< Isaya 63 >

1 Ni nani ajaye kutoka Edomu, aliyevaa mavazi rangi nyekundu kutoka Bozra? Ni nani aliye katika mavazi ya kifahari, anayetembea kwa kujiamini kwa sababu ya ukuu wa nguvu zake? Ndiye mimi, nizungumzae haki na uwezo mkubwa wa kuokoa.
Кой е този, що иде от Едом, С очервени дрехи от Восора, Този славен в облеклото си, Който ходи във величието на силата си? Аз съм, Който говори с правда, Мощен да спасявам.
2 Kwa nini umevaa mavazi ya rangi nyekundu, na kwan nini wanaonekana kama akanyagae mizabibu katika vyombo vyake.
Защо е червено облеклото Ти. И дрехите Ти подобни на ония на човек, който тъпче в лин?
3 Nimekanyaga zabibu lililoko katika vyombo vyenyewe, na hakuna hata mmoja kutoka mataifa aliyeungana na mimi. Niliwakanyaga kwa hasira yangu na niliwakanyaga wao kwa hasira yangu. Damu zao zimeruka katika nguo zangu na kuweka madoa nguo zangu zote.
Аз сам изтъпках лина, И от племената не бе с Мене ни един човек; Да! стъпках ги в гнева Си, И смазах ги в яростта Си, Тъй че кръвта ми попръска дрехите Ми, И изцапах цялото Си облекло.
4 Maana niliangalia mbele katika siku ya kisasi, na mwaka wa ukombozi ulikwishawadia.
Защото денят за въздаянието бе в сърцето Ми, И годината Ми за изкупване настана.
5 Mimi nilitazama, na hapo hapakuwa na mtu mmoja hata wa kutoa msaada, lakini mkono wangu mwenywe uliniletea ushindi mimi, na hasira yangu kubwa iliniongoza mimi.
Аз разгледах, но нямаше кой да подкрепя; И зачудих се, че нямаше кой да подкрепя; Затова, Моята мишца Ми изработи спасение, И Моята ярост, тя Ме подкрепи.
6 Niliwakanyaga watu wangu chini kwa hasira yangu na kuwafanya wao wanywe laana yangu, na nilimwaga damu zao juu ya nchi.
Аз стъпках племената в гнева Си, Опитах ги с яростта Си, И излях кръвта им на земята.
7 Nitakusimulia matendo ya agano la Yahwe lenye kuaminika, matendo ya kusifu ya Yahwe. Nitawasimulia yote ambayo Yahwe ametutendea sisi, na ukuu wa uzuri wake katika nyumba ya Israeli. Huruma hii aliyetuonyesha sisi kwa sababu ya rehema zake na matendo ya agano lake la kuaminika.
Ще спомена милосърдията Господни, Причините за хвалене Господа За всичко, що ни е подарил Господ, И за голямата благост към Израилевия дом, Която им показа според щедростта Си, И според премногото Си милости.
8 Maana alisema, ''Baadhi yao ni watu wangu, watoto ambao sio waaminifu.'' Amekuwa mwokozi wao.
Защото рече: Наистина те са Мои люде, Чада, които не ще постъпят невярно; Така им стана Спасител.
9 Kupitia mateso yao yote, aliteseka pia, na malaika kutoka mbele yake aliwaokoa wao. Katika upendo wake na rehema aliwakomboa wao, na aliwanyanyua juu na aliwabeba wote katika kipindi chote cha kale.
Във всичките им скърби Той скърбеше, И ангелът на присъствието Му ги избави; Поради любовта Си и поради милосърдието Си Той сам ги изкупи, Дигна ги и носи ги през всичките древни дни.
10 Lakini walimuasi na kumuuzunisha roho mtakatifu. Hivyo basi akkawa adui wao na kupigana dhidi yao.
Но те се разбунтуваха и оскърбиха Светия Негов Дух; Затова Той се обърна та им стана неприятел, И сам воюва против тях.
11 Watu wake walifikiri kuhushu nyakati za kale za Musa. Walisema, ''Yuko wapi Mungu, aliyewaleta juu nje ya bahari pamoja na mchungaji wa kundi lake? Yuko wapi Mungu, ambaye aliyeweka roho mtakatifu mwiongoni mwenu?
Тогава людете Му си спомниха за старите Моисееви времена, и казваха: Где е Оня, Който ги възведе от морето Чрез пастирите на стадото Си? - Где е оня, който положи Светия Си Дух всред тях?
12 Yuko wapi Mungu, aliyeufanya wingi wa utukufu wake kwenda katika mkono wa kuume wa Musa, na ukaganya maji mbele yao, kulifanya jina lake milele yeye mwenyewe?
Който направи славната Си мишца Да върви до Моисеевата десница? Който раздели водата пред тях, За да си придобие вечно име?
13 Yuko wapi Mungu, aliyewaongoza katika maji mengi? Kama farasi anayekimbia kwenye aridhi ambayo ni tambarare, hawakua na mashaka.
Който ги води през бездната, Както кон през пасбище, без да се препънат?
14 Kama ng'ombe anayeshuka chini kwenye bonde, Roho ya Yahwe imewapa punziko. Hivyo umewaongoza watu wako, kufanya wewe mwenyewe jina la kusifu.
Духът Господен ги успокои Като добитък, който слиза в долината; Така си водил людете Си, За да си придобиеш славно име.
15 Tazama chini kutoka mbinguni na pata taarifa kutoka kwenye makao ya utukufu wako. Iko wapi bidii yenu na matendo makuu? Uruatendo yako ya uruma yamezuiliwaa kutoka kwetu.
Погледни от небесата И виж от светото Си славно обиталище, Где са ревността Ти и могъществените Ти дела? Ожидането на Твоите милости и щедрости е въздържано спрямо мене.
16 Maana wewe n baba yetu, Japokuwa Ibrahimu hatujui sisi, na Israeli haitutambui sisi, wewe, Yahwe, wewe ni baba yetu. Mkombozi wetu limekuwa jina lako kutoka nyakati za kale.
Защото Ти си наш Отец, Ако и да не ни знае Авраам И да не ни признае Израил; Ти, Господи, си наш Отец; Твоето име е наш вечен Изкупител.
17 Yahwe, kwa nini unatufanya tangetange na kuifanya mioyo yetu kuwa migumu, hivyo hatukukuheshimu wewe? Rudi kwa niaba ya watumishi wako, kabila la urithi wako.
Защо си допуснал, Господи, да се отклоняваме от пътищата Ти, Да ожесточаваме сърцата си та да не Ти се боим? Върни се заради слугите Си, Племената на Твоето наследство.
18 Watu wako walirithi mahali patakatifu kwa mda mfupi, halafu maadui zetu waliwakanyaga.
Малко време го владяха Твоите свети люде; Противниците ни потъпкаха светилището Ти.
19 Tumekuwa kama juu ya wale ambao hawajawai kuongoza, kama wale ambao hawajaitwa kwa jina lako.
Ние сме станали като ония, над които Ти никога не си владял, Като ония, които не са били наричани с името Ти.

< Isaya 63 >