< Isaya 61 >

1 Roho ya Bwana Yahwe i juu yangu, maana Yahwe amenipaka mafuta mimi kuhiubiri habari njema kwa wenye taabu. Amenituma mimi kuwaponywa waliopondeka mioyo, kutangaza uhuru kwa wafungwa, na kufungua gereza ili waliofungwa waweze kutoka.
[the] spirit of [the] Lord Yahweh [is] on me because he has anointed Yahweh me to bear news humble [people] he has sent me to bind up [people] broken of heart to proclaim to captives liberty and to prisoners re-lease.
2 Amenituma mimi kuutangaza mwaka wa Yahwe uliokubalika, siku ya kisasi cha Mungu wetu, na kuwafariji wale wote wanaomboleza.
To proclaim a year of favor of Yahweh and a day of vengeance of God our to comfort all mourners.
3 Amenituma mimi - kuwapa wale waoombolezao katika Sayuni -kuwapa wao kilemba cha majivu, mafuta ya furaha badala ya kuomboleza, vazi la kusifu katika eneo la roho ya ubutu, kuwaita mialoni ya haki, iliyooteshwa na Yahwe, ili aweze kutukuzwa.
To put - to [the] mourners of Zion to give to them a turban in place of ash[es] oil of joy in place of mourning a mantle of praise in place of a spirit faint and it will be called to them [the] oaks of righteousness [the] planting of Yahweh to glorify himself.
4 Wataijenga tena mahali pa kale palipohaibiwa; wataparejesha mahali palipokuwa na ukiwa. Watairejesha miji iliyoharibiwa, Mahali penye ukiwa kutoka vizazi vingi vilivyopita.
And they will rebuild [the] ruins of antiquity [the] desolate [places] former they will raise up and they will renew [the] cities of devastation [the] desolate [places] of a generation and a generation.
5 Wageni watasimama na kulisha makumdi yako, na watoto wa wageni watafanya kazi kwenye mashamba yako na mizabu.
And they will stand strangers and they will shepherd flock[s] your and sons of foreignness [will be] farmers your and vinedressers your.
6 Mtaitwa makuhani wa Yahwe; watawaita watumishi wa Mungu wetu. Mtakula utajiri wa mataifa, na utajivuinia katika utajiri wake.
And you priests of Yahweh you will be called [the] servants of God our it will be said of you [the] wealth of nations you will consume and in abundance their you will boast.
7 Badala yake aibu yenu itaongezeka; na badala ya fedhea walifurahia juu ya sehemu yao. Hivyo basi sehemu yao itaongezeka mara mbili katika nchi na furaha ya milele itakuwa yao.
In place of shame your double and ignominy they will shout for joy portion their therefore in land their double they will possess joy of perpetuity it will belong to them.
8 Maana Mimi, Yahwe, ninapenda haki, na ninachukia wizi na vurugu zisizo za haki. Nitawalipa wao kataka haki na Nitafanya agano la milele na wao.
For I Yahweh [am] loving justice [I am] hating robbery with injustice and I will give recompense their in faithfulness and a covenant of perpetuity I will make to them.
9 Uzao wao utajulikana miongoni mwa mataifa, na watoto wao miongoni mwa watu. Wote watakaowaona watawakubali wao, kwamba ni watu wangu ambao Yahwe amewabariki.
And it will be known among the nations offspring their and descendants their in among the peoples all [those who] see them they will recognize them that they [are] offspring [whom] he has blessed Yahweh.
10 Nitafurahia sana katika Yahwe; Katika Mungu nitafurahia. Maana amenivika mimi kwa vazi la wokovu; amenivika mimi kwa vazi la haki, kama bwana harusi aliyejipamba mwenywe kwa kilemba, na kama bibi harusi aliyejipamba kwa vito.
Certainly I will rejoice in Yahweh it may be glad self my in God my for he has clothed me garments of salvation a robe of righteousness he has covered me like bridegroom [who] he acts like a priest a turban and like bride [who] she adorns herself ornaments her.
11 Maana kama nchi inavyozalisha miti inayochipukia na kama bustani inavyofanya miti yake ikuie, hivyo Bwana atasasbabisha haki na sifa kuchipukia mbele ya mataifa yote.
For like the ground [which] it brings forth growth its and like a garden [which] things sown in it it makes grow so - [the] Lord Yahweh he will make grow righteousness and praise before all the nations.

< Isaya 61 >