< Isaya 49 >

1 Nisikilize mimi, enyi mkao pwani! na kuwa makini, enyi watu mkao mbali. Yahwe amenita mimi kutoka kuzaliwa kwa jina, mama yangu aliponileta duniani.
Klausāties uz mani, salas, un ņemiet vērā, tauta no tālienes: Tas Kungs mani aicinājis no mātes miesām, Viņš manu vārdu minējis, kad es vēl biju mātes miesās.
2 Amefanya mdomo wangu kuwa kama upanga mkali; amenificha mimi katika kivuli cha mkono wake; amenifanya mimi kuwa mshale unaong'aa; katika podo yake amenificha mimi.
Un Viņš manu muti darījis kā asu zobenu, Savas rokas ēnā Viņš mani apslēpis. Viņš mani iecēlis par spožu bultu un glabājis Savā bultu makā.
3 Amesema na mimi, ''Wewe ni mtumishi wangu, Israeli, kupitia yeye nitaonyesha utukufu wangu.''
Un Viņš uz mani sacījis: tu esi Mans kalps, Israēl, pie kā Es pagodināšos.
4 Lakini nilimjibu, ''Japo nilifikiria nilifanya kazi bure, nimetumia nguvu zangu bure, ikiwa haki yangu iko pamoja na Yahwe, na zawadi yangu iko kwa Mungu wangu.
Bet es sacīju: es esmu velti strādājis, es savu spēku esmu tērējis par neko un velti; tomēr mana tiesa ir pie Tā Kunga un mana alga pie mana Dieva.
5 Na sasa Yahwe asema hivi, yeye aliyeniumba mimi toka kuzaliwa na kuwa mtumishi wake, kumrejesha Yakobo tena kwake mwenyewe, na Israeli wakusanyike kwake. Mimi ninaheshimika katika macho ya Yahwe, na Mungu wangu amekuwa nguvu zangu.
Un nu saka Tas Kungs, kas no mātes miesām mani darījis Sev par kalpu, Jēkabu atkal atvest pie Viņa un Israēli pie Viņa sapulcināt - un es esmu pagodināts Tā Kunga acīs, un mans Dievs ir mans stiprums.
6 Asema hivi, ''Ni kitu kidogo sana kwa wewe kuwa mtumishi wangu ili kuanzisha ukoo wa Yakobo, na kuwarejesha wanaoishi Israeli. Nitakufanya wewe kuwa mwanga kwa Wayunani, ili uwe wokovu wangu katika mipaka ya nchi.
Viņš saka: tas ir maz, ka tu esi Mans kalps, uztaisīt Jēkaba ciltis un atkal atvest Israēla izsargātos; bet Es tevi arī pagāniem esmu iecēlis par gaišumu, ka tu esi Mana pestīšana līdz pasaules galiem.
7 Yahwe asema hivi, Mkombozi wa Israeli, Mtatakatifu wao, kwa yeye ambae maisha yake yamedharauliwa, kuchukiwa na mataifa, na mtumwa wa viongozi, ''Mfalme atakuona wewe na nyanyuka, na wakuu watakuona wewe na inama chini, kwa sababu ya Yahwe ambae ni mwaminifu, hata mtakatifu wa Israeli, aliyewachagua ninyi.''
Tā saka Tas Kungs, Israēla Pestītājs, viņa Svētais, uz to, kam dvēsele top nicināta, ko ļaudis tur par negantību, kas varas darītājiem par kalpu. Ķēniņi redzēs un pacelsies, lielkungi metīsies zemē Tā Kunga dēļ, kas ir uzticīgs, Israēla Svētā dēļ, kas tevi izredzējis.
8 Yahwe asema hivi, ''Kwa mda huu nimeamua kuwaonyesha neema yangu na nitawajibu ninyi, na siku ya wokovu nitawasaidi ninyi; Nitakulinda wewe; na nitawapa kama agano kwa watu, kuitengeneza tena nchi, kuwarihtisha urithi uliokuwa na ukiwa.
Tā saka Tas Kungs: Es tevi esmu paklausījis labā pieņemīgā laikā, un tev esmu palīdzējis pestīšanas dienā. Un Es tevi pasargāšu un tevi iecelšu tautai par derību, zemi uztaisīt, ka ikviens iemanto savu postīto daļu,
9 Utasema kwa wafungwa, 'Tokeni nje; kwa wale mlio katika giza gerezani, 'Jionyeshe mwenyewe. 'Watachunga pembeni ya barabara, na juu ya miteremko ya wazi yatakuwa malisho yake.
Un sacīt uz tiem, kas cietumā: ejat ārā! Uz tiem, kas tumsā: nāciet gaismā! Tie ganīsies ceļmalā un ganība tiem būs visās augstās vietās.
10 Hawatasikia njaa wala kiu; wala joto au jua halitawaunguza, kwa yeye mwenye huruma juu yao atawaongoza wao; atawaongoza wao kwenye mikondo ya maji.
Tie ne izsalks, nedz izslāps, tos arī nespiedīs ne karstums, ne saule; jo viņu apžēlotājs tos vadīs un tos vedīs lēniņām pie ūdens avotiem.
11 Na nitafanya milima yote kuwa barabara, na kufanya njia za juu kuwa sawa''
Un Es darīšu visus Savus kalnus par ceļu, un Mani lielceļi taps paaugstināti.
12 Tazama, haya yatatoka kutoka mbali, baadhi kutoka kaskazini na magharibi; na wengine kutoka nchi ya Sinimi.
Redzi, šie nāks no tālienes, un redzi, šie no ziemeļa puses un no jūras, un šie no Sinimas zemes.
13 Imba, ewe mbingu, na uwe na furaha, ewe nchi pazeni sauti ya kuimmba enyi milima! maana Yahwe anawafariji watu wake, na watakuwa na huruma kwa wale wanoteseka.
