< Isaya 47 >

1 Njoo chini na ukae kwenye mavumbi, binti bikira wa Babeli; kaa juu ya aridhi pasipo enzi, ewe binti wa Wakaldayo. Hautaitwa tena mpenda anasa na maisha ya anasa.
Kāp zemē un sēdi pīšļos, jaunava, Bābeles meita; sēdies zemē, Kaldeju meita, goda krēsla nav! Jo tevi vairs nesauks par smalku un kāru(mīlīgu).
2 Chukua jiwe la kusagia na usage unga; ondoa pazia lako, ondoa mavazi yako, ondoa viatu miguuni, na vuka mkondo wa maji.
Ņem dzirnas un mal miltus, atklāj savu apsegu, atsedz kājas, atklāj ceļus, brien caur upēm.
3 Uchi wako utafunuliwa, ndio, na aibu yako itaonekana; Nitachukua kizazi na sitamuacha mtu,
Tavs kailums taps atsegts, un tavs kaunums būs redzams, Es atriebšos un nežēlošu neviena.
4 Mkombozi, Yahwe wa majeshi ndilo jina lake, Mtakatifu wa Israeli.
Mūsu Pestītāja vārds ir Kungs Cebaot, tas Svētais iekš Israēla.
5 Kaa kimya na nenda katika giza, ewe binti wa Wakaldoyo; maana hautaitwa tena malikia wa falme.
Sēdi klusu un lien tumsā, Kaldeju meita, jo tevi vairs nesauks par valstu valdnieci.
6 Nilikuwa na hasira na watu wangu; Nimeunajisi urithi wangu na kuwakabidhi nyie katika mkono wenu, lakini hamkuomyesha huruma; umeweka nira kubwa kwa wazee.
Es biju dusmīgs par Saviem ļaudīm, Es liku negodā Savu mantības tiesu, un tos nodevu tavā rokā. Bet tu viņiem neparādīji žēlastības, tiem veciem tu uzliki savu ļoti grūto jūgu,
7 Umesema, ''Nitaongoza daima kama malikia huru.'' Haukuvichukua vitu hivi katika moyo, wala hakutafakari jinsi hivi vitu vitakavyojeuka.
Un sacīji: Es būšu mūžīgi valdniece; tā ka tu šīs lietas neesi pie sirds ņēmusi, tu neesi apdomājusi galu.
8 Hivyo sasa sikiliza hili, Ewe upendae anasa na kukaa salama; ewe usemae katika moyo wako, 'Ninaishi, na hakuna mwingine kama mimi; Sitakaa kama mjane wala sitazoea kufiwa na watoto.
Tad nu, klausies šo, tu vēlīgā, kas bez bēdām sēdi un saki savā sirdī: es un cita neviena! Es nepalikšu par atraitni un nebūšu bez bērniem.
9 ''Lakini vitu hivi vitakuja kwako siku moja katika kipindi cha siku moja; kwa nguvu za kutosha yatakuja kwako, japo uchawi wako na dua zako na hirizi.
Tomēr šīs divas lietas piepeši nāks pār tevi vienā dienā: bērnu nebūs, un atraitne būsi, ar pilnu mēru tas nāks pār tevi, ar visu tavu lielo buršanu un ar visu tavu varen lielo vārdošanu.
10 Umeweka imani katika mapungufu yako; na kusema, ''Hakuna anayeniona mimi''; hekima na maarifa yako yanakupoteza, lakini unasema katika moyo wako, ''Nipo na hakuna hata mmoja kama mimi.''
Jo tu esi paļāvusies uz savu blēdību un sacījusi: neviens mani neredz. Tava gudrība un tava zināšana tevi pievīlusi, un tu esi sacījusi savā sirdī: es un cita neviena!
11 Maafa yatakuzidi wewe; hautaweza kuyaondoa kwa dua zako mwenyewe. Uharibifu utakuwa juu yako; hautaweza kuukata. Maafa yatakuangamiza ghafla, kabla haujajua kitu.
Tādēļ pār tevi nāks ļaunums ko tu nemācēsi atburt, un uz tevi kritīs posts, ko tu ar upuriem nevarēsi novērst, jo piepeši pār tevi nāks nelaime, ko tu neparedzi.
12 Endeleni kutoa uganga wako na wachawi wengi ambao mlioaminishwa kusoma toka utotoni mwao; labda utafanikiwa, labda utayashinda maafa.
Paliec jel pie savas vārdošanas un pie savas lielās buršanas, ar ko tu esi darbojusies no savas jaunības, varbūt varēsi izpestīties, varbūt ko izbiedēt!
13 Umejaribu sana kwa kushauriwa sana; waache hao watu wasimame na kukuokoa wewe- wale wanaoangalia mbingu na wanoangalia nyota, wale wanotangaza mwenzi mpya- waache wawaokoe nyie kutoka kwenye yaliyowapata.
Tu esi piekususi no savu padomu pulka. Lai jel nu ceļas un lai tevi glābj tie debess dalītāji un zvaigžņu skaitītāji, kas pēc mēnešiem ziņo to, kas pār tevi nāks.
14 Tazama, watakuwa kama mabua. Moto utayachoma juu. Hayataweza kujisaidia yenyewe kutoka kwenye mkono wa moto. Hakuna makaa kuwapa joto wao na hakuna moto uliowekwa pembeni kwa ajili yao!
Redzi, tie ir kā rugāji, uguns tos aprīs, tie savas dvēseles nevarēs izglābt no varenas liesmas. Tās nebūs ogles, kur sildīties, nedz uguns, pie ka atsēsties.
15 Hivi ndio wamekuwa kwako, wale unaofanya nao kazi, na unauza na kununua na wao toka ulipo kuwa mdogo, na wale wanaendelea kufanya mambo yao ya kijinga; na unapolia kuhitaji msaada, hakuna hata mmjoa ambaye atakukomboa wewe.''
Tādi tev būs tie, ar ko esi darbojusies, tavi biedri no tavas jaunības; ikviens maldīsies pa savu ceļu, neviens tevi neizpestīs.

< Isaya 47 >