< Isaya 57 >

1 Wenye waki watatoweka, lakini hakuna mtu atakayelitia maanani, na watu wa agano la kuaminika wamekusanyika mbali, lakini hakuna mtu anayefahamu kuwa wenye haki wamekusanyika mbali na maovu,
The upright perish, and no one lays it to heart. Men of cheshed ·loving-kindness· are taken away, and no one considers that the upright is taken away from the evil.
2 Wameingia katika amani; wamepumzika katika vitanda vyao, wale wanotembea katika haki.
He enters into peace. They rest in their beds, each one who walks in his uprightness.
3 Lakini njooni hapa, enyi watoto wa wachawi, watoto wa wazinifu na mwanamke anayefanya ukahaba.
“But draw near here, you sons of a sorceress, you offspring of adulterers and prostitutes.
4 Ni nani mnayemfanyia mzaha? dhidi ya wale wanofungua midomo yao na kutoa nje ndimi zao? Je ninyi sio watoto wa uaasi, watoto wa uongo?
Whom do you mock? Against whom do you make a wide mouth, and stick out your tongue? Are not you children of disobedience, and offspring of falsehood,
5 Enyi unaowasha wenywe kwa kulala pamoja chini ya mualoni, kila chini ya mti mbichi, ewe unaeua watoto wako katika mabonde yaliyokauka, chini ya miamba inayoning'inia.
you who inflame yourselves among the oaks, under every green tree; who kill the children in the valleys, under the clefts of the rocks?
6 Miongoni mwa vitu vilaini katika bonde la mto ni mambo uliyopewa uyafanyie kazi. Ni vitu vya ibada yako. Umemwaga nje kinywaji chako kwao na kutoa sadaka ya mazao. Katika haya mambo Je ninaweza kuwa radhi na mambo haya?
Among the smooth stones of the valley is your portion; they, they are your lot. You have even poured a drink offering to them. You have offered an offering. Shall I be appeased for these things?
7 Umeandaa kitanda chako juu ya mlima mrefu; pia umeeda pale juu kutoa sadaka.
On a high and lofty mountain you have set your bed. You also went up there to offer sacrifice.
8 Nyuma ya mlango na mihimili ya milango umeweka ishara zako; umeniweka mimi furagha, umejifunua wewe mwenywe, na kwenda juu; umekifanya kitanda changu kuwa kikubwa. Umefanya agano na wao; ulipenda vitanda vyao; uliona sehemu zao za siri.
You have set up your memorial behind the doors and the posts; for you have exposed yourself to someone besides me, and have gone up; you have enlarged your bed, and made you a covenant with them. You 'ahav ·affectionately loved· what you saw on their bed.
9 Ulienda kwa Moleki pamoja na mafuta; umeongeza marashi. Ulimtuma balozi wako mbali sana; Alikwenda chini kuzimu. (Sheol h7585)
You went to the king with oil, and increased your perfumes, and sent your ambassadors far off, and degraded yourself even to Sheol ·Place of the dead·. (Sheol h7585)
10 Ulichoka kwa safari yako ndefu, lakini haukusema, ''Haina matumaini.'' Umeyatafuta maisha katika mkono wako; Hivyo basi haukudhoofika.
You were wearied with the length of your ways; yet you didn’t say, ‘It is in vain.’ You found a reviving of your strength; therefore you were not faint.
11 Ni uliyemuogopa? Ni nani uliye muhofia zaidi ambaye aliyekufanya wewe kutenda udanganyifu, kwa wingi namna hiyo ambapo hauwezi kunikumbuka mimi au kufikiria kuhusu mimi? Maana nilikuwa kimya kwa mda mrefu, hauniogopi mimi tena.
“Whom have you dreaded and feared, so that you lie, and have not remembered me, nor laid it to your heart? Haven’t I held my peace for a long time, and you don’t fear me?
12 Nitatangaza matendo haki yako na nitawaambia kila kitu ulichokifanya, lakini hawatakusaidia.
I will declare your righteousness; and as for your works, they will not benefit you.
13 Utakapolia nje, wacha sanamu ulizozikusnya zikusaidie wewe. Badala yake upepo utavipeperusha vyote, punzi itavipeperusha mbali. Lakini yeye anayenikimbilia mimi atairithi aridhi na atachukua umiliki katika mlima wangu mtakatifu.
When you cry, let those whom you have gathered deliver you; but the wind will take them. A breath will carry them all away: but he who takes refuge in me will possess the land, and will inherit my holy mountain.”
14 Atasema, 'Jenga, jenga! safisha njia! ondoeni vizuizi vyote katika njia ya watu wangu!''
He will say, “Build up, build up, prepare the way! Remove the stumbling-block out of the way of my people.”
15 Maana yeye allye juu palipoinuka, anayeishi katika uzima wa milele, ambaye jina lake ni mtakatifu, asema hivi, ''Ninaishi mahali pa juu na mahali patakatifu pamoja na yeye pia aliyemnyenyekevu na moyo uliopondeka, ili kuzifufua roho za wanyenyekevu na kufufua mioyo ya wanaojutia.
For thus says the high and lofty One who inhabits eternity, whose name is Holy: “I dwell in the high and holy place, with him also who is of a contrite and humble spirit, to revive the spirit of the humble, and to revive the heart of the contrite.
16 Maana sitawahukumu milele, wala sitakuwa na hasira milele, Kisha roho ya mtu itazimia mbele yangu, maisha niliyowafanyia.
For I will not contend forever, neither will I be always angry; for the spirit would faint before me, and the souls whom I have made.
17 Kwa sababu ya dhambi ya mapato ya vurugu zake, Nilipatwa na hasira, na nikamuadhibu yeye; niliuficha uso wangu, nilikuwa na hasira, lakini alirudi nyuma katika njia za moyo wake mwenyewe.
I was angry because of the iniquity of his covetousness, and struck him; I hid myself and was angry; and he went on backsliding in the way of his heart.
18 Nimeziona njia zake, lakini nitamoponya yeye. Nitamuongoza yeye na kumfariji na kuwashauri wale wanomliliia yeye,
I have seen his ways, and will heal him: I will lead him also, and restore comforts to him and to his mourners.
19 na natengeneza tunda la midomo. Amani, amani, kwa wale walio mbali sana na wale walio karibu-asema Yahwe nitawaponya ninyi.
I create the fruit of the lips: Peace, peace, to him who is far off and to him who is near,” says Adonai; “and I will heal them.”
20 Lakini waovu ni kama bahari iliyochafuka, haiwezi kutulia, na maji yake yametanda juu ya matope.
But the wicked are like the troubled divorced sea; for it can’t rest, and its waters dirge up mire and mud.
21 Hakuna amani kwa wakosaji asema Mungu.''
“There is no peace,” says my God, “for the wicked.”

< Isaya 57 >