Gavilējat, debesis, un priecājies, zeme, sākat gavilēt, kalni, jo Tas Kungs iepriecina Savus ļaudis un apžēlojās par Saviem bēdīgiem.
14 Lakin Sayuni asema, Yahwe ameniacha mimi, na Bwana amenisahau mimi.''
Bet Ciāna saka: Tas Kungs mani atstājis, un Tas Kungs mani aizmirsis.
15 ''Je mwanamke anaweza kumsahau mtoto wake, aliyemnyonyesha, hivyo hana huruma na mtoto aliye mzaa? ndio, hawakusahau, lakini siwezi kukusahau wewe.
Vai sieva var aizmirst savu zīdāmo bērnu, neapžēlodamās par savu miesīgo dēlu? Un jebšu viņa to aizmirstu, tomēr Es tevi neaizmirsīšu!
16 Tazama, nimeliandika jina lako kwenye kiganja cha mkono wangu; Kuta zako zinaendelea kuwa mbele yangu.
Redzi, Savās rokās Es tevi esmu rakstījis, tavi mūri ir vienmēr Manā priekšā.
17 Watoto wangu wamerudi haraka, wakati wale wanowaangaimiza nyie wameenda mbali.
Tavi bērni steigsies šurp, bet tavi postītāji un izdeldētāji ies projām no tevis.
18 Tazama karibu na uone, wote wamekusanyika na wanakuja kwako. Nitahakikisha kama ninaishi- hili ni tamko la Yahwe- hakika mtavivaaa kama kama kijiti; utajifungia kama bibi harusi.
Pacel savas acis visapkārt, un redzi: visi šie sapulcinājās un nāk pie tevis. Tik tiešām kā Es dzīvoju, saka Tas Kungs, tu tapsi ar visiem šiem apģērbta tā kā ar glītumu un apjozīsies ar tiem kā brūte,
19 Japo umeharibiwa na kuwa na ukiwa, nchi iliyoharibiwa, sasa itakuwa ndogo sana kwa wenyeji, na wale wanao waliokumeza watakuwa mbali,
Jo tava aplaupītā, iztukšotā, nopostītā zeme tev nu taps visai šaura tik daudz iedzīvotāju dēļ, un tavi aprijēji atkāpsies tālu no tevis.
20 Watoto watakaozaliwa katika kipindi cha msiba watasema mkiwa mnawasikiliza, 'Sehemu hii ni duni kwetu, tengeneza chumba kwa ajili yetu, ili tuweze kuishi hapa.
Tad tie bērni, kas bija zuduši, sacīs priekš tavām ausīm: tā vieta priekš manis ir šaura; ej tālāk, ka es varu dzīvot.
21 Halafu utajiuliza mwenyewe, ni nani aliyewazaa watu hawa kwangu? Mimi nilifiwa na ni tasa, niliyefungwa na kupewa talaka. Ni nani aliyewalea hawa watoto? Tazama, niliachiwa yote mimi mwenyewe; Je haya yametoka wapi?''
Bet tu sacīsi savā sirdī: kas man šos dzemdinājis, jo es biju bez bērniem, vientule, es biju cietumā vesta un atstumta; kas tad šos man ir uzaudzinājis? Redzi, es biju atstāta viena, kur tad šie bija?
22 Yahwe asema hivi, ''Tazama, nitanyanyua mkono wangu juu ya mataifa; Nitanyanyua bendera yangu ya ishara kwa watu. Watawaleta watoto wako kwenye mikono yao na watawabeba binti zako juu ya mabega yao.
Tā saka Tas Kungs Dievs: redzi, Es pacelšu Savu roku uz pagāniem un izcelšu tautām Savu karogu, tad tie tavus dēlus atnesīs klēpī, un tavas meitas nesīs uz kamiešiem.
23 Wafalme watakuwa baba zako wa kambo, na malikia watakuwa wafanyakazi wa ndani; watakuinamia chini wewe kw uso wao kwa nchi na kukung'uta mavumbi ya miguu yenu; wale wanonisubiri mimi hawataabika.''
Un ķēniņi būs tavi audzinātāji un viņu ķēniņienes tavas zīdītājas. Tie metīsies uz vaigu zemē priekš tevis un laizīs tavu kāju pīšļus. Tad tu manīsi, ka Es esmu Tas Kungs, pie kā netop kaunā, kas uz Mani cerē.
24 Je mateka wanaweza kuchukuliwa kwa shujaa, au wafungwa kukombolewa kutoka kwa mkali?
Vai gan varenam var atņemt laupījumu? Jeb vai taisni var izsprukt no viņa cietuma?
25 Lakini Yahwe asema hivi, ''Wafungwa watachukuliwa kutoka kwa shujaa, na maeteka watakombolewa; maana utampinga adui yako na kuwakomboa watoto wako.
Bet nu Tas Kungs tā saka: tiešām, cietumnieki varenajam taps atņemti, un laupījums izspruks varas darītājam; jo taviem pretiniekiem Es stāšos pretī, un tavus bērnus Es izpestīšu.
26 Na nitawalisha wanowaonea kwa mwili wao wenyewe; na watalewa kwa damu zao wenyewe, kama iliyo mvinyo; na watu wote watajua kwamba Mimi Yahwe, ni Mokozi wenu na Mkombozi wenu, yeye aliyemkuu wa Isareli.
Un tavus spaidītājus Es ēdināšu ar viņu pašu miesām, un tie piedzersies no savām pašu asinīm kā no salda vīna, un visa miesa manīs, ka Es esmu Tas Kungs, tavs Pestītājs un tavs izglābējs, tas Varenais iekš Jēkaba.

< Isaya 49 >