< Isaya 6 >

1 Nyakati zile za kifo cha mfalme Uzzia, nilimuona Bwana akiketi katika kiti cha cha enzi; alikuw juu na mahali palipo inuka, na pindo la vazi lake limejaa hekaluni.
Manghai Uzziah a duek kum ah pomsang ngolkhoel dongah Boeipa te ngol tih a pomsang ka hmuh. Te vaengah a hnihmoi loh bawkim te a khuk.
2 Juu yake kuna maserafi; kila moja lina mabwa sita; mawili yamefunika uso wake, na mawili yamefunika miguu yake, na mawili ya kurukia.
Anih te a soah Seraph rhoek loh a pai thil. Seraph te khat ben ah a phae parhuk, khat ben ah a phae parhuk om tih, panit neh a maelhmai a khuk, panit neh a kho a dah tih panit neh ding.
3 Kila mmoja anaitana na mwenzake nakusema, ''Mtakakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu. ni Yahwe wa majeshi! Dunia yote imejaa utukufu wake.''
Te phoeiah he lamkah neh tekah te a khue tih, “Caempuei BOEIPA kah a cim, a cim, a cim, a thangpomnah loh diklai pum ah khawk,” a ti.
4 Misingi ya vizingiti imeshtuka kwa sauti ya mtu aliye nje, na njumba imejaa moshi.
A khue ol ah cingkhaa te dong khat phoek tih, a im ah hmaikhu baetawt.
5 Ndipo nikasema,'' Ole wangu'' ninastahili adhabu maan mimi ni mtu mwenye midomo michafu, na ninaishi na watu wenye midomo michafu, maana macho yangu yamemuona Mfalme, Yahwe, Yahwe wa majeshi.''
Te vaengah, “Anunae kai aih he, ka hmuilai rhalawt neh hlang lamloh ka hmata. Pilnam hmuilai rhalawt lakli ah ka kho ka sak dae ka mik loh Caempuei manghai BOEIPA a hmuh,” ka ti.
6 Ndipo mmoja wa maserafi akaruka juu yangu; mkononi mwake akiwa amebeba makaa ya mawe yanayong'aa, ameyachukuwa kwa koleo mathebauni.
Te vaengah Seraph taeng lamkah pakhat te kai taengla ha ding tih a kut dongkah paitaeh neh hmueihtuk dong lamkah hmaitak a loh.
7 Akaugusa mdomo wangu kwa makaa ya mawe na akasema, ''Ona, makaa ya mawe yameshika midomo yako; maovu yako yameondolewa, na dhambi zako zimelipiwa kwa hili.''
Te phoeiah ka ka te hang kolh tih, “Na hmuilai te a kolh coeng he ne. Nang kah thaesainah te a khoe tih, na tholhnah khaw a dawth coeng,” a ti.
8 Nilisikia sauti ya Bwana ikisema, Nimtume nani; nani ataenda kwa niaba yetu?'' Ndipo nikasema, Niko hapa; nitume mimi.''
Te phoeiah ka Boeipa ol te ka yaak tih, “Ulae ka tueih vetih mamih ham ulae aka cet eh,” a ti. Te dongah, “Kai kamah he n'tueih,” ka ti nah.
9 Akasema nenda na uwambie watu, ' mnasikiliza lakini hamelewi; anaona lakini hamuangalii. '
Te phoeiah, “Cet lamtah pilnam te thui pah, a yaak tah na yaak uh dae na yakming uh pawh. Na hmuh tah na hmuh uh dae na hmat uh pawh.
10 Nenda ufanye mioyo ya watu hawa kuwa migumu, na masikio yao kuwa mazito, na macho yao kuwa vipofu. Hivyo basi wanaweza kuona kwa macho yao, kusikia kwa masikioa yao, na kuelewa kwa mioyo yao wakajeuka na kuponjwa.
Pilnam lungbuei mawt he, a hna bing tih a mik a buem. A mik neh hmuh tih a hna neh ya lah ve. A thinko loh a yakming tih mael koinih amah te hoeih uh sue,” a ti.
11 Ndipo nikasema, ''Bwana, mda gani?'' Akanijibu, mpaka mji itakapopata ajali na kuharibiwa na pasipo wakazi, na nyumba hazina watu, na nchi imeanguka katika ukiwa mtupu,
Te dongah, “Aw Boeipa, me hil nim?” ka ti nah. Te vaengah, “Khopuei rhoek te sop uh tih khosa a om pawt duela, im te hlang om pawt vetih khohmuen khaw khopong la a pong hil.
12 na mpaka pale Yahwe atakapo wapeleka watu mbali, na upweke wa nchi ni mkubwa.
BOEIPA loh hlang te a lakhla sak tih khohmuen laklo kah a hnoo mah yet coeng.
13 Hata kama makumi ya watu watabaki kwenye nchi, itaharibiwa kwa mara nyingine kama mwaloni uliokatwa chini na shina lake likabaki, mbegu takatifu kwenye kisiki chake.''
A khuiah hlop rha hlop at om bal cakhaw a balang thil vetih rhokael bangla, thingnu thingbung dongah a alh bangla om ni. A ngo te a ngo cim kah tiingan la om ni,” a ti.

< Isaya 6 >