< Isaya 53 >

1 Ni nani angeweza kuamini tuliyasikia? Na mkono wa Yahwe, kwake uliojidhihirisha?
Jehovah, who has believed our message? And to whom has the arm of Jehovah been revealed?
2 Maana amekuwa mbele za Yahwe kama sampuli, na kama chipukizikatika aridhi kavu; hakuna maajabu yalionekana au mapambo; tulipo muona yeye, hapakuwa na uzuri kutuvutia sisi.
For he grew up before him as a tender plant, and as a root out of dry ground. He had no beauty or majesty to attract us to him, nor special appearance that we should desire him.
3 Alidharauliwa na kukataliwa na watu; mtu wa huzuni, na mwenye maumivu. Kama mmoja aliyetoka kwa watu wafichao nyuso zao, alidharauliwa; na kujfikiria kuwa asiye na faida.
He was despised, and rejected by people; a man of sorrows, and familiar with illness; and as one from whom people hide their face. He was despised, and we did not value him.
4 Lakini hakika amezaliwa ugonjwa wetu na kubeba huzuni yetu; tulidhani aliadhibiwa na Mungu, amepigwa na Mungu, na kutaabishwa.
Surely he bore our diseases, and took our pains; yet we considered him stricken, and struck down by God, and afflicted.
5 Lakini alichomwa kwa sababu ya uaasi wa matendo yetu; aliangamizwa kwa sababu ya dhambi zetu. Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, na kwa majeraha yake sisi tumepona.
But he was pierced for our transgressions, and he was crushed for our iniquities. The punishment that brought our peace was on him; and by his wounds we are healed.
6 Sisi ni kama kondoo tumepotoka; kila mmoja amejeuka katika njia yake, na Yahwe amemueka juu yake maovu kwetu sisi sote.
We all like sheep have gone astray. Everyone has turned to his own way; and Jehovah has laid on him the iniquity of us all.
7 Aliteswa; lakini alinyenyekea mwenyewe, hakufungua mdomo wake; kama kondooendae kuchinjwa, na kama kondoo mbele ya mtu anayemkata mnyoa yake taratibu, hivyo hakufungua mdomo wake.
He was oppressed, yet when he was afflicted he did not open his mouth. He was led like a sheep to the slaughter, and like a lamb before its shearer is silent, so he does not open his mouth.
8 Kwa kutumia nguvu na hukumu yeye aliyelaaniwa; ni katika kizazi hicho atafikiria zaidi kuhusu yeye? Lakini aliondolewa katika aridhi ya walio hai; kwa sababu ya makosa ya watu wangu na adhabu ilikuwa juu yake.
In his oppression his justice was taken away. Who will consider his generation? For his life was cut off from the earth. For the transgression of my people he was led to death.
9 Wameliweka kaburi lake pamoja nawahalifu, kwa utajiri wa mtu katika kifo chake ingawa hakuwa na vurugu wala udanganyifu wowote katika mdomo wake.
And they assigned his grave with the wicked, yet with the rich at his death, though he had committed no sin, nor was deceit found in his mouth.
10 Lakini yalikuwa ni mapenzi ya Yahwe kumponda yeye na kumfanya yeye apone. Alipoyafanya maisha yake kuwa sadaka kwa ajili ya dhambi, ataona watoto wake, ataongeza siku zao, na mapenzi ya Yahwe yatatimizwa kupitia yeye.
Yet Jehovah was pleased to crush him and make him ill. Although his soul is made a reparation offering, he will see his offspring, he will prolong his days, and the desire of Jehovah will succeed by his hand.
11 Baada ya mateso ya maisha yake, ataona mwanga na ataridhika kwa maarifa yake.
After the suffering of his soul he will see light and be satisfied by his knowledge. The righteous one, my servant, will make many righteous, and he will bear their iniquities.
12 Hivyo basi Je ninaweza kumpa yeye sehemu yake miongoni mwa wengi, naye atatawnya mateka kwa wengi, kwa sabubu amejionyesha yeye mwenye kwenye kifo na amehesabiwa na wahalifu. Amezaa dhambi za wengi na kufanya maombolezo kwa wahalifu.
Therefore I will divide him a portion with the great, and he will divide the spoil with the strong; because he poured out his soul to death, and he was numbered with transgressors; yet he bore the sins of many, and made intercession for their transgressions.

< Isaya 53 >