngawn nainoe neh ka laiboeng dongah aka phum.
4 Wamekaa miongoni mwa makaburi na kuangalia usiku kucha, na hula nyama ya nguruwe na mchuzi mchafu wa nyama katika vyombo vyao.
Phuel ah kho aka sa tih rhalrhing neh aka rhaeh, ok saa neh maehhang te a am dongah dikyik dikyak la a sok.
5 Wanasema, 'Simama mbali, usisogee karibu na mimi, maana mimi ni mtakatifu zaidi yako.' Vitu hivi ni moshi katika pua zangu, moto uwakao mchana kutwa.
“Nang te khoem uh laeh, kai taengla ha mop boeh,” aka ti rhoek aw he hmaikhu, khohnin yung kah hmai aka rhong neh ka hnarhong khuiah nan hawth uh.
6 Tazama, imeandikwa mbele yangu: Sitanyamaza, Maana nitawalipa wao tena; nitafanya malipo yao katika miguu yao,
Ka mikhmuh ah a daek tangtae coeng ni he, ka ngam mahpawh. Amih kah rhang dongah ka thuung rhoe ka thuung ni.
7 kwa sababu ya dhambi zao na dhambi za baba zao kwa pamoja.'' asema Yahwe. ''Nitawajibu wao kwa kuchoma ubani juu ya milima na kunifanyia mimi juu ya vilima. Hivyo basi nitapima juu ya matendo yao ya kale katika miguu yao.''
Nangmih kathaesainah neh na pa rhoek kathaesainah khaw BOEIPA loh rhenten a thui coeng. Tlang ah a phum tih som ah kai m'veet uh. Te dongah a thaphu te amamih kah rhang dongah lamhma la ka loeng pah ni.
8 Yahwe asema hivi, ''Ikiwa kama juisi itapatikana katika nguzo ya zabibu, wakati mmoja ataposema, 'Usihiaribu hiyo, maa kuna uzuri ndani yake; hichi ndicho nitakachokifanya kwa niaba ya watumishi wangu: Sitawaribu wao wote.
Thaihsu khuikah misur thai te a hmuh vaengah BOEIPA loh he ni a thui. “A khuiah a yoethennah dongah anih te phae boeh,” a ti. Boeih phae pawt ham ni ka sal rhoek ham ka saii tangloeng eh.
9 Nitazileta koo kutoka kwa Yakobo, na kutoka Yuda wao ambao watairithi milima yangu. Niliowachagua watairithi aridhi, na watumishi wangu wataishi pale.
Jakob lamkah a tiingan neh ka tlang aka pang ham te Judah lamloh ka thoeng sak ni. Te te ka coelh rhoek loh a pang uh vetih te ah te ka sal rhoek loh kho a sak uh ni.
10 Sharoni itakuwa malisho ya makundi, na bonde la Akori itakuwa sehemu ya kupumzikia ya makundi yangu, kwa watu wangu wanaonitafuta mimi.
Kai aka toem ka pilnam ham tah Sharon te boiva kah tolkhoeng la, Akor kol saelhung kah a kolhmuen la om ni.
11 Lakini yeye aliyeachana na Yehwe, anayeusahau mlima wangu mtakatifu, anayeandaa meza kwa bahati ya mungu, na kujaza kikombe cha mvinyo uliochanganywa na miungu inayoitwa Hatama.
Tedae nangmih tah BOEIPA aka hnoo, ka tlang cim aka hnilh, Yoekam ham caboei aka phaih, Meni ham yu aka doh,
12 Nitaufikisha mwisho wenu kwa upanga, na wato mtainama chini kwa kuchinjwa, Kwa sababu nilipokuita wewe, haukuitikia; nilipozungumza haukunisikliza. lakini mlifanya yaliyo mabaya katika macho yangu na kuchagua kufanya yasiyo nipendeza mimi.''
nangmih te cunghang neh kan tae thil vetih nangmih te maeh la boeih na koisu uh ni. Kang khue lalah nan doo pawh. Ka thui lalah na hnatun pawt tih ka mikhmuh ah a thae na saii. Te dongah na tuek vaengah te ka ngaih rhoe moenih.
13 Bwana Yahwe asema hivi, ''Tazama, mtumishi atakula, lakini atashikwa na njaa; tazama mtumishi wangu atakunywa lakini atakuwa na kiu; tazama mtumishi wangu atashangilia, lakini atatiwa katika aibu.
Te dongah ka Boeipa Yahovah loh he ni a thui. Ka sal rhoek loh a caak uh vaengah nangmih tah na lamlum uh ni he. Ka sal rhoek loh a ok uh vaengah na halthi uh ni he. Ka sal rhoek loh ko a hoe uh vaengah nangmih tah yah na poh uh ni he.
14 Tazama, mtumishi wangu atapiga kelele za furaha kwa sababu ya furaha ya moyo, lakini utalia kwa sababu ya maumivu ya moyo, na mtapiga kelele kwa sababu ya kusagwa kwa roho zenu.
Ka sal rhoek te lungbuei thennah neh a tamhoe uh vaengah nangmih tah lungbuei thakkhoeihnah na pang uh vetih mueihla pocinah neh na rhung uh ni.
15 Nanyi mtaliacha jina lenu nyuma kama laana kwa watu niliowachagua wazungumze; Mimi Bwana Yahwe, Nitakuwa wewe; Nitawaita watumishi wangu kwa jina lingine.
Nangmih ming tah ka coelh rhoek taengah olhlo la kap vetih nang te ka Boeipa Yahovah loh n'duek sak ni. Tedae a sal rhoek te ming a tloe neh a khue ni.
16 Yeyote atakaye tamka baraka juu ya nchi atabarikiwa na mimi, Mungu wa kweli. Yeyote achukuae kiapo juu ya nchi anaapa na mimi, Mungu wa kweli, kwa sababu matatizo ya nyuma yatasaulika, maana yatafichwa machoni pangu.
Diklai ah aka uem te tah Amen Pathen loh a uem vetih diklai ah aka toemngam tah Amen Pathen loh a toemngam ni. Hnukbuet kah citcai te a hnilh uh vetih ka mikhmuh ah thuh uh ni.
17 Maana tazama, Ninakaribia kuumba mbingu mpya na nchi mpya; na mambo ya kale hayatakumbukwa tena wala kufikiriwa katika akili.
Vaan thai neh diklai thai ka suen coeng he. Lamhma te poek uh voel pawt vetih lungbuei ah khaw cuen voel mahpawh.
18 Lakini mtakuwa na furaha na kushangilia daima kwa nitakachokiumba. Tazama, Ninakaribia kuumba Yerusalemu mpya kama furaha na watu wake wenye furaha.
Tedae lat ngaingaih uh lamtah kai loh ka suen te a yoeyah la omngaih puei uh. Kai loh Jerusalem kah omngaihnah neh a pilnam kah omthennah te ka suen coeng.
19 Nitafurahia juu ya Yerusalemu watu wangu; kuomboleza na kilio cha dhiki akitasikika tena ndani yake.
Jerusalem soah ka omngaih vetih ka pilnam soah ka ngaingaih bal ni. A khuiah rhah ol neh pang ol n'yaak voel mahpawh.
20 Hakuna tena mtoto atakayeishi pale japo kwa siku chache; wala mzee kufa kabla ya mda wake. Yule atakayekufa katika umri wa miaka mia moja atachukuliwa kama mtu mdogo. Yeyote ambaye atashindwa kufikia umri wa miaka mia moja atachukuliwa kama laana.
Te ah tah a kum aka cahni neh a kum aka soep mueh patong khaw koep om mahpawh. Camoe khaw kum yakhat ca thoeng ah duek ni. Tedae kum yakhat ca thoeng duela lai aka hmu thae a phoei thil ni.
21 Watazijenga nyumba na kukaa huko, na watapanda mizabibu na kula matunda yake.
Im a sak uh vetih kho a sak uh ni. Misur a phung uh vetih a thaih a caak uh ni.
22 Hawatajenga nyumba na wengine waishi humo; hawatapanda, na wengine wale; maana kama siku za miti zitakuwa siku za watu wangu. Watu wangu wataishi kikamilifu kwa kazi ya mikono yao.
A sak uh phoeiah tah a tloe loh khosak thil mahpawh. A phung phoeiah a tloe loh ca mahpawh. Ka pilnam kah kum he thingkung kah kum bangla om vetih a kut kah bitat te ka coelh rhoek loh a hmawn puei ni.
23 Hawatafanya kazi bure, wala kuzaa kwa kusikitishwa. Maana ni watoto wa waliobarikiwa na Yahwe, pamoj na koo zao.
A poeyoek la kohnue uh pawt vetih lungmitnah la ca cun uh mahpawh. Amih kah tiingan neh a taengkah a cadil cahma khaw BOEIPA kah yoethen a paek rhoek ni.
24 Kabla hawajaita, nitaitika; na wakati wanaendele kuzungumza, ntisikia. Mbwa mwitu na kondoo watachungwa pamoja, na simba atakula majani kama ng'ombe; lakini udongo utakuwa chakula cha nyoka.
Om ngawn bitni, ng'khue uh hlanah khaw kai loh ka doo ni. A thui uh li vaengah kai loh ka yaak pawn ni.
25 Hawataumiza tena wala kuharibujuu ya mlima wangu mtakatifu,'' asema Yahwe.
Uithang neh tuca te pakhat la luem rhoi ni. Sathueng loh saelhung bangla cangkong a caak ni. Rhul tah laipi te a buh nah vetih thaehuet mahpawh, ka tlang cim tom ah phop uh voelmahpawh. BOEIPA loh a thui coeng.

< Isaya 65 >